- Thread starter
- #21
Kwa dunia ya leo kuiona bikra labda mtu aamue kunajisi (siyo kubaka)Kwahiyo kuowa asie bikra ni sawa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa dunia ya leo kuiona bikra labda mtu aamue kunajisi (siyo kubaka)Kwahiyo kuowa asie bikra ni sawa tu
[emoji3]kwani akifura atakumeza kama chatuIt is a provocative question mkuu. Umullize "mchumba wangu kwani wewe bikra?"
Ni swali rahisi kujibu kama ana bikra, lkn kama hana mdada anaweza kufura kama chatu.
kwa sababu za msingi kama hyo uliyosema hapo juu wala si vingnevyoKwahiyo kuowa asie bikra ni sawa tu
usiseme dunia ya leo! Kama hawapo daslam wapo kigoma,wapo kagera, wapo katavi, wapo wapo wapo!Kwa dunia ya leo kuiona bikra labda mtu aamue kunajisi (siyo kubaka)
Atabaki kwenye mabano kwasbb hata jibu kamioi hatopata.[emoji3]kwani akifura atakumeza kama chatu
Mkuu, hawa wanafahamiana mahala pa kazi. Na mkaka kaonesha interest ya kumuoa dada for 2 years. Kwahiyo ameridhika kitabia.Onja baada ya kumjua, kabla don't try this at home, nyege upofusha tabia mbaya za mtu, utazionea ndoani, ni rahisi kuvunja uchumba kuliko ndoa
kwanza mke wa sample hiyo XAtabaki kwenye mabano kwasbb hata jibu kamioi hatopata.
[emoji122]Kama ni bikra yanazungumzika.
Lakini kama sio bikra huyo jamaa anapifwa kweupe.
Kwanza kwanin anaogopa kumuuliza kama ni sealed or not?
Sometimes wanaume tunakua na upole uliopitiliza, kama n kweli bikra, lazma aweke mkataba kua akikuta ndivo sivo ndoa inavunjwa na gharama znarudishwa. Na kama sio bikra, bora kutemana tu kila mtu akatombe kivyake.
Kuna wanao bakwa na asijue aliyemfanyia hilo tukiokwa sababu za msingi kama hyo uliyosema hapo juu wala si vingnevyo
mchumba lazima kwanza awe rafiki wa kushibana, kwahiyo utayajua mengi kumhusu.Kuna wanao bakwa na asijue aliyemfanyia hilo tukio