Zama za kufungwa goli nyingi kwa Simba na timu za waarabu tumezizika rasmi. Kumwembe ukubali ukweli huu

Zama za kufungwa goli nyingi kwa Simba na timu za waarabu tumezizika rasmi. Kumwembe ukubali ukweli huu

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
"Mchambuzi" wa soka Kumwembe ambaye hana historia ya kucheza soka kwa kiwango hata cha kati alisema: "Hata kama Simba itashinda goli 3-0 hapa kwa Mkapa, bado haitoweza kusonga mbele”

Naamini hiyo kauli hatokuja kuirudia tena maana zama za kupigwa nyingi tumezizika rasmi na jumla!!
 
"Mchambuzi" wa soka Kumwembe ambaye hana historia ya kucheza soka kwa kiwango hata cha kati alisema: "Hata kama Simba itashinda goli 3-0 hapa kwa Mkapa, bado haitoweza kusonga mbele!! Naamini hiyo kauli hatokuja kuirudia tena maana zama za kupigwa nyingi tumezizika rasmi na jumla!!
Duuu,
 
Kumwembe njoo hapa utetee "uchambuzi" wako ambao sijui uliupata wapi maana hauko kwenye historia ya soka hapa nchini labda "chandimu"
 
Sasa hapo Kumwembe kakosea wapi? Ni kweli mngeshinda hata 3 mngetoka kama mlivyoshinda 1 halafu mmetoka . Mmeingia na approach nzuri tu ambayo imesaidia na wao walijua hawana mlima mkubwandio wakaingia na approach ile ya kutafuta ushindi kwa uangalifu.
 
"Mchambuzi" wa soka Kumwembe ambaye hana historia ya kucheza soka kwa kiwango hata cha kati alisema: "Hata kama Simba itashinda goli 3-0 hapa kwa Mkapa, bado haitoweza kusonga mbele!! Naamini hiyo kauli hatokuja kuirudia tena maana zama za kupigwa nyingi tumezizika rasmi na jumla!!
Kwenye mchezo wa mpira wa miguu huwezi kifikia hitimisho kama hilo!!timu ngapi kubwa huko duniani huwa zinapigwa hata tano?!!inategemea tu na mchezo wa siku hiyo umejichanganya vipi unapigwa!!kwani umesonga mbele?!!
Usije shangaa na YANGA akaja chezea kichapo hapa hapa,kwani Tatizo la bongo kila shabiki ni kocha,.
 
"Mchambuzi" wa soka Kumwembe ambaye hana historia ya kucheza soka kwa kiwango hata cha kati alisema: "Hata kama Simba itashinda goli 3-0 hapa kwa Mkapa, bado haitoweza kusonga mbele!! Naamini hiyo kauli hatokuja kuirudia tena maana zama za kupigwa nyingi tumezizika rasmi na jumla!!
Kwani wewe ulimfunga ngapi hapo kwa mkapa mpaka utake yeye akufunge nyingi!? Timu imekaa nyuma ya mpira ikiwa imepaki kontena la mapembelo cargo alafu ulitegemea mfungwe goli ngapi?
 
Kwani wewe ulimfunga ngapi hapo kwa mkapa mpaka utake yeye akufunge nyingi!? Timu imekaa nyuma ya mpira ikiwa imepaki kontena la mapembelo cargo alafu ulitegemea mfungwe goli ngapi?
Mlipokuwa mnadai simba atakula nyingi mlikuwa mnatumia kigezo kipi?
 
"Mchambuzi" wa soka Kumwembe ambaye hana historia ya kucheza soka kwa kiwango hata cha kati alisema: "Hata kama Simba itashinda goli 3-0 hapa kwa Mkapa, bado haitoweza kusonga mbele!! Naamini hiyo kauli hatokuja kuirudia tena maana zama za kupigwa nyingi tumezizika rasmi na jumla!!
Wydad ni bovu simba ilishindwa kuchanga karata zake vema waliingia hofu ambayo haukuwepo, pale kwa Mkapa angempinga hata mbili simba wangesonga mbele
 
"Mchambuzi" wa soka Kumwembe ambaye hana historia ya kucheza soka kwa kiwango hata cha kati alisema: "Hata kama Simba itashinda goli 3-0 hapa kwa Mkapa, bado haitoweza kusonga mbele!! Naamini hiyo kauli hatokuja kuirudia tena maana zama za kupigwa nyingi tumezizika rasmi na jumla!!
Huwezi kusema umezizika zama wakati timu zinatofautiana, game plan zinatofautiana pia. Kabla ya mechi ya Wydad, Simba ametoka kufungwa jumla ya magoli 6 dhidi ya Raja
 
Hakika, haogopwi tena mwarabu hata kama akiwa bingwa mtetezi wa kombe la dunia.
 
Back
Top Bottom