Zile jojo zilikua kiwango, kweli utamu ulikua unapotea lakini zilikua na harufu moja amazing.
Ah! Unajua kumbe viwanda vimeanza zamani. Tulikua tunatengeneza hizo BigG ukame ukizidi, unachoma ile mipira (tube) ya baiskeli ikilainika unatafuna umemaluza biashara.
Ashukuriwe Mungu magonjwa ya kitajiri hayakuwepo wakati ule, saratani ingeshatufyeka kitambo.