Jeje255
Member
- Jul 17, 2019
- 9
- 3
Unaweza usiwe na clean sheets lakini ukawa boraAlly Salum anazo cleansheet ngapi kwenye ligi kuu?
Sent from my Nokia C21 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza usiwe na clean sheets lakini ukawa boraAlly Salum anazo cleansheet ngapi kwenye ligi kuu?
Mimi nimewasoma sana, hakuna wachambuzi bali kuna washabiki wa timu ambao wamepata nafasi ya kuzungumza kwenye redio kutetea na kusifu timu zao wanazozipenda kwakuwa wanacho kisemeo. Mtu anaezunguzumzia mpira huwa ninampenda sana hata kama inaisema timu yangu kwakuwa ukweli ni ukweli hata kama ukiukataa, lakini tuna wachambuzi wengi (sio wote kabisa) ambao wanafanyakazi ya afisa habari wa timu kwenye chombo cha habari cha mtu.Tanzania hakuna wachambuzi wa mpira bali kuna washabiki wa timu wanaotoa maoni na mpenzi ya timu zao kwa mwavuli wa uchambuzi. Majuzi nilisikiliza radio tano tofauti wanazungumzia juu ya jezi namba 20 ya Simba wanatumia zaidi ya saa nzima kuijadili jezi hiyo.
Umemaliza yote.Mimi nimewasoma sana, hakuna wachambuzi bali kuna washabiki wa timu ambao wamepata nafasi ya kuzungumza kwenye redio kutetea na kusifu timu zao wanazozipenda kwakuwa wanacho kisemeo. Mtu anaezunguzumzia mpira huwa ninampenda sana hata kama inaisema timu yangu kwakuwa ukweli ni ukweli hata kama ukiukataa, lakini tuna wachambuzi wengi (sio wote kabisa) ambao wanafanyakazi ya afisa habari wa timu kwenye chombo cha habari cha mtu.
zile goli za kubahatisha za inonga na kibu ndizo zilizoigharimu Simba baada ya mechi ile. Simba walikiamini kikosi kilekile kilichoifunga timu bora kwenye ligi na Afrika hivyo ikiwa ndicho kipimo chao cha first 11, hawakutaka kumbadilisha hata mchezaji mmoja kutoka kikosi kile, hadi wakafikia kusema "No manula no problem" lakini wakakiona cha mtema kuni kwenye ligi, kombe la Azam na CAF. Hawakuambulia hata jagi la kunywea mbege.Hivi zile Goli Mbili Bila za Inonga na Kibu de.
Golikipa wa Simba alikuwa nani ?
Acheni dharau kwa Wazawa.
Ally Salimu.
Huko uliko jifue sana
Hakuna aliyezaliwa Golikipa ni Bidii ya Mazoezi tu