Zama za Kilimanjaro Express zimeisha

Kwa siku wanapata faida kiasi gani kwa safari moja, ukitoa gharama za uendeshaji?
 
Kaskazini bus nzur kidia one , na tahmedi ukipanda hay raha san
 
Nakumbuka enzi izo ilikua kila baada ya li saa inatuharibikia kufika mikumi likagoma na kuendelea na safari service toka morogoro mjini ndo kidogo ikasaidia tukafika dar saa 7 toka mbeya iyo ni 2006
 
Arusha panda
1. BM
2. Tilhisho
3. Marangu

Ukikosa hayo panda
4. Extra luxury
5. Esther
Ukikosa haya hairisha safari ndugu hao wakina Kilimanjaro sijui Dar express wamejichokea ni safari za kubahatisha.
Hata mimi nikienda Arusha huwa napanda haya mabus ya Esther,Extra luxury au Happy nation na silipagi zaidi ya 25k.
Watu huwa wanadanganywa na majina tu kisha wanapigwa hela nyingi.
 
Mtoa hoja kwanza unazungumzia Kilimanjaro Bus ipi? Moja ya kampuni smbazo zinaongoza na ndio mfumo wake unaigwa na Kampuni zote za Ma Bus ni Kilimanjaro Truck. Huduma zake ni za Uhakika, Hawana historia ya kujaza abiria, kuacha Abiria wala kutoa huduma tofauti na abiria sliyoahidiwa.

Katika hoja yako unasema juu ya Uchakavu wa Ma bus huku ukiwa umeonesha Tiketi badala ya kutuonesha picha halisi ya Unachozungumzia. Sehemu ambayo umejichanganya zaidi ni kuanza kutaja kampuni ya gari ambayo imekutuma kuchafua Kilimanjaro Bus, Hizi propaganda zako haziwezi kuondoa imani ya Wateja wa hii kampuni. Tumekua tukipanda haya mabus sababu ya huduma nzuri na za uhakika, utu na ubinadamu wao pindi inapotokea Abiria umechelewa bus hawana longolongo wanakupakia kwenye bus jingine.

Nauli zao hazipandi na kushuka kama hizo za mabasi mengine za msimu. Hayo mabasi unayataja Unaweza jikuta kwenye bus kils mmoja kachajiwa nauli yake.

ACHA MANENO MENGI KILIMANJARO BUS ITABAKI KUWA BABA WA NJIA.

Sent from my SM-G980F using JamiiForums mobile app
 
BM ndo basi ya kupanda
 

Nikwel mkuu,mimi nilipanda mara 1 nilikua naelekea kaskazin saiz imeshakua ndo Bus langu.... very comfortable

Alaf lina warembo balaaa safar inakua fup[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…