Zamani nilikuwa namshangaa mtu aliyefanikiwa kimaisha na hasaidii ndugu zake, Leo mimi natamani hata kuwapiga Risasi

huwajui tu ndugu
Tuume na kupulizia, hakuna ajuaye kesho yake ndio maana tunaishi kwa kujihami. Tunaweka akiba ya fedha na kumheshimu kila mtu kwasababu hatujui nani atakuwa nani kesho na wewe utakuwa nani kesho.

Binafsi huwa napenda sana "opposite" ya aya hii kutoka kwenye msahafu isemayo, "usilotaka kutendewa usimtendee mtu mwingine". Sijui imenifahamu mantiki ya usemi huo.
 
Achana na ndugu, kula bata na malayer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…