Zamani ukitaka pesa chapuchapu ilitakiwa uwe mfanyabiashara sahivi viongozi na wafanyakazi vitengo ndo wanapata hizo chapu chapu

Zamani ukitaka pesa chapuchapu ilitakiwa uwe mfanyabiashara sahivi viongozi na wafanyakazi vitengo ndo wanapata hizo chapu chapu

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Mwalimu Nyerere aliasisi uadilifu katika utumishi was umma!

Zamani ili uwe na pesa za kuchota ilitakiwa uwe mfanyabiashara mkubwa!

Lakini sasahivi viongozi na wafanyakazi vitengo ndiyo wanajichotea pesa mingi kupitia posho, madili na vikao per DM!

Kwa wiki marurupu tu ya vikao anakunja hata zaidi ya 10m inje ya mshahara!

Halafu sie wachuuzi huku mtaani tunapambana kutoa EFD tulipe kodi lakini matumizi ya pesa ni hovyo!

Kuiombea nchi hii ni kazi ngumu sana hata ukifunga na kuomba!
 
Haya mambo yanakatisha sana tamaa. Kuna watu kwenye hii nchi wanachezea hela za walipa kodi vile wapendavyo.
 
Hivi kile kikao cha wafanyabiashara na TRA kimefikia wapi! Maana ndicho kilichobakia ili tujue kuna mbivu au mbichi
 
Back
Top Bottom