Ezra cypher
JF-Expert Member
- Jul 17, 2024
- 244
- 904
Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe.
Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.
Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .
Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kiakili.
Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.
Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.
Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki.
Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.
Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .
Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kiakili.
Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.
Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.
Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki.