Ungefanya financial control ya hayo makanisa ndio ungejua jinsi watu wanavyofuja pesaYesu hakuja kutengua bali kutimiliza.
Amri kumi za MUNGU ni agano la kale. Vipi amri kumi leo tuziache.
Ni watoto wangapi wameshindwa kumaliza shule?
Jua kwanza umuhimu na faida ya zaka kwanza.
Zaka, sadaka, michango na matoleo ndio ukamilisha Ukristo ni maagizo.