mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Vp mkuuuu jibu umeshakipata mpaka sasaNilipokuwa mdogo nilipenda sana kulala na dada zangu kuliko kaka zangu; na baba yangu mara kwa mara alinikataza na kunielekeza nikalale na kaka zangu.
Siku moja nikagadhabika nikamuuliza "baba kwanini unanikataza kulala na kina dada"? Baba alinijibu kwa kuwa ww ni mwanaume na wao ni wasichan kwahio sio vizuri kulala nao...
Nami nikwambia mbona wewe kila siku unalala na mama na wakati mama ni mwanamke?........
Hakika baba alikosa jibu............
Sent using Jamii Forums mobile app