Zaidi ya Wapalestina 200 wanaoishi Gaza wampokea Yesu kimuujiza

Zaidi ya Wapalestina 200 wanaoishi Gaza wampokea Yesu kimuujiza

Uwafundishaje usawa na haki wakati huo udini unekujaa kichwani?

Kwa hiyo huwa unawafundisha watoto kuwa Israel ni taifa teule hivyo lina haki ya kuuwa, kunyanganya watu ardhi zao na kuwaweka watu kwenye makambi ya wakimbizi ili waishi kama wanyama?
ukianza kutaja mambo ya israel unaingiza udini kwenye mtaala wa ufundishaji shuleni, au hujui kuwa kuna mitaala ya taifa hili kufundishia watoto na hairuhusiwi mwalimu kufundisha vitu ambavyo havipo kwenye mitaala? We mwenyewe ndio una mambo ya kidini. Kama vipi tupande jukwaani tuzungumzie israel kwa mtazamo wa siasa za kimataifa kuhusu mzozo wao na wapalestina bila kuingiza udini, tuangalie humanity and liberty
 
Na ww hao waisilamu wanaojilipua n kuuwa watu kwa sababu hawafuati imani yao umewaona wapi?
Alshabaab waliteka basi hapo Kenya kisha wakaua wasiokua waislam.

 
ukianza kutaja mambo ya israel unaingiza udini kwenye mtaala wa ufundishaji shuleni, au hujui kuwa kuna mitaala ya taifa hili kufundishia watoto na hairuhusiwi mwalimu kufundisha vitu ambavyo havipo kwenye mitaala? We mwenyewe ndio una mambo ya kidini. Kama vipi tupande jukwaani tuzungumzie israel kwa mtazamo wa siasa za kimataifa kuhusu mzozo wao na wapalestina bila kuingiza udini, tuangalie humanity and liberty
Kwa unayo yaandikaga humu, huna sifa za kuwa mwalimu ,huo ualimu ulio nao uliupata kimagumashi na wenda ww ni vyeti feki ulio nusulika na panga la jiwe.

Kazi ya mwalimu sio kufundisha kilichoko kwenye mtaala tu bali mwalimu ni mlezi anaye takiwa kuishi na kuwafundisha watoto upendo na kuishi pamoja.

Sasa ww huo upendo kwa watoto wa unao shinda humu unawaita magaidi na wafuga majini na kejeli kibao utautoa wapi wakati hali ya kuwa una mtazamo mbovu juu ya kile wanacho kiamini?

Huwezi kuwa fundisha watoto madhara ya ukoloni na ukandamizaji alafu wakati huo unashinda humu ukiusifia ukoloni wa Israel dhidi ya wapalestina.

Huwezi kuwafundisha madhara ya mitengano kwa misingi ya udini na ukabila ,alafu wakati huo unashinda humu ukiwaita watu magaidi, na hao unao waita magaidi tangu unazaliwa umecheza nao utotoni ,umesoma nao kuanzia awali mapaka mwisho wa elimu yako mpaka kuupata ualimu wako, unaishi nao mitaani,unafanya kazi nao ,mpaka una ndugu na hawajawahi kukufanyia huo ugaidi unao wapachika, na kuwaita wafuga majini hali yakuwa hujawahi kuyaona hayo majini unayo sema wanayafuga.

Kuwemo watu wa aina yako kwenye mfumo wa elimu wa nchi hii ,kunaonesha ni jinsi gani tumejaza vilaza na watu wasio faa kwenye mfumo wetu wa elimu na ndio maana siku hizi tunazalisha wasomi wapumbavu na vilaza.
 
Alshabaab waliteka basi hapo Kenya kisha wakaua wasiokua waislam.

Ww unapo ishi hakuna hao waisilamu ?kuna muislam alisha kukufuata nyumbani kwako na kisu akakwambia kuwa usipo badili dini tunakuuwa?
 
Ww unapo ishi hakuna hao waisilamu ?kuna muislam alisha kukufuata nyumbani kwako na kisu akakwambia kuwa usipo badili dini tunakuuwa?
Kwa hiyo alshabaab sio waislam?
Vp mashekhe waliohukumiwa kifungo cha maisha kule Arusha kwa kosa la kulipua kanisa olasiti
 
Hakuna mkristo anaeweza kutupa habari za Yesu sisi Yesu tunamjua na tunamkubali Sasa tumpokee mara ngapi hayo Mambo mnatakiwa mshangilie myahudi akimpokea Yesu sis tunafahamiana nae kutambo tu
 
Sikia ewe sheikh, mi nafundisha watoto wa taifa hili, nafundisha mtaala uliopangwa kufundishwa, sifundishi dini shuleni, nikifundisha hiyo itakuwa kwenye vipindi vya dini vya wanafunzi kwa mujibu wa ratiba ya shule na nitafundisha kama mwalimu kutoka nje ya ajira na ni kwa wale tu wanaoamini dini hiyo. Mind kwamba dini yangu haifundishi chuki, ni upendo tu bila chuki wala ubaguzi. Shangaa huwa napangiwa shule kuliko na ndugu zako wengi, darasa zima watoto wamevaa hijabu. Nafundisha fresh tu bila kujali imani yao. Hao ni watoto wa tanzania, usinipandikize chuki na ndugu zako, naishi nao vizuri tu na nina wapenzi wa imani ya dini hiyo tunaelewana vizuri licha ya kuwa na tofauti za imani na dini. Sheikh wangu tulia usiwe na wasiwasi
 
Back
Top Bottom