Zaka ya 10% unatoa kwenye faida au kwenye utajiri wako?

Jibu Sasa....
 
Jamaa analeta propaganda maana hapa tunazungumzia hekalu lililofanyika kwa mikono na kanisa lililofanyika kwa mikono na zaka inayo tolewa kwenye makanisa yaliyo fanyika kwa mikono na ile iliyo tolewa kwa hekalu lililo fanyika kwa mikono ....hayo mambo ya hekalu la roho na kanisa la roho ni vitu vingine vilivyo nje ya mada ....jamaa ana taka kuleta ubishi husio na akili.
 
Kwanza hili neno zaka la kiiburenia au kiswahili?tuanzia hapa kwanza
 
Hakuna watumishi wa Mungu hapo wachungaji wote ni wezi kwa niaba ya hawa hapa chini
 
naamini hii kodi tunayoilipa serikali na PAYE ndio zaka zenyewe.

Maana hii kodi na PAYE serikali si ndio inazitumia kupeleka huduma kila mahala, kununua madawa hospitalini, nk.

Zaka ni mfumo uliokuwepo zama za kale kabla ya hizi serikali.... ndiyo ilikuwa kama kodi zama hizo.

Ni mtazamo wangu.
 
Achaneni na huyo ujinga. Unatoaje 10% kanisani wakati una ndugu kibao maskini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…