MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Mtoa mada anamaanisha huwa kuna muda Sio sahihi kuwa na hoja sahihi, Chawa yeyote kama haji anapaswa kutambua hilo kutokana na aina ya maisha aliyochagua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂three some inahusika Leo😛Njoo tulale
Nadhani lengo lake ni kisasi pengine juu ya Karia kwamba kwa maneno yale yanaweza mgusa Karia kwa kuwa ndiye Rais wa TFF. Lakini hakuchambua kwa undani zaidi kuwa je anamgusa Karia pekee au kuna walio juu za ya Karia wanaweza guswa na kashfa hii aliyoitoa.Wakati mwingine ujuaji usio na kiasi huweza kumsababishia mhusika matatizo yasiyo ya lazima mbele ya safari ambayo pengine angefika salama.
Haji Manara kwa mfano. Bwana yule hujifanya anayo mengi ayatambuayo. Na kutokuwa kwake makini na ayasemayo, hatimaye yanaelekea kumfitinisha hata na waliopo kwenye mfumo ( serikalini).
Kwa msiofahamu, mapema jana, bwana Haji kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, alidai haoni mantiki ya timu za Taifa kuchangiwa na Wananchi ilhali gharama zote zihusuzo ushiriki wake kwenye mashindano mbalimbali yaliyo chini ya chama cha soka barani Afrika, hugharamikiwa na wao (CAF).
Huenda bwana Haji alikuwa sawa kutoa malalamishi yale, pengine. Lakini unajiuliza, je, bwana yule hakugundua halibio lile lingewaathiri hata maswahibaye walio ndani ya mpango ule wa upigaji!? Kwamba, Haji hatambui tawi pekee (Serikali) linalomfanya aweze japo kubaki akining'inia asidondoke ndilo hilo ameanza kulitusi eti linamuumiza?
Hakika, naanza kuuona mwisho wa zama za Haji! Na akiendelea kufanya mchezo, hata hizo zama zilizopo ukingoni-zitawahishwa na ujuaji wake usio na kiasi.
Acha muda/mda uwe Mwalimu.
Ukirejea kusoma ulichoandika utaona we ndie unashidaTatizo la haji anazeeka vibaya kwanza kwa umri wake anatakiwa busara zake ziongee zaidi kuliko sifa zake zakijinga, haji anadharau, anakiburi na jeuri, hana nidhamu....ndio maana simba walimtimua na ndio maana kila mwanamke anaemuoa anamkimbia....haji anashida
Wezi wakubwa nyieWakati mwingine ujuaji usio na kiasi huweza kumsababishia mhusika matatizo yasiyo ya lazima mbele ya safari ambayo pengine angefika salama.
Haji Manara kwa mfano. Bwana yule hujifanya anayo mengi ayatambuayo. Na kutokuwa kwake makini na ayasemayo, hatimaye yanaelekea kumfitinisha hata na waliopo kwenye mfumo ( serikalini).
Kwa msiofahamu, mapema jana, bwana Haji kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, alidai haoni mantiki ya timu za Taifa kuchangiwa na Wananchi ilhali gharama zote zihusuzo ushiriki wake kwenye mashindano mbalimbali yaliyo chini ya chama cha soka barani Afrika, hugharamikiwa na wao (CAF).
Huenda bwana Haji alikuwa sawa kutoa malalamishi yale, pengine. Lakini unajiuliza, je, bwana yule hakugundua halibio lile lingewaathiri hata maswahibaye walio ndani ya mpango ule wa upigaji!? Kwamba, Haji hatambui tawi pekee (Serikali) linalomfanya aweze japo kubaki akining'inia asidondoke ndilo hilo ameanza kulitusi eti linamuumiza?
Hakika, naanza kuuona mwisho wa zama za Haji! Na akiendelea kufanya mchezo, hata hizo zama zilizopo ukingoni-zitawahishwa na ujuaji wake usio na kiasi.
Acha muda/mda uwe Mwalimu.
Hii nchi imejaaa maboga sana,So hapaswi kutoa maoni kisaanaogopa? Taofa lina kizazi cha kipuuzi mno,Wakati mwingine ujuaji usio na kiasi huweza kumsababishia mhusika matatizo yasiyo ya lazima mbele ya safari ambayo pengine angefika salama.
Haji Manara kwa mfano. Bwana yule hujifanya anayo mengi ayatambuayo. Na kutokuwa kwake makini na ayasemayo, hatimaye yanaelekea kumfitinisha hata na waliopo kwenye mfumo ( serikalini).
Kwa msiofahamu, mapema jana, bwana Haji kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, alidai haoni mantiki ya timu za Taifa kuchangiwa na Wananchi ilhali gharama zote zihusuzo ushiriki wake kwenye mashindano mbalimbali yaliyo chini ya chama cha soka barani Afrika, hugharamikiwa na wao (CAF).
Huenda bwana Haji alikuwa sawa kutoa malalamishi yale, pengine. Lakini unajiuliza, je, bwana yule hakugundua halibio lile lingewaathiri hata maswahibaye walio ndani ya mpango ule wa upigaji!? Kwamba, Haji hatambui tawi pekee (Serikali) linalomfanya aweze japo kubaki akining'inia asidondoke ndilo hilo ameanza kulitusi eti linamuumiza?
Hakika, naanza kuuona mwisho wa zama za Haji! Na akiendelea kufanya mchezo, hata hizo zama zilizopo ukingoni-zitawahishwa na ujuaji wake usio na kiasi.
Acha muda/mda uwe Mwalimu.
Umeisha Changa? au unacoment uharo tu,na hujachangia kituNi changamoto kweli....yaan sijawahi ona albino mwenye kiherehere kama yule[emoji119]
Uko nje ya maadaAnahangaika na mabinti..hv amesgajenga kweli kana wenzake kba Mwinjaku
Uko nje ya MAada,huna hoja kaa kimya,Baada ya kusoma comments kwa huu uzi nimegundua kwamba Haji akigombea ubunge kwa tiketi ya CUF jimbo la Kawe wallah atatoboa maana keshajipatia wafuasi kibao kwa kauli hiyo [emoji23][emoji23]
AiseeeeJibu hoja yake ,ajenge yeye konokono? Ajenge barabarani? Au hujui duniani tunapita?
Wakati yupo kwenyeNadhani lengo lake ni kisasi pengine juu ya Karia kwamba kwa maneno yale yanaweza mgusa Karia kwa kuwa ndiye Rais wa TFF. Lakini hakuchambua kwa undani zaidi kuwa je anamgusa Karia pekee au kuna walio juu za ya Karia wanaweza guswa na kashfa hii aliyoitoa.
Umeamkaje ndugu?Uko nje ya MAada,huna hoja kaa kimya,
Huo ndio ukweliWakati yupo kwenye
mfumo hakuwahi kulalamika sasa yupo nje ya mfumo ndio anaona...
Amewahi pia kuwa muhamasishaji wa timu ya Taifa .... possibly aliona kuna upigaji
[emoji2][emoji2][emoji23]three some inahusika Leo[emoji14]