mie nlivyokuwa mtoto nlikuwa nataman niwe mkubwa niwe na mtoto nkimnyonyesha na mie nnyonye! bt now hata cyataman tena dah..... kwel utoto!
bora wewe TV mie nilijua ndani ya radio ndio kuna watu..lol
ulikuwa na akili sana wala siyo ujinga you was thinkng big kwani kwani halipo soko la dunia ni hiz SME za ulaya unakuta kila siku zinaongezeka!maana kama sikuwepo teknolijia inamaana ungekuwa bonge la mnada!hukuwa mjinga natumaini hukupoteza kipaji chako utakuwa unafanyamambo ya marktng!Nilijua SOKO LA DUNIA liko mahali fulani na lazima itakua ni KUBWA SANA
mboni mkali wa maneno?Ooo you simple ones,understand prudence,and you fools, be of an understanding heart.
For my mouth will speak truth,wickedness is abomination to my lips,nothing crooked or pervese in my mouth.
Habari zenu wandugu?? Leo embu tukumbushane mambo ya zamani ambayo ulikua unatumia akili za kitoto ktk kufikiri. Basi bhana mimi zamani nilivyokua mjinga nlikua najua ukizima RADIO kama ilikua ni taarifa ya habari au matangazo ya vifo, ukija kuwasha baadae kitaendelea kilichokua kinatangazwa kabla hujaizima radio. Nlikua mjinga eh? Embu na wewe tupe kaujinga kako kazamani...
Mi mpaka leo hii kuna baadhi ya mambo mi mjinga kabisa
Habari zenu wandugu?? Leo embu tukumbushane mambo ya zamani ambayo ulikua unatumia akili za kitoto ktk kufikiri. Basi bhana mimi zamani nilivyokua mjinga nlikua najua ukizima RADIO kama ilikua ni taarifa ya habari au matangazo ya vifo, ukija kuwasha baadae kitaendelea kilichokua kinatangazwa kabla hujaizima radio. Nlikua mjinga eh? Embu na wewe tupe kaujinga kako kazamani...
Nilijua SOKO LA DUNIA liko mahali fulani na lazima itakua ni KUBWA SANA