Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Kuna mmoja hapo umetaja toka redio hkn kitu , tushapiga ..na akilewa anakua mbwa tu , unajipigia kilaini kbs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungetaja na wanaume ambao walitaka kuwaoa wakakataliwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni wanawake wasiojitambua na wenye vipato duni ndiyo wanaolewa wakidhani kwa kufanya hivyo ndiyo maisha yao yatakuwa rahisi.
Hapa chini ni mifano michache ya wanawake wanaojitambua ambao wamekataa ndoa.:-
1. Salama Jabri.
2. Fatuma Karume.
3. Maria Sarungi.
4. Kajala.
5. Dinar Marios.
6. Veronica Simulizi.
7.
8.
9.
Ongezea na wewe msomaji.
Kwahiyo, wewe mwanamke unayefikiri ndoa ndiyo mkombozi wako endelea kushobokea.
Hao kwa maisha yao mazuri idadi ya wanaume waliokastaliwa ni kubwa sanaUngetaja na wanaume ambao walitaka kuwaoa wakakataliwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti kajala naye ana helaPoint less
Jifunze kutofautisha pesa na umaarufu.Ni wanawake wasiojitambua na wenye vipato duni ndiyo wanaolewa wakidhani kwa kufanya hivyo ndiyo maisha yao yatakuwa rahisi.
Hapa chini ni mifano michache ya wanawake wanaojitambua ambao wamekataa ndoa.:-
1. Salama Jabri.
2. Fatuma Karume.
3. Maria Sarungi.
4. Kajala.
5. Dinar Marios.
6. Veronica Simulizi.
7.
8.
9.
Ongezea na wewe msomaji.
Kwahiyo, wewe mwanamke unayefikiri ndoa ndiyo mkombozi wako endelea kushobokea.
Ongezea hapo mzee Mdee na yule mwenzie Esther Bulaya..1. Salama Jabri.
2. Fatuma Karume.
3. Maria Sarungi.
4. Kajala.
5. Dinar Marios.
6. Veronica Simulizi.
7.
8.
9.
Ongezea na wewe msomaji.
Asante mkuu, ngoja niwaongezeeOngezea hapo mzee Mdee na yule mwenzie Esther Bulaya..
Ila hawa Tomboys ni mifano mibaya, siyo wa kuigwa
Good..Wanawake wenye mafanikio wameolewa.
1. Mh. Dr. Samia ameokewa na Mr. Amier
2. Mh. Dr. Tulia ameokewa na boss wa ewura
3. Mbeijing mkuu, mama mongers, ameolewa na Mr. Viane
4. Mama yangu, ameokewa na baba.
5. Wanu amier, mb ameolewa na mchengerwa
wakimbia mimba nao wanaongezeka tuJe kuna mtu anawataka? Hivi kweli kwa akili na kawaida unaenda kuoa Salama au Fatuma Karume? Kajala si mdangaji?