Zamani Wazazi waliuza Binti zào Kwa Kile kiitwacho Mahari. Kwa Sasa ni Mila Potofu na biashara haramu

Zamani Wazazi waliuza Binti zào Kwa Kile kiitwacho Mahari. Kwa Sasa ni Mila Potofu na biashara haramu

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
ZAMANI WAZAZI WALIUZA BINTI ZÀO KWA KILE KIITWACHO MAHARI. KWA SASA NI MILA POTOFU NA BIASHARA HARAMU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuuza na kununua binadamu ilikuwa biashara halali Miaka ya Nyuma kidôgo.
Biashara ya kuuza na kununua binadamu ilikuwa kwa namna tofautitofauti.

Binadamu waliouzwa walikuwa kama Ifuatavyo;
1. Mateka wa vita.
2. Watumwa
3. Wanawake
4. Wafungwa.

Binadamu yeyote aliyepoteza Sifa ya kuwa Mtu aliuzwa Kwa sababu Mtu hauzwi na utu haununuliwi. Binadamu aliyepoteza ÛTU wake huwa Sawa na Mnyama au Bidhaa Fulani tuu. Ndîo maana huuzwa Kwa kuthaminishwa.

Wanawake waliuzwa Kulingana na thamani walivyothaminishwa na wauzaji na wanunuzi waô.

Wazazi walishiriki katika kuuza mabinti zào Kwa neno fiche kuficha uharamu wa biashara Yao. Wakaita Mahari.

Walikuwa na sababu za kuanzisha hiyo biashara. Kwa Wakati ule mabinti au Wanawake hawakuchukuliwa kama Watu Kamili hivyo kumuuza Mwanamke haikuwa tatizo.

Sababu kuu za Wazazi kuuza mabinti zào zilikuwa kama Ifuatavyo;
1. Binti kuhamia ûkoo Mwingine.
Binti alipouzwa na Wazazi wake kwenda ûkoo Mwingine hakuwa na ruhusa ya kurudi nyumbani tenà. Waliomnunua ndîo wanakuwa wanammiliki. Hivyo kumuuza Binti waliona ni Halali Kabisa kwani hatakuwa sehemu ya Ukoo waô.

2. Watoto watakaozaliwa na Binti watakuwa ûkoo wa Mwanaume(Mnunuzi)
Yàani tukupe Binti yetu bure, thubutu. Akakuzalie burebure kweli. Wakaona hiyo haiwezeniki Bora biashara ifanyike. Ndîo Mahari ikawa Suluhu.

Mnunuzi aliweza kununua Wanawake wengi zaidi na kuwafanya Wake Zake kadiri ya uwezo wake. Kwa sababu ishu kûbwa siô UTU Kwa sababu Mtu hatolewi mahari yàani hanunuliwi.

Hivyo Mwanaume hatakuwa na mûda WA kufikiria kuhusu maumivu ya Mwanamke aliyemnunua kwamba akinunua Mwanamke Mwingine huyu wa Kwanza atajihisi vipi.
Ndîo maana kwèñye jamii imejengeka kasumba au dhana potofu kuwa Wanawake kuolewa wengi siô tatizo Wakati kiuhalisia ni tatizo ila Kwa vile biashara ilifanyika hawezi kuwa sehemu ya mjadala kupinga maamuzi ya aliyemnunua.

Ng'ombe au mbuzi haiwezi kujadili chochote inaponunuliwa au kuuzwa. Hiyo ni zamani.

Hata Ndoa za mitala yàani Wake wengi ni Kwa sababu ya kile kiitwacho Mahari. Bila mahari Hakuna Ndoa za wake wengi.

Mahari sio mapenzi bali NI suala la biashara.
Mwanaume àmbaye NI Mnunuzi anaenda Nyumbani Kwa Binti na kukubaliana malipo ya kumchukua Binti.

Wazazi humthaminisha Binti Yao kuona kama thamani yake ni ngapi Kulingana na vigezo watakavyoona.
Mathalani, Binti Bikra bei yake huwa juu tofauti na Binti aliyetumika.
Binti Mrembo labda Kulingana na vigezo vya jamii Husika labda mweupe bei yake ya kumnunua huwa tofauti na Binti weñye rangi zingine. Hiyo NI business.

Mnunuzi àmbaye ni Mwanaume naye hupima kiwango alichotajiwa na thamani ya anachokinunua na uwezo wake je vinaendana. Akiona haviendani huweza kughairisha kumnunua

Au wauzaji àmbao ni wazazi wakiona bei iliyotajwa na Mnunuzi haijfikia kiwango cha waô kuridhika huweza kukataa kumuuza Binti Yao.

Binti huweza kuuzwa Kwa kubadilishwa Kwa Ng'ombe Watatu kuendelea, Wengine huuzwa Kuanzia lakini tano mpaka mamilioni ya mapesa. Hiyo ni Kulingana na thamani ya Binti na uwezo wa Yule anayemnunua.

Sijui Kwa kweli, lakini Wanawake weñye Akili huweza kujihisi vibaya wakigundua kuwa waô thamani Yao yàani WALIUZA Kwa Milioni Moja huku kûna Wanawake wenzao waliouzwa Kwa Milioni Kumi mpaka ishirini. Kumaanisha waô thamani Yao Ipo chini.
NI kama Simu ya iPhone macho matatu thamani yake ulinganishe na Simu ya Tecno.

Kwa Sasa biashara ya kuuza na kununua binadamu ikiwemo kununua Wanawake haina maana tenà Kwa sababu Wanawake wàpo kwèñye mabadiliko ya kuwa WATU. Yàani wanaotaka Haki ya UTU waô kulindwa.

Unatoa mahari alafu ulipomnunulia Mwanamke bado wanakuwa na connection na Binti Yao na wanakuwa na Mamlaka naye kumaanisha Ile mahari yàani Ile biashara ilikuwa batili. Yàani walichukua Pesa au Mali zako burebure.

Unamnunua mwanamke alafu naye anamamlaka ya kuamua kukuacha na mkiachana mnagawana Mali na ukileta mchezo anachukua na Watoto.
ZAMANI ukimnunua Mwanamke yàani Kutoa Mahari akitaka kuondoka au ukimfukuza haondoki na kitu chochote ikiwemo Watoto.

Anaondoka kama alivyokuja.

Mwanamke unamnunua alafu hataki ununue Wanawake Wengine kwani yeye anawivu. Sijui kama anaelewa mantiki au Kanuni za manunuzi Kwa Kile kiitwacho desturi ya Mahari.

Wivu unalenga Watu weñye Ûtu na siô binadamu aliyenunuliwa. Yàani mtumwa.

Ukikubali Kununuliwa au kuuzwa Huna Mamlaka ya kumwambia Mnunuzi asinunue Mwanamke Mwingine Kwa sababu kiutamaduni kuwa na Wake wengi pia ni Mila n desturi.

Mwanamke àmbaye hajanunuliwa anahaki ya kuondoka na kukataa kuongezewa Mke Mwingine Kwa sababu yeye NI mtu na siô mtumwa. Hakununuliwa hata shilling Moja. Hakutolewa Mahari.

Kwa Sisi Watibeli, Binti zetu wàpo Huru. Wana Utu ndîo maana hatuwauzi Wala hawanunuliwi Wala kununulika. Mahari kwetu NI HARAMU kwani inalenga kumpa Haki Mwanaume kumfanya Mke mtumwa wake Kisa na mkasa alimnunua.

Mimi Acha nipumzike sasa
Nawatakia maandalizi mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
 
Andiko lako la pili hili Mtibeli
 
ZAMANI WAZAZI WALIUZA BINTI ZÀO KWA KILE KIITWACHO MAHARI. KWA SASA NI MILA POTOFU NA BIASHARA HARAMU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuuza na kununua binadamu ilikuwa biashara halali Miaka ya Nyuma kidôgo.
Biashara ya kuuza na kununua binadamu ilikuwa kwa namna tofautitofauti.

Binadamu waliouzwa walikuwa kama Ifuatavyo;
1. Mateka wa vita.
2. Watumwa
3. Wanawake
4. Wafungwa.

Binadamu yeyote aliyepoteza Sifa ya kuwa Mtu aliuzwa Kwa sababu Mtu hauzwi na utu haununuliwi. Binadamu aliyepoteza ÛTU wake huwa Sawa na Mnyama au Bidhaa Fulani tuu. Ndîo maana huuzwa Kwa kuthaminishwa.

Wanawake waliuzwa Kulingana na thamani walivyothaminishwa na wauzaji na wanunuzi waô.

Wazazi walishiriki katika kuuza mabinti zào Kwa neno fiche kuficha uharamu wa biashara Yao. Wakaita Mahari.

Walikuwa na sababu za kuanzisha hiyo biashara. Kwa Wakati ule mabinti au Wanawake hawakuchukuliwa kama Watu Kamili hivyo kumuuza Mwanamke haikuwa tatizo.

Sababu kuu za Wazazi kuuza mabinti zào zilikuwa kama Ifuatavyo;
1. Binti kuhamia ûkoo Mwingine.
Binti alipouzwa na Wazazi wake kwenda ûkoo Mwingine hakuwa na ruhusa ya kurudi nyumbani tenà. Waliomnunua ndîo wanakuwa wanammiliki. Hivyo kumuuza Binti waliona ni Halali Kabisa kwani hatakuwa sehemu ya Ukoo waô.

2. Watoto watakaozaliwa na Binti watakuwa ûkoo wa Mwanaume(Mnunuzi)
Yàani tukupe Binti yetu bure, thubutu. Akakuzalie burebure kweli. Wakaona hiyo haiwezeniki Bora biashara ifanyike. Ndîo Mahari ikawa Suluhu.

Mnunuzi aliweza kununua Wanawake wengi zaidi na kuwafanya Wake Zake kadiri ya uwezo wake. Kwa sababu ishu kûbwa siô UTU Kwa sababu Mtu hatolewi mahari yàani hanunuliwi.

Hivyo Mwanaume hatakuwa na mûda WA kufikiria kuhusu maumivu ya Mwanamke aliyemnunua kwamba akinunua Mwanamke Mwingine huyu wa Kwanza atajihisi vipi.
Ndîo maana kwèñye jamii imejengeka kasumba au dhana potofu kuwa Wanawake kuolewa wengi siô tatizo Wakati kiuhalisia ni tatizo ila Kwa vile biashara ilifanyika hawezi kuwa sehemu ya mjadala kupinga maamuzi ya aliyemnunua.

Ng'ombe au mbuzi haiwezi kujadili chochote inaponunuliwa au kuuzwa. Hiyo ni zamani.

Hata Ndoa za mitala yàani Wake wengi ni Kwa sababu ya kile kiitwacho Mahari. Bila mahari Hakuna Ndoa za wake wengi.

Mahari sio mapenzi bali NI suala la biashara.
Mwanaume àmbaye NI Mnunuzi anaenda Nyumbani Kwa Binti na kukubaliana malipo ya kumchukua Binti.

Wazazi humthaminisha Binti Yao kuona kama thamani yake ni ngapi Kulingana na vigezo watakavyoona.
Mathalani, Binti Bikra bei yake huwa juu tofauti na Binti aliyetumika.
Binti Mrembo labda Kulingana na vigezo vya jamii Husika labda mweupe bei yake ya kumnunua huwa tofauti na Binti weñye rangi zingine. Hiyo NI business.

Mnunuzi àmbaye ni Mwanaume naye hupima kiwango alichotajiwa na thamani ya anachokinunua na uwezo wake je vinaendana. Akiona haviendani huweza kughairisha kumnunua

Au wauzaji àmbao ni wazazi wakiona bei iliyotajwa na Mnunuzi haijfikia kiwango cha waô kuridhika huweza kukataa kumuuza Binti Yao.

Binti huweza kuuzwa Kwa kubadilishwa Kwa Ng'ombe Watatu kuendelea, Wengine huuzwa Kuanzia lakini tano mpaka mamilioni ya mapesa. Hiyo ni Kulingana na thamani ya Binti na uwezo wa Yule anayemnunua.

Sijui Kwa kweli, lakini Wanawake weñye Akili huweza kujihisi vibaya wakigundua kuwa waô thamani Yao yàani WALIUZA Kwa Milioni Moja huku kûna Wanawake wenzao waliouzwa Kwa Milioni Kumi mpaka ishirini. Kumaanisha waô thamani Yao Ipo chini.
NI kama Simu ya iPhone macho matatu thamani yake ulinganishe na Simu ya Tecno.

Kwa Sasa biashara ya kuuza na kununua binadamu ikiwemo kununua Wanawake haina maana tenà Kwa sababu Wanawake wàpo kwèñye mabadiliko ya kuwa WATU. Yàani wanaotaka Haki ya UTU waô kulindwa.

Unatoa mahari alafu ulipomnunulia Mwanamke bado wanakuwa na connection na Binti Yao na wanakuwa na Mamlaka naye kumaanisha Ile mahari yàani Ile biashara ilikuwa batili. Yàani walichukua Pesa au Mali zako burebure.

Unamnunua mwanamke alafu naye anamamlaka ya kuamua kukuacha na mkiachana mnagawana Mali na ukileta mchezo anachukua na Watoto.
ZAMANI ukimnunua Mwanamke yàani Kutoa Mahari akitaka kuondoka au ukimfukuza haondoki na kitu chochote ikiwemo Watoto.

Anaondoka kama alivyokuja.

Mwanamke unamnunua alafu hataki ununue Wanawake Wengine kwani yeye anawivu. Sijui kama anaelewa mantiki au Kanuni za manunuzi Kwa Kile kiitwacho desturi ya Mahari.

Wivu unalenga Watu weñye Ûtu na siô binadamu aliyenunuliwa. Yàani mtumwa.

Ukikubali Kununuliwa au kuuzwa Huna Mamlaka ya kumwambia Mnunuzi asinunue Mwanamke Mwingine Kwa sababu kiutamaduni kuwa na Wake wengi pia ni Mila n desturi.

Mwanamke àmbaye hajanunuliwa anahaki ya kuondoka na kukataa kuongezewa Mke Mwingine Kwa sababu yeye NI mtu na siô mtumwa. Hakununuliwa hata shilling Moja. Hakutolewa Mahari.

Kwa Sisi Watibeli, Binti zetu wàpo Huru. Wana Utu ndîo maana hatuwauzi Wala hawanunuliwi Wala kununulika. Mahari kwetu NI HARAMU kwani inalenga kumpa Haki Mwanaume kumfanya Mke mtumwa wake Kisa na mkasa alimnunua.

Mimi Acha nipumzike sasa
Nawatakia maandalizi mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Kama hiyo ndio tafsiri Yako ya mahari umepotoka sana. Wazungu wanalipa kuacha Mila zao na Sasa wanapambana kuharibu za wengine. Hata ushoga ukianza hivihivi
 
Andiko lako la pili hili Mtibeli

Bado la tatu, la nne, mpaka binadamu Wanaofanya hii biashara watakapokuwa Watu
 
Hizi nyuzi ndefu zinakera.
Masomo yenyewe tulikuwa tunapitia points tu.
Sasa tuchangie nini huku content hatujaisoma?
 
Wewe Kwa uelewa wako kununua binadamu ni Sawa Kwako?
Hakuna anaeuzwa Wala kununuliwa. Uliwahi kuona mtu anaeuzwa lakini Saba au hata million mbili.

Nenda mtaani sema nanunua mtu kama utampata hata million 10.

Jifunze Mila na desturi za familia au Jamii mbalimbali. Omba tafsiri ya Mila hizo, ndio maana baadhi ya makanisa (siyo yote) wanaruhusu kwakuwa ni utamaduni wao na sio mbaya.

Kuita mahari ni kununua mtu ni tafsiri potofu. Na unamkosea hata mama na baba Yako ambao nao waliotoa mahari.
 
ZAMANI WAZAZI WALIUZA BINTI ZÀO KWA KILE KIITWACHO MAHARI. KWA SASA NI MILA POTOFU NA BIASHARA HARAMU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuuza na kununua binadamu ilikuwa biashara halali Miaka ya Nyuma kidôgo.
Biashara ya kuuza na kununua binadamu ilikuwa kwa namna tofautitofauti.

Binadamu waliouzwa walikuwa kama Ifuatavyo;
1. Mateka wa vita.
2. Watumwa
3. Wanawake
4. Wafungwa.

Binadamu yeyote aliyepoteza Sifa ya kuwa Mtu aliuzwa Kwa sababu Mtu hauzwi na utu haununuliwi. Binadamu aliyepoteza ÛTU wake huwa Sawa na Mnyama au Bidhaa Fulani tuu. Ndîo maana huuzwa Kwa kuthaminishwa.

Wanawake waliuzwa Kulingana na thamani walivyothaminishwa na wauzaji na wanunuzi waô.

Wazazi walishiriki katika kuuza mabinti zào Kwa neno fiche kuficha uharamu wa biashara Yao. Wakaita Mahari.

Walikuwa na sababu za kuanzisha hiyo biashara. Kwa Wakati ule mabinti au Wanawake hawakuchukuliwa kama Watu Kamili hivyo kumuuza Mwanamke haikuwa tatizo.

Sababu kuu za Wazazi kuuza mabinti zào zilikuwa kama Ifuatavyo;
1. Binti kuhamia ûkoo Mwingine.
Binti alipouzwa na Wazazi wake kwenda ûkoo Mwingine hakuwa na ruhusa ya kurudi nyumbani tenà. Waliomnunua ndîo wanakuwa wanammiliki. Hivyo kumuuza Binti waliona ni Halali Kabisa kwani hatakuwa sehemu ya Ukoo waô.

2. Watoto watakaozaliwa na Binti watakuwa ûkoo wa Mwanaume(Mnunuzi)
Yàani tukupe Binti yetu bure, thubutu. Akakuzalie burebure kweli. Wakaona hiyo haiwezeniki Bora biashara ifanyike. Ndîo Mahari ikawa Suluhu.

Mnunuzi aliweza kununua Wanawake wengi zaidi na kuwafanya Wake Zake kadiri ya uwezo wake. Kwa sababu ishu kûbwa siô UTU Kwa sababu Mtu hatolewi mahari yàani hanunuliwi.

Hivyo Mwanaume hatakuwa na mûda WA kufikiria kuhusu maumivu ya Mwanamke aliyemnunua kwamba akinunua Mwanamke Mwingine huyu wa Kwanza atajihisi vipi.
Ndîo maana kwèñye jamii imejengeka kasumba au dhana potofu kuwa Wanawake kuolewa wengi siô tatizo Wakati kiuhalisia ni tatizo ila Kwa vile biashara ilifanyika hawezi kuwa sehemu ya mjadala kupinga maamuzi ya aliyemnunua.

Ng'ombe au mbuzi haiwezi kujadili chochote inaponunuliwa au kuuzwa. Hiyo ni zamani.

Hata Ndoa za mitala yàani Wake wengi ni Kwa sababu ya kile kiitwacho Mahari. Bila mahari Hakuna Ndoa za wake wengi.

Mahari sio mapenzi bali NI suala la biashara.
Mwanaume àmbaye NI Mnunuzi anaenda Nyumbani Kwa Binti na kukubaliana malipo ya kumchukua Binti.

Wazazi humthaminisha Binti Yao kuona kama thamani yake ni ngapi Kulingana na vigezo watakavyoona.
Mathalani, Binti Bikra bei yake huwa juu tofauti na Binti aliyetumika.
Binti Mrembo labda Kulingana na vigezo vya jamii Husika labda mweupe bei yake ya kumnunua huwa tofauti na Binti weñye rangi zingine. Hiyo NI business.

Mnunuzi àmbaye ni Mwanaume naye hupima kiwango alichotajiwa na thamani ya anachokinunua na uwezo wake je vinaendana. Akiona haviendani huweza kughairisha kumnunua

Au wauzaji àmbao ni wazazi wakiona bei iliyotajwa na Mnunuzi haijfikia kiwango cha waô kuridhika huweza kukataa kumuuza Binti Yao.

Binti huweza kuuzwa Kwa kubadilishwa Kwa Ng'ombe Watatu kuendelea, Wengine huuzwa Kuanzia lakini tano mpaka mamilioni ya mapesa. Hiyo ni Kulingana na thamani ya Binti na uwezo wa Yule anayemnunua.

Sijui Kwa kweli, lakini Wanawake weñye Akili huweza kujihisi vibaya wakigundua kuwa waô thamani Yao yàani WALIUZA Kwa Milioni Moja huku kûna Wanawake wenzao waliouzwa Kwa Milioni Kumi mpaka ishirini. Kumaanisha waô thamani Yao Ipo chini.
NI kama Simu ya iPhone macho matatu thamani yake ulinganishe na Simu ya Tecno.

Kwa Sasa biashara ya kuuza na kununua binadamu ikiwemo kununua Wanawake haina maana tenà Kwa sababu Wanawake wàpo kwèñye mabadiliko ya kuwa WATU. Yàani wanaotaka Haki ya UTU waô kulindwa.

Unatoa mahari alafu ulipomnunulia Mwanamke bado wanakuwa na connection na Binti Yao na wanakuwa na Mamlaka naye kumaanisha Ile mahari yàani Ile biashara ilikuwa batili. Yàani walichukua Pesa au Mali zako burebure.

Unamnunua mwanamke alafu naye anamamlaka ya kuamua kukuacha na mkiachana mnagawana Mali na ukileta mchezo anachukua na Watoto.
ZAMANI ukimnunua Mwanamke yàani Kutoa Mahari akitaka kuondoka au ukimfukuza haondoki na kitu chochote ikiwemo Watoto.

Anaondoka kama alivyokuja.

Mwanamke unamnunua alafu hataki ununue Wanawake Wengine kwani yeye anawivu. Sijui kama anaelewa mantiki au Kanuni za manunuzi Kwa Kile kiitwacho desturi ya Mahari.

Wivu unalenga Watu weñye Ûtu na siô binadamu aliyenunuliwa. Yàani mtumwa.

Ukikubali Kununuliwa au kuuzwa Huna Mamlaka ya kumwambia Mnunuzi asinunue Mwanamke Mwingine Kwa sababu kiutamaduni kuwa na Wake wengi pia ni Mila n desturi.

Mwanamke àmbaye hajanunuliwa anahaki ya kuondoka na kukataa kuongezewa Mke Mwingine Kwa sababu yeye NI mtu na siô mtumwa. Hakununuliwa hata shilling Moja. Hakutolewa Mahari.

Kwa Sisi Watibeli, Binti zetu wàpo Huru. Wana Utu ndîo maana hatuwauzi Wala hawanunuliwi Wala kununulika. Mahari kwetu NI HARAMU kwani inalenga kumpa Haki Mwanaume kumfanya Mke mtumwa wake Kisa na mkasa alimnunua.

Mimi Acha nipumzike sasa
Nawatakia maandalizi mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Ufupishi na ufahamu, topic ya kwanza form 3. Sijui imekusaidia nini?
Ushubwada mtupu umeandika.
Kama unataka fair treatment mke asikupikie, asifue, asilee mtoto wako, mfanye kila kitu kwa usawa then usilipe mahari.

By the way life is full of options, na jamii ya sasa unakamata mtoto wa mtu unamdinya unamzalisha maisha yanaendelea. Hauna haja ya kulipa mahari.
 
Haile Kwa hili mimi Sina tuu namba yako ya m pesa mtibeli... Sielewi ni kwanini nimbadilishe mwanangu wa kike Kwa ving'ombe vinne thubutuu..

Hata Nyerere aliwahi kuzungumzia suala la mahari kuwa haliko sawa ila hajawahi kulifanyia kazi Kwa kuwa Kwa Giza la Tanzania Ile lilimzidi mnooo
Niko pamoja nawe mtibeli kutoka kwetu mafinga iringa Tz
 
Mwanaume anayeoa binti bila mahari basi na yeye ana matatizo kichwani.

Yaani unapewa binti buree na wewe unakenua mimeno kwel.

Umnunue mwanangu unakwenda kumfugaaaa?
Hapa ni makubakiano tuu sepa nae kama hutaki niachie
 
Hakuna anaeuzwa Wala kununuliwa. Uliwahi kuona mtu anaeuzwa lakini Saba au hata million mbili.

Watumwa walikuwa wanauzwa Mpaka Laki Moja wewe Unazungumzia Milioni zote hizô.

MTU hauzwi anayeuzwa na binadamu asiye na Ûtu
Nenda mtaani sema nanunua mtu kama utampata hata million 10.
Niende Wapi Wakati kîla Siku Naona Watu wanauza na kununua Watu.
Nishakuambia biashara ya kumuuza Mwanamke huitwa Mahari.

NI Sawa usemè mnyama anazaa alafu Mtu anajifungua lakini tukio ni lilelile.
Au mnyama anakunya Mavi alafu Mtu anajisaidia Kinyesi, Jambo ni lilelile lakini lugha Moja imewekwa Kwa staha ili Kulinda heshima ya Mtu.
Ndîo hicho, mahari ni lugha ya staha inayobeba maana ya kumuuza au kumnunua Mwanamke
Jifunze Mila na desturi za familia au Jamii mbalimbali. Omba tafsiri ya Mila hizo, ndio maana baadhi ya makanisa (siyo yote) wanaruhusu kwakuwa ni utamaduni wao na sio mbaya.
Nimeshafanya chunguzi ndîo maana nimeandika Jambo hili.
Ninachoandika NI uhalisia

Kuita mahari ni kununua mtu ni tafsiri potofu. Na unamkosea hata mama na baba Yako ambao nao waliotoa mahari.

Kwa hîyo wewe mzazi wako kama aliwahi kufanya Kosa Fulani utashindwa kusema Kwa sababu Mzazi wako alifanya?

Au wewe unaweza Fanya Jambo Fulani àmbalo NI Kosa Kisa mababu zako walikuwa wakilifanya?
 
Mwanaume anayeoa binti bila mahari basi na yeye ana matatizo kichwani.

Yaani unapewa binti buree na wewe unakenua mimeno kwel.

Kwa hîyo hutaki Bure unàtaka umnunue ili baadaye ujifanye unammiliki?😀😀

Kûna Watu mnafurahisha sana
 
Ufupishi na ufahamu, topic ya kwanza form 3. Sijui imekusaidia nini?
Ushubwada mtupu umeandika.
Kama unataka fair treatment mke asikupikie, asifue, asilee mtoto wako, mfanye kila kitu kwa usawa then usilipe mahari.

By the way life is full of options, na jamii ya sasa unakamata mtoto wa mtu unamdinya unamzalisha maisha yanaendelea. Hauna haja ya kulipa mahari.
Tunako elekea binadamu tutaishi zaidi ya wanyama
 
Ufupishi na ufahamu, topic ya kwanza form 3. Sijui imekusaidia nini?
Ushubwada mtupu umeandika.
Kama unataka fair treatment mke asikupikie, asifue, asilee mtoto wako, mfanye kila kitu kwa usawa then usilipe mahari.

By the way life is full of options, na jamii ya sasa unakamata mtoto wa mtu unamdinya unamzalisha maisha yanaendelea. Hauna haja ya kulipa mahari.

Kwa uelewa wako Mke NI kwaajili ya Kupika siô😂😂

Embu Katie mahari Huko upate kijakazi wa kushughulikia mambo yako
 
Back
Top Bottom