Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,754
- 8,750
Hii tulikua tunaiita hvo hivo kama ilivoandikwa ""sport"". yani ni wanafunzi wachache sana walikua wanarudi nyumbani bila huo mfuko kuwa na mafuta ya maandazi na bagia.
Sisi wanaume ndo ilikua mtu anaona bora daftari ashike mkononi lkn humo ndani mpira lazma ukae.
Sasa kuna wale walokua wanajifanya wana matilio na mavitabu mengi ya darasa la tano la sita au la saba unakuta mpaka hcho kimfuko kinatamani kiseme kuwa kimetingwa ila ndo hvo.
SASA BHANA KUMBE VILIKUA VINATOKA CHINA HUKO VINAKUJA KWA MELI KABISA........
Sisi wanaume ndo ilikua mtu anaona bora daftari ashike mkononi lkn humo ndani mpira lazma ukae.
Sasa kuna wale walokua wanajifanya wana matilio na mavitabu mengi ya darasa la tano la sita au la saba unakuta mpaka hcho kimfuko kinatamani kiseme kuwa kimetingwa ila ndo hvo.
SASA BHANA KUMBE VILIKUA VINATOKA CHINA HUKO VINAKUJA KWA MELI KABISA........