Viongozi vijana hawajaanza awamu hii, Toka uhuru nchi yetu iliongozwa na vijana. Nyerere mwenyewe alikuwa kijana alikuwa Rais akiwa na miaka 30 na kitu, angalia akina Msekwa wakati huo. Akina Kikwete wote walikuwa vijana walipo shika nyazifa mbali mbali. Kikubwa tujiulize kuna tofauti ipi vijana wa zamani na sasa? Vijana wa sasa wanaonesha kushindwa kuliko vijana wa zamani.