Nilikuwa nikisikia redioni wanatangaza "Jipatie TV nchi 12 ...", namwuliza baba kama watakuruhusu ujichagulie nchi kama vile Kenya, Ujerumani, Marekani etc. Kumbe wanamanisha mapana na marefu.
Mimi sikua mjinga kama nyie nilikua napenda sana kusoam kiasi kwamba umeme ukikatika naenda kusubiri taa za magari nagonga kama msatri mmoja hivi likipita nasubiri lingine
iote kuku
Teh! Teh! Kali yangu ambayo mpaka leo najcheka nakumbuka nikiwa darasa 3
kwenye mtihani wa english maswal ya kujaza nafas zilizo waz sasa kuna swali lilinigonga nikashindwa kujb nijaza CHELEA APINA enzi hizo hilo neno ndo lipo kwenye midomo ya watu
Sasa hiyo 1;
2. Watu walikuwa wanasema kuwa umeme wa chooni unanguv kuliko wa tnsko sasa tunapeleka waya chooni tunadumbukiz kwa shimo hazgus mav* zinakuwa znaelea af tunaenda kusubir ndan na kuwasha glopu zile za toch enz hizo zinauzwa sh.50 lkn ilikuwa holaa
tunapeana moyo kuwa chaji bado haijafka baadae tukaambiwa sio kinyes cha choon bali mbolea ya ng'ombe
wacha tukayajaze vidumu vya lita 5 tunachanya na maji mixer mikojo yetu(ile ya asbh tuliokojoa usiku kweny makopo si tulikuwa tunaogopa kutoka nje)
tunachimbia nyuma ya chumba chako usawa wa dirisha safari hii tulikuwa tunaweka na betri ili kupata + na -
tukijua kuwa zitakuwa zina bustiwa na lile joto lkn was holaaa!
huwa najcheka sana lkn haya uswaz sana
ploud uswaziii!!!!!!!!!
Mimi nilikua naogopa kumtaja Nyerere eti nitakamatwa
We lazima saivi utakua Mbunge. Embu nikumbushe wa jimbo gani lile?
Redio ya bendi 3 nilidhani ni Msondo, Sikinde na Vijana Jazz
Niliiba viatu vya baba (kama vya kungfu vile) nikapeleka kwa fundi viatu anipunguzie kama nguo inavyopunguzwa.
Yaani kama mimi ambavyo sijui kutofautisha kati ya meat na meet kwa matamshimpaka leo siwezi kutenganisha full na fool kwa matamshi
hata mimi niliwahi kuvipenda viatu vikubwa kidogo nikafanfya hivi kwa imani kabisaNiliiba viatu vya baba (kama vya kungfu vile) nikapeleka kwa fundi viatu anipunguzie kama nguo inavyopunguzwa.
mimi niliwahi kulamba sukari na majani nikanywa na maji ya baridi kisha nikakaa juani...................Nakumbuka niliwekasukari nyingi kwenye chai nikafikiri nikajiona mjanja nikaweka chumvi kidogo... Kilicho nitokea nilipo onja ni nomaaa...
Invites to
Marry Hunbig Slave @C6
Nakumbuka niliwekasukari nyingi kwenye chai nikafikiri nikajiona mjanja nikaweka chumvi kidogo... Kilicho nitokea nilipo onja ni nomaaa...
Invites to
Marry Hunbig Slave @C6