Nilivyokuwa mdogo nilisimuliwa kuwa gari aina ya range rover ikikimbia sana inapaa kama ndege
Nakumbuka nikiwa darasa la pili ckwenda shule nkaenda porini na mama kumsaidia kulima, kesho yake mwalimu akaniulza kwanini ckwenda shule jana yake nkamjibu "mama kaniambia nkae nyumbani nkore soko" ikiwa na maana mama kaniambia nikae nyumbani nipike kunde, basi darasa zima na mwalimu wakanicheka nkaona aibu nkatoka nje mbio.
mi nlizani bao ni ile kupampu kuna siku nlipampu mara 20 nkamuadithia kaka angu kuwa nimepiga bao 20 aisee nlichekwa sanaZamani nilikuwa nadhan kupiga bao ni kumkojolea mwanamke mkojo wa kawaida.
Ilisaidia sana kuowahi kufanya mambo ya ngono mapema, kama ilivyo sasa watoto wanafahamu mimba.ns hsts ukisikia mtu anakuita mchumba wala mlikuwa hamfanyi chochote cha ngono, lakini miaka hii mtoto anazaa mtoto.nlkua nadhan watoto wachanga wananunuliwa hosptal, mwanamke mja mzto et n kwamba amevmbiwa. Loh, ukila mbegu za ma2nda mti utaota kchwan. Hahah, n ujnga ujnga ujnga
Hahahahahaahaaaaaaaaaaaa! Loh! Nami ningenyoa na kuvaa miwani ili niwe tajiri . umenifanya nicheke sana.Mi nilikuwa nikimuona mtu alievaa miwani alafu anakipara basi najua ni daktari pia tajiri wakutupa
Mbele wapi na hicho kichwa kinachovimba kikifika mbele ni kipi yakheeeee?maana husema,"mwenye hekima huona haya na kujificha bali mpumbavu huenda mbele na kuvimba kichwa"
Haya bwana mie nilibeba radio kwenda nayo chooni nikiamini kwamba nikitumbukia watanitangaza, teh teh!
Hata Mimi nilikuwa nawaza hivyo mweeemi nlikuwa najua mtoto anatokea sehem ya kutolea haja kubwa
mipapai dume tulikuwa tunaifunga mabunzi ya mahindi ili ugeuke mpapai jike