Aisee...
Si ilikuwa chungu sana?
Mimi sina wa kumoeleka kwa arasii bhana.
Nashukuru kama uko salama
Hata Lowassa?
Hapana mimi enzi zangu hivyo vibegi vya kichina vilikuwa havijazaliwa...Swahiba wewe najua mboga saba mtoto wa mjini haya mambo ya vibegi vya kichina ulikua unabadili unavyotaka mwenyewe.
Sie lazima uvizie suruali chakavu ukate miguu ndio ushone mfuko wa madaftari, kiwanda kingine cha kushona hicho...
Akiii umenichekesha ujue hahaa
Ndiyo babuHata Lowassa?
Mimi ni mtu mutlibu...Zoezi limekuacha salama mkubwa?
Daaah!!Unajua ugwadu wa Big G weye? Mkibahatika kuwa na sukari unanyunyizia lakini wapi, havishikamani.
Basi nipeleke mimi nasi tutawale vichwa vya magazetiNdiyo babu
Nimeacha kwakweliNdio uache kuniita MOTP
Ila maisha ni safari ndefu sana mkuu yani mm maisha ya bata yalinishindaga utanikuta nachunga mbuzi za watu, naenda gombania ukoko wa ugali na viporo Kwa majirani wakati home mfanyakazi kashaanda chakula ila nikiziweka now day natamani bata sema ndo majukumu yashaniandamaSie ndio ilikua zetu mkubwa. Tena home wakikaa vibaya unawachenjua unapiga makopo kadhaa ya mahindi unachanganya na yako unaingia black market unauza unasunda mpunga kibindoni...I miss those days
Nimeacha kwakweli
bila shaka unatakiwa upatiwe milioni 100 [emoji23][emoji23]Daah! Umenikumbusha mbali,
Nakumbuka vilikuwa vinauzwa mia tano, ila nikawa naogopa kumwambia Bi mkubwa aninunulie na mimi nikatambe,
Kwa kuwa mwenyewe ninaubunifu nikanunua mfuko wa Nailoni ile migumu yenye mistari myekundu na myeupe, nikakata juu kuondoa ile sehemu ya kushikia kisha nikachukua sindano na uzi nikapiga Pindo,
Baada ya hapo nikafumua kiroba nikachukua zile kamba zake kisha nikasokota,
Nikapitisha kwenye lile pindo kisha nikatoboa kwa chini then nikafunga,kwa hiyo ikawa ukivuta zile kamba palle juu panafunga kama ile ya kichina
Sasa na mimi nikawa na Sport Made by mi mwenyewe kufika shule nikafunika vibaya sana, yaani shule nzima nikawa na Sport ya kipekee,
Mvua ikinyesha sasa, mi sina wasi wasi na madaftari kuloa napuyanga kama kawa, wao wenye Visport vyao vya kununua ikawa wanasubiri mvua ikatike,
Bi mkubwa mwenyewe alinipigia saluti,
Akaniambia tu, huo ukiisha ntakununulia Bag, mi sikuwa na mpango wa Bag, ukiisha natengeneza mwingine
Daah! Yaani nilikuwa mbunifu kweli kweli
Ila maisha ni safari ndefu sana mkuu yani mm maisha ya bata yalinishindaga utanikuta nachunga mbuzi za watu, naenda gombania ukoko wa ugali na viporo Kwa majirani wakati home mfanyakazi kashaanda chakula ila nikiziweka now day natamani bata sema ndo majukumu yashaniandama
Mimi nina brenda nyumbani rafiki,wewe unamiliki nini?Sasa kuhusu viwanda unamkakati gani rafiki. Tutaendelea kuwa wasindikizaji? Lete mipango wakati ni sasa
[emoji23][emoji23][emoji23] watu mmetoka mbali kweli kweli. Mimi nakumbuka nilikua narafiki yangu anapita upande wa kushoto wa barabara mimi napita kulia tunaokota vifungashio vya biskuti tunakula zile chenga za biskuti zinazobakiWatoto wa geti kali utawajua tu. Yaani enzi hizo sie bazoka ikitemwa unaiokota unapangusa mchanga unaendeleza ku show game. Nyie tayari mlikua mnamiliki vitu vya anasa kiasi hicho?
Kwanza kijijini ndani ndani huko ukiokoteza mahindibaada ya watu kuvuna ndio unaenda kununua kandambili za bora, unazivaa jumapili tu, ukirudi unazisuuza unazisunda uvunguniiii zisije kuibiwa hapo ni hadi okesheni nyingine.
Mimi nina brenda nyumbani rafiki,wewe unamiliki nini?
upo mkoa gani mkuu huku kanda kaskazini tunalia gati (mrungi)Hivi bigG bado zipo?sijaziona kitambo.
Wavuta sigara walikuwa wanazipenda sana zile