Tetesi: Zaidi ya wanawake 1500 wapo Dar es salaam kumpongeza Rais Samia Machi 19, 2023. Hawana nauli za kurudi nyumbani na hawajui wale/walale wapi

Muhimu wamefanikiwa kutekeleza adhma yao ya kumpongeza mama kuupiga mwingi, wasijali sana kuhusu kula au kulala maana hiki ni kipindi cha mfungo wa kwaresma, warudi wakajipange tena kwa ajili ya mwakani........mama hoyeeee....
 
Kuna ujinga mwingine kumuhusisha rais nikumkosea heshima.
 
Khaaa watu wamekodishiwa mabas waende kwa pamoja sema labda kula na kulala tu ambapo walio wengi walilala kwenye gari wenye ndugu walienda kwa ndugu we nae usikuze mambo khaaa! Kama imekosana na mbunge wako deal naye taratibu siyo kutuchafulia chama
 
Siku moja mlilala ikawa hamkulala mpaka asubuhi.Mofimu au nahau.Habari mkuu
 
Hivi kwani ilikuwa lazima muende?

Ni matumizi mabaya ya pesa na muda?

Hivi kupongeza kunaongeza tija gani kwa wananchi?

Mbona miaka ya nyuma hatukuyaona haya?
 
Hivi wajapani si inasemekana sio watu wa mambo hayo sana au wewe ulibahatika tu.
Hapana; watu wote wa maeneo hayo (yaani wachina wakorea na wajapani) wanapenda sana kuchepuka. Wake kwa waume wote ni tabia moja tu, ila wanawake wazuri walikuwa wanapenda sana watu wa nje ili waonekane kwa wenzao kuwa wanajua kiingereza pia. Kwa hiyo wavulana wa kijapani walikuwa wanajipendekeza kwetu kujenga urafiki kusudi wapitie migongo yetu nao wapate wanawake wazuri
 

Wa kutokea kilimanjaro wamefungua uzi wao wanalalamika mateso ya safari hii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…