Zama za Haji Manara zipo ukingoni na asipokuwa makini zitalazimishwa kutamatika

Tanzania ni nchi ya ajabu sana.
Uhalifu unalindwa kwa gharama yeyote ile
 
Ni aibu kubwa! Team ya Taifa ichangiwe kwa lipi? mbona zile 10m kwa kila Goli zingewekwa vizuri wasingehangaika kuchangia? huu ni uhuni tu uliovuka mipaka. Haji ana hoja
 
1. Mauzo ya Jez.
2. Simba na Yanga kutumia uwanja wa Mkapa.
3. NBC wadhamini wa ligi.
4. Azam TV.

Wao ndo wagawa tenda nani aoneshe na nani atangaze ligi kuu ya Tanzania.
 
Kihuni hoja ya Hajj siyo kumshambulia tu bila majibu.
 
Ni aibu kubwa! Team ya Taifa ichangiwe kwa lipi? mbona zile 10m kwa kila Goli zingewekwa vizuri wasingehangaika kuchangia? huu ni uhuni tu uliovuka mipaka. Haji ana hoja
Kabisa mkuu .
Hii aibu kubwa kwa taifa.
 
Uzuri wa Haji ulopokaji wake huwa wa uongo na ukweli. Yeye haangalii hizo impact zake. Nyie walaji wa matamshi yake ndio mjipime.

Ila ni ushamba kupitisha bakuli kuzisaidia timu ambazo mamlaka husika zinabajet zake. Kama hatuna hela sio lazima tushiriki mashindano yote.

Mbona serikali haichangishi kununua mabasi ya mwendokasi yawe mengi tuache kubanana kama mbuzi tunaopelekwa mnadani.

Majanga tuombe msaada, michezo, bajet kuu nako bakuli.

Hatuwezi kuendesha masuala yetu kwa kuchangishana kwa raia na makampuni yanyolipa kodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…