Zamani nilikuwa namshangaa mtu aliyefanikiwa kimaisha na hasaidii ndugu zake, Leo mimi natamani hata kuwapiga Risasi

Ishi na ndugu zako vizuri lakini wema usizidi uwezo,acha kuwasiliana na ndugu Mara kwa Mara kila aishi maisha yake.

Ukipigiwa simu za kupigwa mizinga na wewe tangaza njaa ya kufa leo au kesho yaani waambie una madeni kila kona kuanzia Bank mpaka kwa watu binafsi.

Hakuna haja ya kugombana na ndugu zako yaani mkikutana mnapiga story fresh mkianacha kila mtu na maisha yake.
 
Mimi kama ndugu Mtanzania acha niwawakilishe ndugu wenzangu wote wa Tanzania hii tunaosemwa na watu wasio ndugu.
 
Unaongea kitu usichokifahamu mkuu
 
Pesa ya kutoa kwa ndugu peleka benki. Ikifika mwisho wa mwaka jipongeze kwa kiwanja, kumalizia nyumba ama gari.
NB: Hakikisha 95% ya pesa yako unaila wewe na familia yako (Mwenza , watoto na wazazi) ibaki 5% ya ndugu humo iwepo Michango ya harusi na misiba. Utaenjoy maisha Sana. Hapa nimeagiza vitz Clavia ya wife kwa kubana Michango ya ndugu. Sijachanga mchango wa harusi wa ndugu wala rafiki takribani mwaka wa 6 huu kila nikiletewa kadi ya mchango narusha huo mchango kwenye akaunti yangu NMB
 
Daaaahh!! sasa sie masikini tukasaidiwe wapi kama mnatutenga namna hii!!?
Umaskini wa kujitakia. Nimezaliwa kwetu Maskini nimekuja town kwa kuunga, nimeendesha bodaboda, kukaanga chips huku nasoma QT Sasa Nina degree 2. Japo sijaacha biashara ya chips. Ndugu kama wote, nawatolea mbavuni
 

Uko sahihi [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Mawazo ya kimaskini haya. Kama wafungwa wasio na ndugu wanazikwa, sembuse mimi ambaye sio mfungwa? BTW wewe ukishakufa hata yanayoendelea huyajui, why ukae unaworry eti nikifa nani atanizika!! Stupid

Absolutely you are right
 
Hakika mkuu
 
Usirudie kuwasaidia

Maana hutapungukiwa kitu
Kuendelea kuwasaidia kutajeenga jamii isiyojifunza
 
Hayajakupata
 
Ukitaka kuwajua ubaya wao vizuri ngoja siku uchache ndio utajua misaada yako haikuwa na maana kwao...
 
Sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…