Ile kwa watoto yatima,wajane,wafungwa,nk haitwi zaka inaitwa sadaka.Namna ya utoaji zaka ndo tatizo linapoanzia. Binafsi naona namna sahihi ni kupeleka kwa watoto yatima na watu wasiojiweza maana ndo lengo kuu la zaka. Angalau kanisa katoliki linamiliki vituo kadhaa vya kulea yatima, hao naweza kuwaelewa wakisisitiza utoaji zaka.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Pana zaka, sadaka, michango, mavuno, shukrani.
KILA moja ina maelezo yake