Zamani ilikua hatuwezi kutengeneza hii....sasa sijui kama wakati huu wa viwanda tunaweza tengeneza hii kitu.

Zamani ilikua hatuwezi kutengeneza hii....sasa sijui kama wakati huu wa viwanda tunaweza tengeneza hii kitu.

Daah! Umenikumbusha mbali,

Nakumbuka vilikuwa vinauzwa mia tano, ila nikawa naogopa kumwambia Bi mkubwa aninunulie na mimi nikatambe,

Kwa kuwa mwenyewe ninaubunifu nikanunua mfuko wa Nailoni ile migumu yenye mistari myekundu na myeupe, nikakata juu kuondoa ile sehemu ya kushikia kisha nikachukua sindano na uzi nikapiga Pindo,

Baada ya hapo nikafumua kiroba nikachukua zile kamba zake kisha nikasokota,

Nikapitisha kwenye lile pindo kisha nikatoboa kwa chini then nikafunga,kwa hiyo ikawa ukivuta zile kamba palle juu panafunga kama ile ya kichina

Sasa na mimi nikawa na Sport Made by mi mwenyewe kufika shule nikafunika vibaya sana, yaani shule nzima nikawa na Sport ya kipekee,

Mvua ikinyesha sasa, mi sina wasi wasi na madaftari kuloa napuyanga kama kawa, wao wenye Visport vyao vya kununua ikawa wanasubiri mvua ikatike,

Bi mkubwa mwenyewe alinipigia saluti,
Akaniambia tu, huo ukiisha ntakununulia Bag, mi sikuwa na mpango wa Bag, ukiisha natengeneza mwingine

Daah! Yaani nilikuwa mbunifu kweli kweli
Tumepoteza kiwanda tayari toka zamani..
 
Namuomba mkulu akazindue kiwanda cha mama kijijini,amefungua kiwanda cha pombe aina ya flasher,ni mixer komoni na ile nyingine inayopigwa vita aka chingili...ni nzuri sana kwakweli.
Pabaya panakwita mkuu.....ukiitika tu bs wamekudaka

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Daah! Umenikumbusha mbali,

Nakumbuka vilikuwa vinauzwa mia tano, ila nikawa naogopa kumwambia Bi mkubwa aninunulie na mimi nikatambe,

Kwa kuwa mwenyewe ninaubunifu nikanunua mfuko wa Nailoni ile migumu yenye mistari myekundu na myeupe, nikakata juu kuondoa ile sehemu ya kushikia kisha nikachukua sindano na uzi nikapiga Pindo,

Baada ya hapo nikafumua kiroba nikachukua zile kamba zake kisha nikasokota,

Nikapitisha kwenye lile pindo kisha nikatoboa kwa chini then nikafunga,kwa hiyo ikawa ukivuta zile kamba palle juu panafunga kama ile ya kichina

Sasa na mimi nikawa na Sport Made by mi mwenyewe kufika shule nikafunika vibaya sana, yaani shule nzima nikawa na Sport ya kipekee,

Mvua ikinyesha sasa, mi sina wasi wasi na madaftari kuloa napuyanga kama kawa, wao wenye Visport vyao vya kununua ikawa wanasubiri mvua ikatike,

Bi mkubwa mwenyewe alinipigia saluti,
Akaniambia tu, huo ukiisha ntakununulia Bag, mi sikuwa na mpango wa Bag, ukiisha natengeneza mwingine

Daah! Yaani nilikuwa mbunifu kweli kweli
hahahahaaa ukawa umeshavimba kichwa baada ya kugundua unabegi special shule nzima

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Watoto wa geti kali utawajua tu. Yaani enzi hizo sie bazoka ikitemwa unaiokota unapangusa mchanga unaendeleza ku show game. Nyie tayari mlikua mnamiliki vitu vya anasa kiasi hicho?

Kwanza kijijini ndani ndani huko ukiokoteza mahindibaada ya watu kuvuna ndio unaenda kununua kandambili za bora, unazivaa jumapili tu, ukirudi unazisuuza unazisunda uvunguniiii zisije kuibiwa hapo ni hadi okesheni nyingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa bhana umenichekesha sana....ko kuokota bazoka ya chini kuna umjini na ukijijini kweli hapo??

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Watoto wa geti kali utawajua tu. Yaani enzi hizo sie bazoka ikitemwa unaiokota unapangusa mchanga unaendeleza ku show game. Nyie tayari mlikua mnamiliki vitu vya anasa kiasi hicho?

Kwanza kijijini ndani ndani huko ukiokoteza mahindibaada ya watu kuvuna ndio unaenda kununua kandambili za bora, unazivaa jumapili tu, ukirudi unazisuuza unazisunda uvunguniiii zisije kuibiwa hapo ni hadi okesheni nyingine.
ww mtu mungu anakuona nakumbuka home tulikuwa wakishua sasa mm nilikuwa napenda kuishi maisha pori siku moja nikaenda lokoteza maindi kwenye shamba la shule flani hivi ya private na machali wa mtaani kumbe mzee siku hio alibadili gari si akapita akaniona usiku kufika home nilipigwa kipigo ya mbwa mwezi
 
ww mtu mungu anakuona nakumbuka home tulikuwa wakishua sasa mm nilikuwa napenda kuishi maisha pori siku moja nikaenda lokoteza maindi kwenye shamba la shule flani hivi ya private na machali wa mtaani kumbe mzee siku hio alibadili gari si akapita akaniona usiku kufika home nilipigwa kipigo ya mbwa mwezi

Sie ndio ilikua zetu mkubwa. Tena home wakikaa vibaya unawachenjua unapiga makopo kadhaa ya mahindi unachanganya na yako unaingia black market unauza unasunda mpunga kibindoni...I miss those days
 
Watoto wa geti kali utawajua tu. Yaani enzi hizo sie bazoka ikitemwa unaiokota unapangusa mchanga unaendeleza ku show game. Nyie tayari mlikua mnamiliki vitu vya anasa kiasi hicho?

Kwanza kijijini ndani ndani huko ukiokoteza mahindibaada ya watu kuvuna ndio unaenda kununua kandambili za bora, unazivaa jumapili tu, ukirudi unazisuuza unazisunda uvunguniiii zisije kuibiwa hapo ni hadi okesheni nyingine.
Sam nini lakini[emoji23][emoji23]
Kwani kumiliki hiyo kitu ilikuwa anasa?
 
Sie ndio ilikua zetu mkubwa. Tena home wakikaa vibaya unawachenjua unapiga makopo kadhaa ya mahindi unachanganya na yako unaingia black market unauza unasunda mpunga kibindoni...I miss those days
Kumbe u bad boy umeanza kitambo eeh??
 
Watoto wa geti kali utawajua tu. Yaani enzi hizo sie bazoka ikitemwa unaiokota unapangusa mchanga unaendeleza ku show game. Nyie tayari mlikua mnamiliki vitu vya anasa kiasi hicho?

Kwanza kijijini ndani ndani huko ukiokoteza mahindibaada ya watu kuvuna ndio unaenda kununua kandambili za bora, unazivaa jumapili tu, ukirudi unazisuuza unazisunda uvunguniiii zisije kuibiwa hapo ni hadi okesheni nyingine.
Alafu zilikuwa ngumu sio sasa hivi zinayeyuka kwenye meno ukitafuna (ila mdau tegemea kuulizwa bazoka ni nini)
 
Back
Top Bottom