Zama za Haji Manara zipo ukingoni na asipokuwa makini zitalazimishwa kutamatika

Zama za Haji Manara zipo ukingoni na asipokuwa makini zitalazimishwa kutamatika

Wakati mwingine ujuaji usio na kiasi huweza kumsababishia mhusika matatizo yasiyo ya lazima mbele ya safari ambayo pengine angefika salama.

Haji Manara kwa mfano. Bwana yule hujifanya anayo mengi ayatambuayo. Na kutokuwa kwake makini na ayasemayo, hatimaye yanaelekea kumfitinisha hata na waliopo kwenye mfumo ( serikalini).

Kwa msiofahamu, mapema jana, bwana Haji kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, alidai haoni mantiki ya timu za Taifa kuchangiwa na Wananchi ilhali gharama zote zihusuzo ushiriki wake kwenye mashindano mbalimbali yaliyo chini ya chama cha soka barani Afrika, hugharamikiwa na wao (CAF).

Huenda bwana Haji alikuwa sawa kutoa malalamishi yale, pengine. Lakini unajiuliza, je, bwana yule hakugundua halibio lile lingewaathiri hata maswahibaye walio ndani ya mpango ule wa upigaji!? Kwamba, Haji hatambui tawi pekee (Serikali) linalomfanya aweze japo kubaki akining'inia asidondoke ndilo hilo ameanza kulitusi eti linamuumiza?

Hakika, naanza kuuona mwisho wa zama za Haji! Na akiendelea kufanya mchezo, hata hizo zama zilizopo ukingoni-zitawahishwa na ujuaji wake usio na kiasi.

Acha muda/mda uwe Mwalimu.
Nadhani lengo lake ni kisasi pengine juu ya Karia kwamba kwa maneno yale yanaweza mgusa Karia kwa kuwa ndiye Rais wa TFF. Lakini hakuchambua kwa undani zaidi kuwa je anamgusa Karia pekee au kuna walio juu za ya Karia wanaweza guswa na kashfa hii aliyoitoa.
 
Tatizo la haji anazeeka vibaya kwanza kwa umri wake anatakiwa busara zake ziongee zaidi kuliko sifa zake zakijinga, haji anadharau, anakiburi na jeuri, hana nidhamu....ndio maana simba walimtimua na ndio maana kila mwanamke anaemuoa anamkimbia....haji anashida
Ukirejea kusoma ulichoandika utaona we ndie unashida
Badala ya kujadili hoja yake ya uchangiaji wa team ya taifa kama ni sahihi ama sio sahihi umejikita kwenye personal attacks
Very low!
 
Wakati mwingine ujuaji usio na kiasi huweza kumsababishia mhusika matatizo yasiyo ya lazima mbele ya safari ambayo pengine angefika salama.

Haji Manara kwa mfano. Bwana yule hujifanya anayo mengi ayatambuayo. Na kutokuwa kwake makini na ayasemayo, hatimaye yanaelekea kumfitinisha hata na waliopo kwenye mfumo ( serikalini).

Kwa msiofahamu, mapema jana, bwana Haji kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, alidai haoni mantiki ya timu za Taifa kuchangiwa na Wananchi ilhali gharama zote zihusuzo ushiriki wake kwenye mashindano mbalimbali yaliyo chini ya chama cha soka barani Afrika, hugharamikiwa na wao (CAF).

Huenda bwana Haji alikuwa sawa kutoa malalamishi yale, pengine. Lakini unajiuliza, je, bwana yule hakugundua halibio lile lingewaathiri hata maswahibaye walio ndani ya mpango ule wa upigaji!? Kwamba, Haji hatambui tawi pekee (Serikali) linalomfanya aweze japo kubaki akining'inia asidondoke ndilo hilo ameanza kulitusi eti linamuumiza?

Hakika, naanza kuuona mwisho wa zama za Haji! Na akiendelea kufanya mchezo, hata hizo zama zilizopo ukingoni-zitawahishwa na ujuaji wake usio na kiasi.

Acha muda/mda uwe Mwalimu.
Wezi wakubwa nyie

Mjini hoja za Haji,hizi chuki binafasi haitawasaidia kuondoa ukweli wezi nyie
 
Wakati mwingine ujuaji usio na kiasi huweza kumsababishia mhusika matatizo yasiyo ya lazima mbele ya safari ambayo pengine angefika salama.

Haji Manara kwa mfano. Bwana yule hujifanya anayo mengi ayatambuayo. Na kutokuwa kwake makini na ayasemayo, hatimaye yanaelekea kumfitinisha hata na waliopo kwenye mfumo ( serikalini).

Kwa msiofahamu, mapema jana, bwana Haji kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, alidai haoni mantiki ya timu za Taifa kuchangiwa na Wananchi ilhali gharama zote zihusuzo ushiriki wake kwenye mashindano mbalimbali yaliyo chini ya chama cha soka barani Afrika, hugharamikiwa na wao (CAF).

Huenda bwana Haji alikuwa sawa kutoa malalamishi yale, pengine. Lakini unajiuliza, je, bwana yule hakugundua halibio lile lingewaathiri hata maswahibaye walio ndani ya mpango ule wa upigaji!? Kwamba, Haji hatambui tawi pekee (Serikali) linalomfanya aweze japo kubaki akining'inia asidondoke ndilo hilo ameanza kulitusi eti linamuumiza?

Hakika, naanza kuuona mwisho wa zama za Haji! Na akiendelea kufanya mchezo, hata hizo zama zilizopo ukingoni-zitawahishwa na ujuaji wake usio na kiasi.

Acha muda/mda uwe Mwalimu.
Hii nchi imejaaa maboga sana,So hapaswi kutoa maoni kisaanaogopa? Taofa lina kizazi cha kipuuzi mno,
 
Baada ya kusoma comments kwa huu uzi nimegundua kwamba Haji akigombea ubunge kwa tiketi ya CUF jimbo la Kawe wallah atatoboa maana keshajipatia wafuasi kibao kwa kauli hiyo [emoji23][emoji23]
Uko nje ya MAada,huna hoja kaa kimya,
 
Ngoja kwanza ninyi wanafiki wa Tz, Kwahiyo alichosema ni sahihi au sio sahihi? Maana kama yupo sahihi sidhani kama kulikuwa na haja ya kuandika uzi wa kuelezea downfall yake baada badala ya ku-support alichokisema. Shame😏
 
Ninasoma comments na kugundua namna watanzania walivyo wapumbavu,wajinga,mazuzu,matahira na mazwazwa!.

Itatuchukua muda sana kuyafikia maendeleo kama hizi ndizo akili za vijana wengi!
 
Nadhani lengo lake ni kisasi pengine juu ya Karia kwamba kwa maneno yale yanaweza mgusa Karia kwa kuwa ndiye Rais wa TFF. Lakini hakuchambua kwa undani zaidi kuwa je anamgusa Karia pekee au kuna walio juu za ya Karia wanaweza guswa na kashfa hii aliyoitoa.
Wakati yupo kwenye
mfumo hakuwahi kulalamika sasa yupo nje ya mfumo ndio anaona...
Amewahi pia kuwa muhamasishaji wa timu ya Taifa .... possibly aliona kuna upigaji
 
Mbona Juzi Haji Manara kachangia timu ya taifa milion 5 ? Alipiga simu mwenyew wasafi fm akatoa mchango wake.
 
Back
Top Bottom