Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wasomali ni wala mirungi na wapenda rushwaMlipoambiwa Kilimo mpe Msomali hamkuelewa? Nendeni mkajiulize nawafahamu wasomali ni watu wa namna gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasomali ni wala mirungi na wapenda rushwaMlipoambiwa Kilimo mpe Msomali hamkuelewa? Nendeni mkajiulize nawafahamu wasomali ni watu wa namna gani?
Mbona umesahau na Meno ya Tembo pale Lumumba.Wasomali ni wala mirungi na wapenda rushwa
Mama hasikii wala haambiwi kuhusu hugu Bashe.Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao kutokana na kukosa soko la sukari na kutaka kuua kilimo cha miwa nchini.
Wakulima hao wamesema sukari imejaa kwenye viwanda kwani sukari ya kutoka nje ambayo imeingia bila kodi imewaathiri zaidi wao wakulima.
Pia soma=> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
Hizo ndiyo kazi za wasomaliMbona umesahau na Meno ya Tembo pale Lumumba.
Afadhali ya Watutsi wachapakazi na ni Wakristo safi.Hizo ndiyo kazi za wasomali
Msomali akipiga pesa ya sukari inafika kwa mazaAfadhali ya Watutsi wachapakazi.
CCM kama kawaida ya CCM kuibia Wananchi halafu Viongozi wanagawana.Msomali akipiga pesa ya sukari inafika kwa maza
Yote yanawezekanaUNAWEZA SHANGAA ILI JINGA LA WAJINGA LIKABADILISHA GIA ANGANI KUUNGANA NA MPINA GAFLA
View attachment 3045319
CCM ni zaidi ya shetaniCCM kama kawaida ya CCM kuibia Wananchi halafu Viongozi wanagawana.
Shetani akikutana na CCM Shetani mwenyewe anatoka Nduki.CCM ni zaidi ya shetani
Shetani anaiogopa CCM kwa mambo ya kijingaShetani akikutana na CCM Shetani mwenyewe anatoka Nduki.
Huyu chochote tu ilimradi asitoke kwenye hiyo nafasiUNAWEZA SHANGAA ILI JINGA LA WAJINGA LIKABADILISHA GIA ANGANI KUUNGANA NA MPINA GAFLA
View attachment 3045319
Waliiba wakati wa awamu ya nne sasa wamerudi kukomba kilichobakiaWanapoteza muda wao bure, nchi hii sasa imetekwa na ipo chini ya 'msoga gang.'
Elimu ni muhimu!UNAWEZA SHANGAA ILI JINGA LA WAJINGA LIKABADILISHA GIA ANGANI KUUNGANA NA MPINA GAFLA
View attachment 3045319
Acha kumjibu kwa kejeli. Ni kweli hao wanaotetewa na Mpina wamepandisha bei ya sukari kwa kutengeneza uhaba bandia. Sukari imechezea kati ya Tas 6000 hadi 10000 hapo majuzi. Bashe kanyagia hapo hapo.Una uhakika Huwa unatoka Hela kununua Sukari? Au Baba/Mama / Dada/Kaka/ Shemeji yako ndioz wanaokupa Hela ukafate Sukari Dukan?.