Zamani nilivyokuwa Mjinga!


Mimi nilivyokuwa mdogo niliaminishwa kuwa wanaokula filigisi ni wakubwa peke yao tena wanaume, watoto wakila watakufa,mwanangu wa kike alikula mwaka juzi hadi leo hajafa.
 
Mi nilikuwa naambiwa mtoto akiwa mchanga yale maneno anayoongea Akiwa anajifunza kuongea(yale uasioeleweka)ni kiingereza.yani nilipoenda shule nilitangaza kwa wenzangu mtoto wetu anaongea kiingereza.basi muda wa kutoka shuleni nikawakusanya kwenda nao home wakajionee wenyewe.
 
Mimi nilivyokuwa mdogo niliaminishwa kuwa wanaokula filigisi ni wakubwa peke yao tena wanaume, watoto wakila watakufa,mwanangu wa kike alikula mwaka juzi hadi leo hajafa.

hahaha..mimi nilikuwa naambiwa na kikaamini korosho zinatengeneza mafuta ya ndege
 
Mimi kwa kweli kipindi nikiwa mdogo nikipelekwa sinema nilikuwa najua wanacheza sinema wamo humo nyuma ya pazia. Basi Amitabh Bachan akipigwa risasi nilikuwa nalia!!
 
Kingine kipindi kile RTD mtangazaji akiweka mziki anamwambia fundi mitambo. Basi mimi nilidhani wanamuziki wote wamo humo ndani wanabadilishana tu muda wa kupiga mziki.
 
Nilikuwa mjinga mana wale wadada waliokuwa wanajiachia na vichupi vyao hata sikuwa na tym nao.....yan niliishi na vigoli wala moyo haukushtuka naishi na vitamu.....balaaaa nilijuaga mvua ikinyesha na jua linawaka et simba anazaa....nkajua albino hawafi....nkajuaga et Jamiiforum nikama fb wacha nipewe zachembe...
 
Mkuu tasia1 ni wwe yule wa mtendeni ps au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…