Zaidi ya Wakulima wa miwa 11,000 Kilombero Morogoro wameungana na Mpina kumpeleka Bashe mahakamani

Acha kumjibu kwa kejeli. Ni kweli hao wanaotetewa na Mpina wamepandisha bei ya sukari kwa kutengeneza uhaba bandia. Sukari imechezea kati ya Tas 6000 hadi 10000 hapo majuzi. Bashe kanyagia hapo hapo.
umeisoma lakini sheria yenyewe wanayoipinga wakulima?
 
Hawa wakulima wana syndicate yao ndio maana Bei ya sukari iko juu
 
Kwani huko Kilombero na Morogoro hakuna wabunge wa kuwatetea hao wakulima? mmefanya vizuri sana kuungana kwenda mahakamani kupinga hiyo sheria mpya ya bashe kuhusu sukari
CCM na Spika wao kuna wabunge wa kumsifia Samia siyo kuwatetea wananchi. Isipokuwa Luhaga nimemtoa kwenye kundi hilo.
 
Wapeleke miwa viwandani waache ujinga wa kesi hautawasaisia ,watapoteza pesa na na hakuna watakachopata.
Unamsaidia Bashe au vp? Kwahiyo wakulima umewafanya wajinga hawana akili na hawastahili kutetea haki zao! waTanganyika wa leo siyo wa mwaka 47
 
Halafu utakuta pamoja na madhila haya, wakulima hawataonesha hasira yao kwa kuikataa CCM 2024 / 2025 kwa kura nyingi, wataamini propaganda za CCM kuwa inawajali.
 
Cartel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…