sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,057
- 719
Habari zenu wandugu?? Leo embu tukumbushane mambo ya zamani ambayo ulikua unatumia akili za kitoto ktk kufikiri. Basi bhana mimi zamani nilivyokua mjinga nlikua najua ukizima RADIO kama ilikua ni taarifa ya habari au matangazo ya vifo, ukija kuwasha baadae kitaendelea kilichokua kinatangazwa kabla hujaizima radio. Nlikua mjinga eh? Embu na wewe tupe kaujinga kako kazamani...
Mimi nilivyokuwa mdogo niliaminishwa kuwa wanaokula filigisi ni wakubwa peke yao tena wanaume, watoto wakila watakufa,mwanangu wa kike alikula mwaka juzi hadi leo hajafa.
mm mpaka jana nilikuwa najua rais ni tajiri kuliko wananchi wote.
Nilipanda vifuatavyo nikidhani vingeota. Thumni Keki Pipi na Dagaa
hahaha..mimi nilikuwa naambiwa na kikaamini korosho zinatengeneza mafuta ya ndege
Kwani umehasiwa mkuu????Baba alipokuwa ananihasa na kuniambia mambo ya maana nilidhani ni mchochezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tasia1 ni wwe yule wa mtendeni ps auhahahahahahahahaaaa...!
umenikumbusha shuleni.
nilikua mdogo kuliko wote darasani ila nilikua mtundu sana. akili pia hazikua haba saaaana.
siku moja niko dawati la nyuma kabisa mwalim wa kiswaz anaendelea kufundisha me na mwanangu GP (RIP) tUnapiga
story. mara tcha akanistukiza....."tasi...mapenzi ni nini?" sasa mie kwa kukumbuka maneno ya mtaani mara mapenzi kidonda, mara mapenzi kikohozi, mara mapenzi nika uginjwa hayafichiki.....nikajibu "mapenzi ni kizunguzungu"
darsa looote kicheko......maskini mwalimu machungwa wala hakunichapa nae akashangaatu.