Sijaonaga tangazo la nafasi za kazi TTCL,kumbe ni sababu kazi zinatembezwa chini ya kapeti sio.Hizi party za kimya kimya, kama huna mtu wa kuunganishia, utaishia kuzurula na vyeti vyako na zipo nyingi sana hizi party hata TTCL nao kimya kimya, hawatangazi nafasi ila bado wanaajiri watu kimya kimya.
Pepo La Roho Mbaya Likutoke
TTCL sometimes huwa wanatangaza;kama sikosei ilikuwa mwaka juzi ;na walioqualify kufanya interview walikuwa wanatumiwa email;nakumbuka interview za kada kama nane(system admin,database admin,data engineers,developers,etc) zilifanyika pale msimbazi center Dar; kulikuwa na watu nyomi vjana mpaka watu wazima ;na nahisi waliofanya vzur walipigiwa cm au walitumiwa email kama walivofanya wakati wa kuita katika interviewSijaonaga tangazo la nafasi za kazi TTCL,kumbe ni sababu kazi zinatembezwa chini ya kapeti sio.
Hv hiyo TPDC Ina watumishi wangapi jumla. Akili za kuambiwa changanya na zako.Habari wakuu,
Kuna tetesi kuwa tarehe 29.05.2018 zaidi ya wafanyakazi 600 walio na vyeti feki wamepewa barua za kuachishwa kazi pasipo malipo yeyote kwani walikuwa wakiibia serikali hivyo hawastahili fidia.
Ili kuziba pengo lao, kuna tangazo lilitolewa watu wapeleke vyeti vyao, na watu wameshapeleka sasa wanasubiria tu kuitwa kwenye usahili,hivyo watakaobahatika kuajiriwa angalau na wao watapunguza machungu ya maisha.
Na vyeti OG. Hata mimi ningekuwa bandari na zinatoka nafasi ambazo mwanangu au ndugu yangu ana sifa basi ningemuunga yeye.Nyote manaolalamika :kumbuka hata hao waliobahatika kujua na kupata ajira hzo za kimya kimya nao ni watanzania kama nyie. So ni kama bahati hata nyie inaweza ikawakuta sehem fulani mkapeleka vyeti kimya bila hata kumjulisha yeyote. Hata kama hamna ndugu ktk kampuni au taasisi yoyote lakin mwaweza pata information kutoka kwa rafiki au rafiki wa rafiki au rafik wa ndugu wa rafiki n.k kama ilivotokea TPA. La msingi ni kuwa na sifa
watu wanalalamikia utaratibu uliotumika full stopNa vyeti OG. Hata mimi ningekuwa bandari na zinatoka nafasi ambazo mwanangu au ndugu yangu ana sifa basi ningemuunga yeye.
watu wanalalamikia utaratibu uliotumika full stop
watu wanalalamikia utaratibu uliotumika full stop
Bongo sio sehemu ya kuishiWamekuwa na tabia ya kujuzana wenyewe kwa wenyewe ndani ya organization so kama huna unaemjua utabaki na unachokijua.
Wana zaidi ya mwaka mmoja na nusu hawajatangaza ajira, ila wanajiri kimya kimya mm Kuna source inside ndio imenitonya.TTCL sometimes huwa wanatangaza;kama sikosei ilikuwa mwaka juzi ;na walioqualify kufanya interview walikuwa wanatumiwa email;nakumbuka interview za kada kama nane(system admin,database admin,data engineers,developers,etc) zilifanyika pale msimbazi center Dar; kulikuwa na watu nyomi vjana mpaka watu wazima ;na nahisi waliofanya vzur walipigiwa cm au walitumiwa email kama walivofanya wakati wa kuita katika interview
mkuu inaoneka kwa namna moja ama nyingine umenufaika na hizo ajiraKila mtu Mungu ameshampangia riziki yake ngawa hakuna anaejua lini atapata hko alichoandaliwa na aliyemuumba !
Kuna shule moja naifahamu ya private,Dar,, nafasi zao huwa wanatangaza hvo! Mfano kama kuna nafasi ya mwalimu wa Math ,Walimu huwa wanaambiwa mwenye ndugu au rafiki ambaye ni mwalimu wa Math amlete afanye interview. Huo mtindo upo sana hata ktk taasisi za serikali.
La msingi ni kuwa na subira, zamu yako ya kupata ikifika utapata tu tena bila kutegemea.
kuna namna umenufaika sio bureKila mtu Mungu ameshampangia riziki yake ngawa hakuna anaejua lini atapata hko alichoandaliwa na aliyemuumba !
Kuna shule moja naifahamu ya private,Dar,, nafasi zao huwa wanatangaza hvo! Mfano kama kuna nafasi ya mwalimu wa Math ,Walimu huwa wanaambiwa mwenye ndugu au rafiki ambaye ni mwalimu wa Math amlete afanye interview. Huo mtindo upo sana hata ktk taasisi za serikali.
La msingi ni kuwa na subira, zamu yako ya kupata ikifika utapata tu tena bila kutegemea.
Tehe tehe katu cjanufaika ! Nimechangia uzi tu !kuna namna umenufaika sio bure
Taratibu hata ingekuwa ni mwezi mmoja kupokea maombi, kama wana watu wao wanao tu. Ushawahi kwenda Interview za jeshi mkuu?watu wanalalamikia utaratibu uliotumika full stop
Achana nae huyo MkuuZaidi ya wachangiaji 100,ni wewe pekee ambae haujauelewa uzi wangu,pole.