- Thread starter
- #61
umeisoma lakini sheria yenyewe wanayoipinga wakulima?Acha kumjibu kwa kejeli. Ni kweli hao wanaotetewa na Mpina wamepandisha bei ya sukari kwa kutengeneza uhaba bandia. Sukari imechezea kati ya Tas 6000 hadi 10000 hapo majuzi. Bashe kanyagia hapo hapo.