Zamani viwanja vilikuwa unaamka asubuhi unaenda kuwahi, ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki hadi sasa

Zamani viwanja vilikuwa unaamka asubuhi unaenda kuwahi, ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki hadi sasa

Umeongea point sana Mkuu, wengi wanakimbilia Kusema wamekusomesha, wamekulea n.k kama lugha ya kutetea uzembe walioufanya kwa kuendekeza starehe na maisha ya kutaka sifa.
Kulea, kulisha, kusomesha n.k. Ni majukumu ya msingi na ya lazima kwa mzazi kwa uzao wake, haiwezekani mimi leo nibweteke nisijiwekeze kwa maisha yangu ya baadaye ili nije kuwa mzigo kwa watoto wangu eti nilitumia muda wangu kuwalea na kuwasomesha.
Ndiyo maana umasikini hauishi kwenye familia nyingi unakuta kijana ameanza kazi badala aanze kujiwekeza kwa maendeleo yake binafsi unakuta kuna lundo la ndugu na mzigo wa wazazi waliouchezea ujana wao wanataka wagawane kamshahara hako kiduchu kwa mtu anayeanza maisha.
Kijana pambana kujijenga na punguza starehe zisizo na msingi ili usiwe mzigo kwa uzao wako na kuwaongezea majukumu ambayo ulitakiwa uyafanye ukiwa na nguvu badala yake uje kuwatishia watoto kuwa utawapa laana kwa ulofa wako.
Kweli wewe ni msomi kweli good analytical skills.
 
Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kiakili.

Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.

Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.

Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki.
Kwani wewe una umri gani binamu?
 
Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kiakili.

Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.

Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.

Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki.
Hao wazazi wako ndio walikuwa wazembe sawa na wewe ulivyo mzembe.
Kama unavyowaona wapumbavu ni swa na wewe hapa ulivyo mpumbavu kwa kutokujua unawalaani(kitu ambacho hakiwezekani) wazazi wako.
 
Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kiakili.

Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.

Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.

Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki.
Licha ya kwamba wachangiaji wengi wamejaribu kukupinga lakini mada yako ina Ukweli mchungu Sana. Wakati wa miaka ya 1950-1980's Ardhi ilikuwa inapatikana kwa urahisi Sana hapa Tanzania, tena ilikuwepo ya kutosha Sana, lakini Watu wengi wa nyakati hizo hadi leo wengi wao hawana ardhi wanayomiliki.
 
Kama wazazi wako wangekuwa wazembe ungekuwa hai leo?

Fikiria walivyokutunza ukiwa kichanga. Wangezembea hata sisimizi wangekuua. Wanekusomesha Hadi unaweza kuandika ulichooandika.

Unavyodhani hawajafanya yafanye wewe. Sasa wamezeeka INAWEZEKANA wewe ni sababu ya wazazi wako kutonunua ardhi kibwa. Wakitimiza pesa zao kukulisha , kukuvisha , kukusomesha, kukutibisha NK. Pesa Yao ikaishia hapo.

Zaa Watoto wako uone ni rahisi kiasi gani kuwafanyia yote unavyodhani wazazi wako hawajakufanyia.

Shukuru MUNGU wamekufikisha hapo? WEWE unayedhania u smart zaidi ya wazazi wako nunua ardhi ambayo wazazi wako hawakununua.
Usiwaze Mali ya kurithi.

Najisikia aibu kubwa Sana kuwa na mtu Kama wewe Duniani.

Jifunze kufikiri vizuri. Fanya Kazi KWA bidii na Maarifa.

WEWE unaanzia walipokufikisha wazazi wako.

Nakushauri ukawaombe radhi wazazi hako hata kama hawajadoma ulichoondika.
 
Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kiakili.

Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.

Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.

Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki.
Jibu mbona unalo mkuu?
 
Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .

Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kiakili.

Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.

Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.

Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki.
Hatq kwako kuna jambo utakalokuja kulaumiwa. What goes around comes around. Karma is real.
Duniq ina mengi huwezi kufanya kila kitu:
 
Back
Top Bottom