Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Baada ya kusoma comments kwa huu uzi nimegundua kwamba Haji akigombea ubunge kwa tiketi ya CUF jimbo la Kawe wallah atatoboa maana keshajipatia wafuasi kibao kwa kauli hiyo 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ni nchi ya ajabu sana.Wakati mwingine ujuaji usio na kiasi huweza kumsababishia mhusika matatizo yasiyo ya lazima mbele ya safari ambayo pengine angefika salama.
Haji Manara kwa mfano. Bwana yule hujifanya anayo mengi ayatambuayo. Na kutokuwa kwake makini na ayasemayo, hatimaye yanaelekea kumfitinisha hata na waliopo kwenye mfumo ( serikalini).
Kwa msiofahamu, mapema jana, bwana Haji kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, alidai haoni mantiki ya timu za Taifa kuchangiwa na Wananchi ilhali gharama zote zihusuzo ushiriki wake kwenye mashindano mbalimbali yaliyo chini ya chama cha soka barani Afrika, hugharamikiwa na wao (CAF).
Huenda bwana Haji alikuwa sawa kutoa malalamishi yale, pengine. Lakini unajiuliza, je, bwana yule hakugundua halibio lile lingewaathiri hata maswahibaye walio ndani ya mpango ule wa upigaji!? Kwamba, Haji hatambui tawi pekee (Serikali) linalomfanya aweze japo kubaki akining'inia asidondoke ndilo hilo ameanza kulitusi eti linamuumiza?
Hakika, naanza kuuona mwisho wa zama za Haji! Na akiendelea kufanya mchezo, hata hizo zama zilizopo ukingoni-zitawahishwa na ujuaji wake usio na kiasi.
Acha muda/mda uwe Mwalimu.
Ni aibu kubwa! Team ya Taifa ichangiwe kwa lipi? mbona zile 10m kwa kila Goli zingewekwa vizuri wasingehangaika kuchangia? huu ni uhuni tu uliovuka mipaka. Haji ana hojaAna hoja asikilizwe,,,ni aibu kubwa kwa timu ya taifa kupitisha bakuli kwa wanainchi..
Serikali imejaza watu wengi kwenye msafara wa timu ya taifa ambao hawana faida zozote,,
Halafu mnawabebesha wanainchi mzigo wa gharama.
Sijawahi kuona dunia kote kwenye msafara wa timu imejaza wanasiasa na wacheza comedy balada ya kujaza football veterans.
Manara ana hoja asipuuzwe .
1. Mauzo ya Jez.Nakuheshimu sana Mjoli wa Bwana ila hapa umeenda kwenye Personal attack na hakuna hoja iliyojibiwa. Mjibuni, kama mama aliwapa Milioni 500 baada ya kufuzu na kule CAF anatoa Milioni 10 kwa goli, kwanini serikali isibebe huu mzigo. Ikishindwa serikali, kwanini TFF wasiubebe huu mzigo? Pesa wanazokusanya TFF zinaenda wapi?
Tukipata wananchi wenye akili kama hizi basi tutafika mbali kwa maendeleo.Haji manara
Yuko sahihi
Kwanini wizara ya michezo haipewi bajeti ya kuendesha hayo mamichezo yao
Yaani mwananchi wa Ngara achangie mwana FA akastarehe wakati watu hawana madawati
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umejenga?Anahangaika na mabinti..hv amesgajenga kweli kana wenzake kba Mwinjaku
Kihuni hoja ya Hajj siyo kumshambulia tu bila majibu.Tatizo la haji anazeeka vibaya kwanza kwa umri wake anatakiwa busara zake ziongee zaidi kuliko sifa zake zakijinga, haji anadharau, anakiburi na jeuri, hana nidhamu....ndio maana simba walimtimua na ndio maana kila mwanamke anaemuoa anamkimbia....haji anashida
Jibu hoja yake ,ajenge yeye konokono? Ajenge barabarani? Au hujui duniani tunapita?Anahangaika na mabinti..hv amesgajenga kweli kana wenzake kba Mwinjaku
[emoji23][emoji23]Manara km manaraYeye kila jambo ana uelewa nalo[emoji23]
Unataka kusema nini hapa?1. Mauzo ya Jez.
2. Simba na Yanga kutumia uwanja wa Mkapa.
3. NBC wadhamini wa ligi.
4. Azam TV.
Wao ndo wagawa tenda nani aoneshe na nani atangaze ligi kuu ya Tanzania.
Kabisa mkuu .Ni aibu kubwa! Team ya Taifa ichangiwe kwa lipi? mbona zile 10m kwa kila Goli zingewekwa vizuri wasingehangaika kuchangia? huu ni uhuni tu uliovuka mipaka. Haji ana hoja
Huyo ana division one ya point 'sevon' ujueYeye kila jambo ana uelewa nalo😂
Punguza jazbaNi changamoto kweli....yaan sijawahi ona albino mwenye kiherehere kama yule[emoji119]
Sawa,sorPunguza jazba
Hama mkuu hamia hata KoreaTanzania ni nchi ya ajabu sana.
Uhalifu unalindwa kwa gharama yeyote ile
Njoo tulaleSawa,sor