Zamani Wazazi waliuza Binti zào Kwa Kile kiitwacho Mahari. Kwa Sasa ni Mila Potofu na biashara haramu

Zamani Wazazi waliuza Binti zào Kwa Kile kiitwacho Mahari. Kwa Sasa ni Mila Potofu na biashara haramu

Sasa mbona umesahau kuliongelea na hilo suala la mke na watoto kutumia majina ya mume, kama mahari itabatilishwa basi na huo utamaduni wa kutumia majina ya mume pekee nao ubatilishwe, mke atumie majina yake na watoto watumie majina ya koo zote mbili ili kusudi kusiwe imani ya kuona kwamba ukoo mmoja ndio unaendelezwa huku mwingine ukipotezwa
 
Mahari inaleta uzito kwenye ndoa. Hakuna kitu cha bure kimewahi thaminiwa hata siku moja.
Hata ukiokota hela hapo utatumia vibaya kwasababu hujatolea jasho, is a nature
 
Wazazi wenye akili timamu hawawez kuchukua mahali

Kijana aje na zawadi Kwa kadiri ya alivyobarikiwa.
Siô mnaanza kuweka vikao kama majinga, alafu mna-bargain bei ya Binti kuchukuliwa.

Wazazi: Toa Milioni tano,
Mnunuzi: sina hiyo Wakwe zangu watarajiwa.
Wazazi: wewe umejipangaje?😃😃
Mnunuzi: nimekuja na Milioni mili unusu.
Wazazi: ongeza ongeza hiyo Ipo chini. Si unaona Mtoto wetu mwenyewe alivyo.

Aiseeh
 
Sasa mbona umesahau kuliongelea na hilo suala la mke na watoto kutumia majina ya mume, kama mahari itabatilishwa basi na huo utamaduni wa kutumia majina ya mume pekee nao ubatilishwe, mke atumie majina yake na watoto watumie majina ya koo zote mbili ili kusudi kusiwe imani ya kuona kwamba ukoo mmoja ndio unaendelezwa huku mwingine ukipotezwa

Sio lazima Mtoto achukue Majina ya upande wa Mwanaume au mwanamke .

Upendo ndîo utaamua.
Lakini tukija kwèñye suala la biashara mwenye kugharamika zaidi yàani mwenye hisa nyingi ndiye majina yake hutumika.

Niliwahi andika pia, Watoto waliolelewa na upande WA kiukeni(ujombani) wachukue Majina ya ujombani full stop.
 
Mahari inaleta uzito kwenye ndoa. Hakuna kitu cha bure kimewahi thaminiwa hata siku moja.
Hata ukiokota hela hapo utatumia vibaya kwasababu hujatolea jasho, is a nature

Kwa hîyo mtazamo wenu huo ndio unawafanya mnunue Wanawake?
 
Sema wewe jamaa una utoto mwingi sana. Watu kama nyie ndo huwa mnatetea mapenzi ya jinsia moja kwa kudai kila mtu awe huru na mwili wake. Ulichoandika ni upumbavu mtupu.
Yeye mwenyewe mleta mada kuna mashaka jinsia yake au alivyo kutwa yeye nyuzi zake kuandika mambo ya kike wakati ana jina la kiume

Pole kwa wazazi wake kwa kweli
 
Hii ni biashara haramu na haitakiwa kabisa na ni dhambi kubwa mno.

Binafisi Mimi nitaipokea mahari kama kawaida huwezi mchukia binti yangu Bure ukajisavie utakavyo hii haipo.

Mimi mwenyew nimetoa mahari halafu Mimi nisipokee mahari nitakuwa mwehu ama nimerogwa.

Andiko lako lipo sawa Kwa Kila mtu atakavyo amua.

Kwa Elimu yangu hii dongo nakumbuka biashara ya utumwa ilifanyika Kwa lazima yaani utake usitake unaswagwa kwenda kuuzwa na hujui utanunuliwa wapi nk

Mwanamke anakuwa anajua anaenda Kwa family ya nani ana anaolewa na nani na wamepatana wao kwanza na wakakubaliana wao kama wao.
 
Tafuta pesa wewe bwege pesa za mahari ni kipimo cha kukupima kama waweza lea mke

Hela ya mahari tu huna huyo mke atakula mavi?

Interview ya kwanza kukuangalia kama pesa ya kulea mke ipo ni mahari

Wewe mahari yako uliyotoa Milioni Mbili ndîo ukajiona ulitafuta Pesa?

Kûna Wanawake wamenunuliwa Kwa Laki tano nayo utasema Mtu atafute Pesa yàani hako kalaki tano?

Kûna Wengine laki tatu mahari utasema Mtu atafute Laki tatu ili anunue Mtu?😂😂
 
Hii ni biashara haramu na haitakiwa kabisa na ni dhambi kubwa mno.

Binafisi Mimi nitaipokea mahari kama kawaida huwezi mchukia binti yangu Bure ukajisavie utakavyo hii haipo.

Mimi mwenyew nimetoa mahari halafu Mimi nisipokee mahari nitakuwa mwehu ama nimerogwa.

Andiko lako lipo sawa Kwa Kila mtu atakavyo amua.

Kwa Elimu yangu hii dongo nakumbuka biashara ya utumwa ilifanyika Kwa lazima yaani utake usitake unaswagwa kwenda kuuzwa na hujui utanunuliwa wapi nk

Mwanamke anakuwa anajua anaenda Kwa family ya nani ana anaolewa na nani na wamepatana wao kwanza na wakakubaliana wao kama wao.

Zamani huku ulichoandika hakikuwepo.

Mwanamke huweza KUTOLEWA mahari yàani kununuliwa na Mtu àmbaye hata hakuwa akimjua.

Zamani Ndoa za kulazimishwa zilikuwa NI nyingi Mno, tenà karibia zote zilikuwa Ndoa za kulazimisha. Kilichoangaliwa NI Mnunuzi atatoa shillingi ngapi, yàani mwenye mahari kûbwa ndiye atakayeoa Binti.

Hiyo ya Mwanamke kujua anaenda na kuamua pakuolewa haina hata Karne Moja toka ianze
 
Sio lazima Mtoto achukue Majina ya upande wa Mwanaume au mwanamke .

Upendo ndîo utaamua.
Lakini tukija kwèñye suala la biashara mwenye kugharamika zaidi yàani mwenye hisa nyingi ndiye majina yake hutumika.

Niliwahi andika pia, Watoto waliolelewa na upande WA kiukeni(ujombani) wachukue Majina ya ujombani full stop.
Sasa kwanini kwenye suala la majina ni mpaka upendo uamue kwanini isiwe kama sheria tu, kwamba mahari ifutwe na ni lazima watoto watumie majina ya koo zote mbili kama wanalelewa na wazazi wote wawili, na kama wanalelewa na mzazi mmoja basi ndio watumie jina la ukoo wa mzazi anayewalea na si lazima wa baba tu
 
Sema wewe jamaa una utoto mwingi sana. Watu kama nyie ndo huwa mnatetea mapenzi ya jinsia moja kwa kudai kila mtu awe huru na mwili wake. Ulichoandika ni upumbavu mtupu.

Siwezi eleweka Kwa Watu weñye Ubinafsi, dhulma, na Watu wasiopenda UKWELI.

Mapenzi ya jinsia Moja NI uovu na dhambi. Kama ilivyo biashara ya kununua Watu.
 
Wewe mahari yako uliyotoa Milioni Mbili ndîo ukajiona ulitafuta Pesa?

Kûna Wanawake wamenunuliwa Kwa Laki tano nayo utasema Mtu atafute Pesa yàani hako kalaki tano?

Kûna Wengine laki tatu mahari utasema Mtu atafute Laki tatu ili anunue Mtu?😂😂
Mahari sio bei ya kununua mtu hizo elimu mnazosoma kijinga jinga za kukariri ndizo zinekufikisha hapo ukasoma kakingereza bride price unakuja wangu wangu na mada ya kijinga

Mahari elewa sio pesa pekee watu wanalipa mahari ng'ombe hadi 50

Mahari ni kionyeshi cha kama mume mtarajiwa ana uwezo wa kutunza mke

Lakini kwa wewe kwa kuwa huna mpango wa kuoa na huwezi kuoa wewe hilo linaeleweka waachie wenyewe waoaji sababu kwenye hilo kundi la wanaume waoaji humo pamoja na kuwa na jina la kiume
 
Sasa kwanini kwenye suala la majina ni mpaka upendo uamue kwanini isiwe kama sheria tu, kwamba mahari ifutwe na ni lazima watoto watumie majina ya koo zote mbili kama wanalelewa na wazazi wote wawili, na kama wanalelewa na mzazi mmoja basi ndio watumie jina la ukoo wa mzazi anayewalea na si lazima wa baba tu

Wapo maelfu ya Watu Wanatumia Majina ya ujombani.

Siô lazima utumie Majina ya Babaako, siô lazima.

Kisheria na kihaki Mtu anaweza kuamua Kutumia majina yoyote atakayo.

Lakini Mtoto hutumia Majina Kulingana na wale wanaomlea.
Ndîo maana Wapo Wanawake walioachiwa Watoto(telekezewa Watoto) hutumia Majina ya ujombani na sio Kosa Kisheria.

Hakuna Sheria inayokulazimisha utumie Majina ya Mumeo au ya Wazazi wako.

Ila kwèñye jina la Baba au la mama kwenye cheti cha kuzaliwa ukiulizwa utajaza
 
Back
Top Bottom