Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Tena za mwaka huu..
Huyu Depal alipanda lini KLM usikute alipanda 2009 akisoma Marangu Girls ukoo form 2.
Sasa mwambie bs apande gari gani
Na mie mtu wa makamo🤣🤣🤣🤣Ni kweliiii
Wajanja na vijana tushahama, Kilimanjaro wamebaki watu wa makamo na ho kina Cyn wapenda mwendo wa kobe
KLM mara ya mwisho nimepanda last year July… Dar- ArushaTena za mwaka huu..
Huyu Depal alipanda lini KLM usikute alipanda 2009 akisoma Marangu Girls ukoo form 2.
Kidia one is my Fav 😂😂Sasa mwambie bs apande gari gani au bora akwee treni?
Hiyo Kidia ndio apande uyu aachane na gari unapanda mnakaa road hadi uliekaa nae mnazoeana, mnatongozana, mna break-up na mnarudiana..KLM mara ya mwisho nimepanda last year July… Dar- Arusha
Bus ni nzuriiii
Shida ni mwendoo
Na mwaka huu juzi kati tu hapo nilipanda ya Moshi- Arusha
Saa 2 usiku,, niliekaa nae akalalamika wamechelewa sana mwendo slow kma kawaida yao.
Maana anasema ingekuwa bus nyingine saa 1 tushafika Arusha, ila hiyo nimepanda ilikuwa saa 2 uck na ndo Moshi 😂
Etiii jamani 🤣🤣Hiyo Kidia ndio apande uyu aachane na gari unapanda mnakaa road hadi uliekaa nae mnazoeana, mnatongozana, mna break-up na mnarudiana..
Halafu umenipa wazo.👍 Nitarudi Dar kwa treni nipige utalii wa njia zote. 💪💪💪Sasa mwambie bs apande gari gani au bora akwee treni?
Sikushauri. 🤣🤣Halafu umenipa wazo.👍 Nitarudi Dar kwa treni nipige utalii wa njia zote. 💪💪💪
Esther je ?BM ndo basi ya kupanda
Sikushauri. 🤣
Kuna vurugu sana?maana sio nakaa na watu wamebeba hadi kuku.🤣🤣Sikushauri. 🤣🤣
Hiyo gari siwezi kuipanda. Naenda sana njia ya Kiwangwa almost kila week. Jinsi yale mabasi yanavoendeshwa siwezi kabisa kujaribu. Madreva wao hawana busara njiani kabisa. Kuna dreva kwenda mpera mpera ila akawa na tahadhari. Ila uendeshaji wa hayo mabasi sijawahi kuupenda maana nakutana nayo sana njia ya Bagamoyo hadi Kiwangwa.Esther je ?
🤣🤣🤣🤣Au mpaka unapata na mpenzi wa 2 naye mnaachana pia humohumo🤣🤣🤣🤣 So far am on Kidia 1. Hii mambo ya speed ntakaza roho 😀💪Hiyo Kidia ndio apande uyu aachane na gari unapanda mnakaa road hadi uliekaa nae mnazoeana, mnatongozana, mna break-up na mnarudiana..
Special kwa msimu huu kwa wanaoenda kuhesabiwa.View attachment 2414068
Vyuma hivi hapa..