UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Hypothesis yako ni fyongo. Mbowe hakukulia maisha ya dhiki, lakini mbona hajaisaidia chadema kujenga angalau hata kaofisi kadogo ka makao makuu; angalau hata kuwa na kiwanja tu?Bahati mbaya vijana wanaopewa vyeo ni wale waliokulia maisha ya dhiki mno !