Wewe huwezi kujua wahitaji zaidi ila kanisa linajua. Pia acha kuwasema kwa ubaya watumishi wa Mungu.Agizo la Mungu ni "TOENI MALI ZENU MUWAPE MASIKINI" kanisa hupokea kwa niaba ya masikini (wahitaji) kwahiyo ni sahihi zaidi kupeleka zaka yako kwa wahitaji moja kwa moja maana viongozi wa siku hizi wamekuwa na tamaa kupita kiasi, wanakula pesa za wahitaji hadharanj!
Ebu wacha ujinga wako. Roho mtakatifu hayupo humo kwenye ushetani wenu.Mkuu chunga ulimi usije mkufuru roho mtakatifu
Nisiwajue wahitaji ambao naishi nao mtaani!? Kanisa liwafahamu ila mimi nisiwafahamu!? Hauwezi kuwa serious.Wewe huwezi kujua wahitaji zaidi ila kanisa linajua. Pia acha kuwasema kwa ubaya watumishi wa Mungu.
Hao wa mtaani ni wahitaji kuliko wagonjwa wa kansa wanaohitaji huduma ya mionzi ambayo hospitali za kanisa zinatoa? Unadhani ni nani anayetoa pesa za kugharamia matibabu yao zaidi ya nyinyi waumini.Nisiwajue wahitaji ambao naishi nao mtaani!? Kanisa liwafahamu ila mimi nisiwafahamu!? Hauwezi kuwa serious.
Alafu siyo kwamba nawasema watumishi ila nasema ukweli: watumishi wengi wa siku hizi hasa wa makanisa ya kilokole wanasukumwa na ubinafsi na tamaa ya mali. Angalia namna wanavyotambiana kwa fahari za dunia (majumba, magari n.k) na wakati huo ujue hawana biashara nje ya utumishi wao kwa kanisa so hayo ni matumizi mabaya ya mapato ya kanisa ambayo yangeweza kuwanufaisha wahitaji wengi huko mitaani.
Hama kanisa kama hukubaluani na taratibu zao au kaanzishe lako utakaloendesha kwa hayo mawazo yako yawe sawa au sio.sawa wapishe wenyewe wenye kanisa lao usiwabungudhi kwa lolote iwe kunungunika au chochote .Hama.Uache kelele zako kwenye makanisa ya watuHiari ya kilazima, maana sio hiari ya hiari.
Mnasimamishwa kwny benchi wote, kisha wanasimama wa benchi linalofuata kwnda kutoa sadaka. Kwa hali hii huwezi unajisikia vyema usinyanyuke kwnda kutoa wakt wenzio wote benchi zima wamesimamishwa.
Sasa hapo sadaka sio moja tu, mnaweza kwenda zaidi ya mara 4. Kuna kanisa moja hamtoi kwny kikao, mbarusha pale mbele madhabahuni lila mtu anaangalia nani amerusha nini.
Utasikia njooni mtoe sadaka za ulinzi, kwamba kadri unavyotoa nyingi ndio unapata ulinzi mkubwa, halafu wakt wa kuondoka yy mchungaji anaondoka na msururu wa bodyguards.
Sadaka ni matokeo ya fungu la kumi kwa kile Mungu alichokubarikia.
Wachungaji wapige simu kuwakumbusha waumini kusali, kutubu na kuwapenda wengine na SIO kulipa zaka. Hilo sio jambo la kwanza kwenye Agano Jipya!Nina mambo kadha wa kadha nataka niongee leo. Kwanza samahani mno kwa ndugu zangu walokole wenzangu kwa maneno na maswali makali ninayokwenda kuuliza humu!
Hivi kwa dunia ya sasa mtoto wako kufaulu darasa la saba ni jambo la kumshukuru Mungu mpaka kwenda kanisani KUTOA USHUHUDA?
Ndugu zangu kuna vitu naona kama havi make sense hivi.
Anyway twende kwenye ZAKA.
ZAKA ni sheria ya agano la kale, ambalo YESU alilitimiliza na kutuweka katika neema na si chini ya sheria tena.
Sasa kwa nini Wachungaji wa kileo wanalazimisha watu watoe zaka na kufikia mpak hatua ya kuwapigia simu kuwakumbusha?
Mtume Paulo anasema, "kama umeacha agano la kale liache lote(acha sheria zake zote), na kama unalifuata basi fuata na sheria zake zote".
Sasa kwa nini ndugu zangu WALOKOLE mnachagua chagua? Mpo agano jipya la imani ila kwa nini mnazing'ang'ania baadhi ya sheria ili ziwanufaishe?
Ni bora muweke wazi tu kuwa ZAKA ni hiyari na siyo lazima, kuliko kuwalazimisha watu mpaka kupigiana simu kukumbushana.
Mwisho, naamini Mungu anatoa utajiri na haangalii unamcha au humchi, akiamua yeye anakupa tu. Ila hii haimaanishi tusimche yeye.
Kuna watu wana miaka na miaka wanamuomba Mungu utajiri ila Mungu anasema NO.
Wakipata sana basi ni laki laki za kula tu ili wasife.
Mungu anaangalia zaidi moyo wako, anajua utakuwaje akikupa utajiri.
Zaidi hongereni ndugu zangu mliopata bahati ya kuteuliwa na Mungu mwenyewe muwe matajiri(wa halali lakini siongelei wale wenye ndumba) ili muwatunze wengine.
Asubuhi njema!
Ila msisahau maswali yangu nasubiri majibu hapa.
Zaka sio sadaka kwa Yesu! Kwanza “sadaka” siku hizi za Agano Jipya ni YESU KRISTO mwenyewe na vinginevyo vitolewavyo makanisani ni matoleo, michango, dhabihu,nk. Ila huwezi kuwaambia wachungaji kitu kuhusu zaka kwani ndipo moyo wao ulipo.Zaka na Sadaka(dhabihu) ni ibada Kwa YESU na siyo hiyari.
Kutorejesha ni kuiba.
Malaki 3:8 Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na dhabihu.
Malaki 3:9 Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote.
Malaki 3:10 Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.
Kama kuna sehem kwny bible imekosewa ni kutuita waumini kondoo. Maana hata kwny ukweli unaogopa kusema. Unadhani wewe Dada yehodia ingeitwa kitimoto usingehoji?Hama kanisa kama hukubaluani na taratibu zao au kaanzishe lako utakaloendesha kwa hayo mawazo yako yawe sawa au sio.sawa wapishe wenyewe wenye kanisa lao usiwabungudhi kwa lolote iwe kunungunika au chochote .Hama.Uache kelele zako kwenye makanisa ya watu
Litolewe kanisani au msikitini then wao ndio wanatoa kwa wahitaji au shughuli nyingine kwa ajili ya dini husika.
Wachungaji wapige simu kuwakumbusha waumini kusali, kutubu na kuwapenda wengine na SIO kulipa zaka. Hilo sio jambo la kwanza kwenye Agano Jipya!
Hiyo malaki 3:9 hapo kwenye taifa ni taifa gani Hilo Mungu alikuwa anawaambia hivyo?? Maana alikuwa specific kabisa...... So why mtuhamishie WatanzaniaZaka na Sadaka(dhabihu) ni ibada Kwa YESU na siyo hiyari.
Kutorejesha ni kuiba.
Malaki 3:8 Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na dhabihu.
Malaki 3:9 Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote.
Malaki 3:10 Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.
Njia sahihi ni kuwaombea wawe na roho ya ukarimu sababu Mungu humpenda yule atoaye kwa ukarimu pasipo kulazimishwaWachungaji wapige simu kuwakumbusha waumini kusali, kutubu na kuwapenda wengine na SIO kulipa zaka. Hilo sio jambo la kwanza kwenye Agano Jipya!
Hata walokole wanstubu/kuungama kwa wachungaji. Baadae hutengwa(kuwekwa viti vya nyuma). Wakikamilisha vifungo wanaongozwa sala ya toba.Ni kama wakatolik walivyo rogwa hadi wanabatiza watoto na kutubu/kuungama kwa viongozi wao.
Katoliki hawaelekei huko,wako huko tangu mwanzo. Hakuna kinachofanyika hawakuwahi kukifanyaHuendi mbinguni kwakua unatoa sadaka, na wala hutozuiwa kuingia mbinguni kwakua hutoi sadaka. Katika zile amri kumi toa ama usitoe sadaka haipo katika hizo..
Makanisa hasa ya kilokole 70% ya muda wa ibada ni kuhubiri baraka utakazopata ukitoa sadaka. Na makanisa haya huwa wana sadaka sijui zaka zaidi ya ngapi kwny ibada moja.
Na siyo hayo makanisa tu, hata katoliki nao wanaelekea hukohuko. Kwny jumuia mnaletewa sijui padre hana godoro sijui hana kile, mumchangie.
Mbona hata kuungama mwenyewe inaruhusiwa! Siyo lazima kuungama kwa mchungaji.Hata walokole wanstubu/kuungama kwa wachungaji. Baadae hutengwa(kuwekwa viti vya nyuma). Wakikamilisha vifungo wanaongozwa sala ya toba.
Hizo ni moral laws ndugu ambazo zipo pia kwenye agano jipya kwenye amri mpya ya UPENDO. Zipo sheria nyingi za agano la kale ambazo mfano za kutawaza au vyakula ambazo hazimo tena kwenye agano jipyaKwa kuacha agano la kale maana yake tuibe ,tuzini na tuseme uongo au una maanisha nini