matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #21
Wanampokea pia. Wabishi wachache tu wamebaki na mapokeo ya judaismWayahudi waliolowea Israeli lini watampokea YESU maana wanamchukia kupita kiasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanampokea pia. Wabishi wachache tu wamebaki na mapokeo ya judaismWayahudi waliolowea Israeli lini watampokea YESU maana wanamchukia kupita kiasi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wengi wanabadili kama fasheni au kuongeza followers wa kiarabu sio sababu za kiroho.
Mmh! Kwamba wanaompinga ni wachache? Hebu fuatilia kwa undani source yako ya habari? Unajua christ believers ndani ya Israel ni less than 2%?Wanampokea pia. Wabishi wachache tu wamebaki na mapokeo ya judaism
Alafu unajiita mwalimu unaye takiwa kufundisha watoto ambao ndo kizazi cha kesho kweli nchi hii ina hasara kubwa .Saudi arabia, iran na kwingine kwenye uislam konk patakombolewa, Yesu anawapenda watu wa huko, haitakuwa ajabu kukuta makanisa mengi huko watu wakimuabudu kristo
Huyu arabatizwa na hawa wanaotokewa na Yesu. Hata hivyo waamerika wengi ni atheists. Hiyo ni njia ya kumsogelea Yesu.
Huo ugaidi ni kwa mtazamo wako maana mpaka mwenyekiti wa chama chenu Mbowe alisha itwa magaidi.Kushinda ugaidi?!!
Isome vizuri hiyo post #30Huyu arabatizwa na hawa wanaotokewa na Yesu. Hata hivyo waamerika wengi ni atheists. Hiyo ni njia ya kumsogelea Yesu.
Ulishaona wapi walokole wanajilipua na kuuwa watu kwa sababu hawafuati imani yao?Huo ugaidi ni kwa mtazamo wako maana mpaka mwenyekiti wa chama chenu Mbowe alisha itwa magaidi.
Utumbo....Wagaza hawa wanadai walitokewa na Yesu ndotoni, na kupewa maelekezo.
Kuna vuguvugu kubwa la kikristo linaloendelea chini kwa chini katika kila ardhi ya mwarabu muislam. Pale pagumu kabisa Yesu mwenyewe anaingia front. Hii kitu imetokea gaza.
Hii si mara ya Kwanza. Mungu alimtokea Abram kwa style hiihii.
Yesu alimtokea Paulo kwa style hiihii. Huko somalia kuna taarifa maelfu ya watu wanatokewa kwa njia hizihizi.
Kimsingi hakuna atakayepote kwa bahati mbaya. Mpangokazi wa Mungu kumuokoa mwanadamu ni wa juu sana kiasi kwamba kila atakayepotea atapotea kwa kupenda na kukataa kwa makusudi mpangokazi wa kuokolewa kwake.
Chanzo
![]()
'Miracle': Muslim Men in Gaza Seek Christ After Over 200 Dream of Jesus on Same Night - Report
It's a recurring phenomena: Muslims around the world are seeing Jesus in their dreams and converting to Christianity.www.westernjournal.com
ndiyo mi ni mwalimu, tena mwenye upeo mkubwa, katika kufundisha watoto wa taifa hili hufundisha kwa usawa na haki bila kujali dini na madhehebu yao, nafundisha maadili ya taifa hili kwa mujibu wa mila, desturi na tamaduni za watanzaniaAlafu unajiita mwalimu unaye takiwa kufundisha watoto ambao ndo kizazi cha kesho kweli nchi hii ina hasara kubwa .
Yesu kashindwa kuwaokoa ndugu zake wayahudi wakaona anawaletea miyeyusho mpaka kumuua ije kuwa wapalestina,, hayo makanisa yangeanza kutapakaa kwanza Israel kwa kina yesu kama mfano kisha ndo tuje huko Gaza,, kwa taarifa yako tu huko Israel kwa kina yesu kuna misikiti mingi kuliko hayo makanisa yako ya kilokole so mngeanza huko kwanza,,,,Saudi arabia, iran na kwingine kwenye uislam konk patakombolewa, Yesu anawapenda watu wa huko, haitakuwa ajabu kukuta makanisa mengi huko watu wakimuabudu kristo
Na ww hao waisilamu wanaojilipua n kuuwa watu kwa sababu hawafuati imani yao umewaona wapi?Ulishaona wapi walokole wanajilipua na kuuwa watu kwa sababu hawafuati imani yao?
Uwafundishaje usawa na haki wakati huo udini unekujaa kichwani?ndiyo mi ni mwalimu, tena mwenye upeo mkubwa, katika kufundisha watoto wa taifa hili hufundisha kwa usawa na haki bila kujali dini na madhehebu yao, nafundisha maadili ya taifa hili kwa mujibu wa mila, desturi na tamaduni za watanzania
Shida yako unataka kila unachosema wewe ndiyo kizingatiwe.Jaribu kuheshibu posts za wenzio.Ujuaji mwingi kichwani zeroUharo