Zamani viwanja vilikuwa unaamka asubuhi unaenda kuwahi, ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki hadi sasa

Zamani viwanja vilikuwa unaamka asubuhi unaenda kuwahi, ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki hadi sasa

Ezra cypher

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2024
Posts
244
Reaction score
904
Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kiakili.

Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.

Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.

Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki.
 
Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.


Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii ,kiuchumi na kiakili .

Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.


Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.

Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki .
Hao wa rika hilo walikuzaa, wakakulea na ndiyo ukapata hiyo akili ya kuyasema haya
 
Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii ,kiuchumi na kiakili .

Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.

Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.

Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki .
Ndio kizazi kilichokuzaa na ukakuta nchi ina amani.
Pia ndio kizazi kilichojitolea uhai wao kupigana kagera kwa ajili yako kenge wewe.
 
Pale mtu anapotafakari urithi endapo mzazi atapoaga dunia na haoni cha kurithi, kuwa mpole hao wazazi wetu walikuwa Wana limitation kibao, kuna ambao walifungwa jela 1983 kwa ulanguzi (mtu kakutwa na doti 5 tu za kanga zinampeleka jela) achilia mbali kuishi kulingana na kipato.

Nikilinganisha sasa na hao unaowaponda nadhani wengi walimilki angalau kiwanja na kujenga kajumba, unless kama mzazi wako alikula sana anasa akajisahau.

Matusi yote itakuwa umekutana na kijana ambae baba yake alikuwa na eneo Kariakoo au Masaki amekutoa kwenye reli baada ya kuona anapata maokoto ya kodi
 
Pale mtu anapotafakari urithi endapo mzazi atapoaga dunia na haoni cha kurithi, kuwa mpole hao wazazi wetu walikuwa Wana limitation kibao, kuna ambao walifungwa jela 1983 kwa ulanguzi (mtu kakutwa na doti 5 tu za kanga zinampeleka jela) achilia mbali kuishi kulingana na kipato.

Nikilinganisha sasa na hao unaowaponda nadhani wengi walimilki angalau kiwanja na kujenga kajumba, unless kama mzazi wako alikula sana anasa akajisahau.

Matusi yote itakuwa umekutana na kijana ambae baba yake alikuwa na eneo Kariakoo au Masaki amekutoa kwenye reli baada ya kuona anapata maokoto ya kodi


MTU yupo around 60 Ila hana ardhi anayomiliki.
 
Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kiakili.

Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.

Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.

Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki.
Umeongea point sana Mkuu, wengi wanakimbilia Kusema wamekusomesha, wamekulea n.k kama lugha ya kutetea uzembe walioufanya kwa kuendekeza starehe na maisha ya kutaka sifa.
Kulea, kulisha, kusomesha n.k. Ni majukumu ya msingi na ya lazima kwa mzazi kwa uzao wake, haiwezekani mimi leo nibweteke nisijiwekeze kwa maisha yangu ya baadaye ili nije kuwa mzigo kwa watoto wangu eti nilitumia muda wangu kuwalea na kuwasomesha.
Ndiyo maana umasikini hauishi kwenye familia nyingi unakuta kijana ameanza kazi badala aanze kujiwekeza kwa maendeleo yake binafsi unakuta kuna lundo la ndugu na mzigo wa wazazi waliouchezea ujana wao wanataka wagawane kamshahara hako kiduchu kwa mtu anayeanza maisha.
Kijana pambana kujijenga na punguza starehe zisizo na msingi ili usiwe mzigo kwa uzao wako na kuwaongezea majukumu ambayo ulitakiwa uyafanye ukiwa na nguvu badala yake uje kuwatishia watoto kuwa utawapa laana kwa ulofa wako.
 
Back
Top Bottom