Zamaradi acha uongo na utapeli, hujaproduce hii filamu wala kutumia milioni 200!

Zamaradi acha uongo na utapeli, hujaproduce hii filamu wala kutumia milioni 200!

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Huu uzi, ni mfupi lakini ni ushindi mkubwa sana kwa ma Erudite wachache tuliobaki nchi hii. Otherwise tukiwachekeachekea hawa watu wanaoitwa mastaaa na wanasiasa kuna siku watakuja na mauongo mabaya zaidi.

Hata Nyerere alisema mtu akikuambia jambo la kipumbavu na wewe ukalikubali basi wewe ni mpumbavu zaidi na atakuwa anakudharau.

Mtu kaitisha press conference katangaza kwamba ka produce movie kwa 200 millions. Waandishi wetu nao bila kuchuja fake news hata kucheck kwenye google haswa ukichukulia tunaambiwa ni movie international nao wakakimbilia kusambaza fake news.

Jana tuliokataa kufanywa wajinga tukakaza kwamba ni movie ya 2017 na ilishazinduliwa, leo naona watetezi wake wanasema yeye ni producer kwa upande wa TZ? KIVIPI?SCENE MBILI ZA KINA AUNTIE EZEKIEL ZIMEGHARIMU MILIONI 200? KAMA ILISHATOKA 2017 NYIE MANACHOTOA NI NINI TENA? REMAKE AU REMIX?

NASHUKURU UJUMBE UMEFIKA angalia hapa dada anavyomsahihisha yule jamaa tata wa mjini kwamba ipo kwenye Youtube Channel ya producer John Kay. Kwahiyo dada cha kufanya set the record straight, waambie mashabiki zako kwamba WEWE SIYO PRODUCER WA HII KAZI NA HUJATUMIA MILIONI 200 na wala hujatumia hata sh milioni 2 kwa hizo scenes mbili mlizofanyia remix.

Najua hapa kuna sponsors wanasetiwa waweke hela ya uzinduzi bongo wa mara ya pili wa Remix hii kali kabisa.

kakiri.PNG
 
Sio kwa povu hili! We jamaa mbona hii issue umeikomalia sana?! Ni WAPI Zamaradi amesema hii filamu ametengeneza yeye kwa Sh. 200M? Binafsi, nimemsikiliza Zamaradi hapa:-


Na ukimsikiliza kuanzia Dakika 1:10, Zamaradi amesema wazi kwamba HII NI FILAMU YA NJE ambayo IMESHIRIKISHA waigizaji kutoka Tanzania!! Sasa ikiwa mtu ameshasema ni Filamu ya Nje, how come tena aseme ni ya kwake?! Na amewataja hadi Directors na ma-producer wa filamu husika, huku yeye akijitaja kama MHUSIKA MKUU kwa Tanzania!

Kuanzia Dakika ya 07:53, kuna Mwandishi amemuuliza anamaanisha nini anaposema yeye ndie MUHUSIKA MKUU! Na akahoji ikiwa alimaanisha ni kazi yake mwenyewe,aliinua, au nini alimaanisha nini hasa!!! Ukisikiliza jibu la Zamaradi kwenye hilo swali, ameanza kwa kusema: "Kama nilivyosema, Producer kabisa wa hii filamu yupo Australia, ambae anafahamika kwa jina la John Kay. Huyu ndie Producer na ndie amecheza pia...." Kisha akaendelea: "Lakini kwa hapa Tanzania, mimi ndie Mhusika Mkuu katika maana ya kuisimamia kimauzo, ki-promosheni na kwenye kila kitu. Kwahiyo hata kwa Distributors wote, au mtu yeyote ambae anataka chochote na hii filamu, Mwongeaji mkubwa ni mimi. Kwahiyo (mimi) ni kama sehemu ya hiyo filamu, katika namna kubwa, kwa maana kwa hapa Tanzania ndo nimepewa jukumu hilo"

Haya ndugu yangu, kama unavyoona hiyo clip, hicho hiyo ilikuwa ndio Press Conference ya Zamaradi!!! Sasa wewe hilo unaloshupalia kwamba kasema filamu ni yake umelitoa kwenye press conference ipi? Hivi we jamaa mbona unapenda sana kuongea vitu in negative way?!

Halafu ndugu yangu unaonekana mweupe kwenye hii tasnia!! Filamu inaweza kuwa na Release Dates zaidi ya 10 kutegemeana na wapi inakuwa released! Kwahiyo, kama ilikuwa released mwaka 2017, ulitakiwa kufahamu ni wapi ilikuwa released na hiyo release date ya Zamaradi ulitakiwa kufahamu ni release kwa nchi gani!!!

Hayo mambo ya cover kuwepo akina Wema Sepetu ni commercial strategies tu! Kwavile filamu imehusisha waigizaji kutoka Australia, Tanzania na West Africa basi wala usishangae cover za West Africa zikang'arishwa na Waigizaji wa huko hata kama wamecheza sekunde moja!!!!

Yaani ulivyoongea kwa lugha kali na ya kuudhi kwa wale walioamini alichoongea Zamaradi, ajabu inaonekana hayo maneno ya hovyo yanakuhusu wewe mwenyewe!!!!
 
[Unaona sasa! Mimi nimekuwekea Video wakati wa Press Conference ya Zamaradi, sasa wewe mara oh, Instagram, mara Magufuli; sasa yanatoka wapi hayo?! Badala ya ku-shout, nimekuambia weka hapa hiyo video ambayo Zamaradi amesema Filamu ni yake!! Huwezi kumtolea povu Zamaradi kwa ujinga wa watu kama hawa:-
Zama.png
 
Sio kwa povu hili! We jamaa mbona hii issue umeikomalia sana?! Ni WAPI Zamaradi amesema hii filamu ametengeneza yeye kwa Sh. 200M? Binafsi, nimemsikiliza Zamaradi hapa:-


Na ukimsikiliza kuanzia Dakika 1:10, Zamaradi amesema wazi kwamba HII NI FILAMU YA NJE ambayo IMESHIRIKISHA waigizaji kutoka Tanzania!! Sasa ikiwa mtu ameshasema ni Filamu ya Nje, how come tena aseme ni ya kwake?! Na amewataja hadi Directors na ma-producer wa filamu husika, huku yeye akijitaja kama MHUSIKA MKUU kwa Tanzania!

Kuanzia Dakika ya 07:53, kuna Mwandishi amemuuliza anamaanisha nini anaposema yeye ndie MUHUSIKA MKUU! Na akahoji ikiwa alimaanisha ni kazi yake mwenyewe,aliinua, au nini alimaanisha nini hasa!!! Ukisikiliza jibu la Zamaradi kwenye hilo swali, ameanza kwa kusema: "Kama nilivyosema, Producer kabisa wa hii filamu yupo Australia, ambae anafahamika kwa jina la John Kay. Huyu ndie Producer na ndie amecheza pia...." Kisha akaendelea: "Lakini kwa hapa Tanzania, mimi ndie Mhusika Mkuu katika maana ya kuisimamia kimauzo, ki-promosheni na kwenye kila kitu. Kwahiyo hata kwa Distributors wote, au mtu yeyote ambae anataka chochote na hii filamu, Mwongeaji mkubwa ni mimi. Kwahiyo (mimi) ni kama sehemu ya hiyo filamu, katika namna kubwa, kwa maana kwa hapa Tanzania ndo nimepewa jukumu hilo"

Haya ndugu yangu, kama unavyoona hiyo clip, hicho hiyo ilikuwa ndio Press Conference ya Zamaradi!!! Sasa wewe hilo unaloshupalia kwamba kasema filamu ni yake umelitoa kwenye press conference ipi? Hivi we jamaa mbona unapenda sana kuongea vitu in negative way?!

Halafu ndugu yangu unaonekana mweupe kwenye hii tasnia!! Filamu inaweza kuwa na Release Dates zaidi ya 10 kutegemeana na wapi inakuwa released! Kwahiyo, kama ilikuwa released mwaka 2017, ulitakiwa kufahamu ni wapi ilikuwa released na hiyo release date ya Zamaradi ulitakiwa kufahamu ni release kwa nchi gani!!!

Hayo mambo ya cover kuwepo akina Wema Sepetu ni commercial strategies tu! Kwavile filamu imehusisha waigizaji kutoka Australia, Tanzania na West Africa basi wala usishangae cover za West Africa zikang'arishwa na Waigizaji wa huko hata kama wamecheza sekunde moja!!!!

Yaani ulivyoongea kwa lugha kali na ya kuudhi kwa wale walioamini alichoongea Zamaradi, ajabu inaonekana hayo maneno ya hovyo yanakuhusu wewe mwenyewe!!!!


MATAPELI WAKUBWA NYIE , mnajifanya mapinduzi ya bongo movie wakat hata Hao akina wema sepetu wamepachikwa tu , hata ukiangalia trailer utaona havina ushirikiano, kawadanganyeni wajinga wenzenu wasioenda shule


Hyo movie imeshatolewa mwaka 2017 na akina wema hawakuwepo, why Leo muwaweke mseme na wao wameshiriki?, kama sio utapeli huo , mnataka mtapeli watu na uzinduzi fake mxieew , token na utapel wenu ,


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sema nini Baharia, huyo Dada ukiachana na hili suala la filamu mna ugomvi mwingine?! Huu ukamiaji sio wakawaida!
utakuwa mgeni na mimi,issues zote za watu kugeuza Watanzania ni wajing huwa napambana nazo,ilishakuja fake news hapa wakajifanya gazeti la Ghana,wakaficha had contacts kumbe ni blog ya hapo mnazi mmmoja,nilikommaa nayo lakini ilikuwa too late maana hadi gazeti la mwananchi walisha publish,sembuse ya huyu bibiye?yaani tudanganywe tu tunyamaze?
Nimeangalia ratiba ya mwaka mzima huu NETFLIX haipo kwenye ratiba.
 
myplusbee
Unajua kwenye ile teaser ameweka logo ya netflix kimakosa?Nikiamua nitawafowadia netflix wamnyooshe vizuri kwa kuchezea logo yao

Magazeti yameripoti na insta wameripoti kwamba ametoa movie kwa gharama ya milioni 200 kwa nini asitoe statement kuondoa mkanganyiko?
 
warumi, Angalia mwingine huyu! Hebu msaidie huyo mwenzako ni wapi Zamaradi aliposema hiyo filamu ni yake na kwamba ametumia Sh. 200M?!
 
nzagambadume
We jamaa vipi? Kwanini uniambie habari za Magazeti na Instagramu kuripoti wakati nimekuwekea video ya Press Conference?! Nini unatakiwa kuamini kati ya unachosoma kwenye magazeti na huko Instagram na kile alichokisema mwenyewe kwenye Press Conference?
 
NARUDIA, weka hiyo video ambayo Zamaradi amesema filamu ni yake na kwamba alitumia 200M?!
 
We jamaa vipi? Kwanini uniambie habari za Magazeti na Instagramu kuripoti wakati nimekuwekea video ya Press Conference?! Nini unatakiwa kuamini kati ya unachosoma kwenye magazeti na huko Instagram na kile alichokisema mwenyewe kwenye Press Conference?
na kwenye teaser ukaweka kwamba mapinduzi ya kibongo ,inaingia netflix siyo?
 
Jibu swali ambalo nimekuuliza badala ya blah blah!
hivi hadi sasa Zamaradi haoni aibu KUSEMA KWAMBA AMEFANYA REMIX YA MOVIE YA 2017 NA KUITA PRESS CONFERENCE BAADA YA KUONGEZA VIJIPANDE TENA INASEMEKANA INALETA MAPINDUZI BONGO?

Ukiona nachelewa kujibu siyo kwamba sina facts au nakuogopa, ni kwamba hapa na draft e mail ya kwenda netflix waliyopachika kwenye teaser sijui promo ile.
 
soma hiyo link ya crew yote na cast, HIYO NDO ORIGINAL VERSION SASA 2017,REMIX YENU JANA MKATUDANGANYA.....AISEY SUBIRI HAPA KWANZA NAANDIKA E MAIL NETFLIX, NITAPOST JIBU LAO
Kwahiyo hilo link ndo inajibu swali nililokuuliza?!
 
Narudia, badala ya kuleta bla blah zako hapa, weka hapa hiyo video!!
WATU WEEEEEEEE,MKISHIKWAGA MNDAIGI NI WIVU,UNGEKUWA MUUNGWANA UKACHUTAMA YASINGEFIKA HUKO NETFLIX,HILI NI SOMO SIKU NYINGINE MSIDANGANYE KINDEZINDEZI
 
Sio kwa povu hili! We jamaa mbona hii issue umeikomalia sana?! Ni WAPI Zamaradi amesema hii filamu ametengeneza yeye kwa Sh. 200M? Binafsi, nimemsikiliza Zamaradi hapa:-


Na ukimsikiliza kuanzia Dakika 1:10, Zamaradi amesema wazi kwamba HII NI FILAMU YA NJE ambayo IMESHIRIKISHA waigizaji kutoka Tanzania!! Sasa ikiwa mtu ameshasema ni Filamu ya Nje, how come tena aseme ni ya kwake?! Na amewataja hadi Directors na ma-producer wa filamu husika, huku yeye akijitaja kama MHUSIKA MKUU kwa Tanzania!

Kuanzia Dakika ya 07:53, kuna Mwandishi amemuuliza anamaanisha nini anaposema yeye ndie MUHUSIKA MKUU! Na akahoji ikiwa alimaanisha ni kazi yake mwenyewe,aliinua, au nini alimaanisha nini hasa!!! Ukisikiliza jibu la Zamaradi kwenye hilo swali, ameanza kwa kusema: "Kama nilivyosema, Producer kabisa wa hii filamu yupo Australia, ambae anafahamika kwa jina la John Kay. Huyu ndie Producer na ndie amecheza pia...." Kisha akaendelea: "Lakini kwa hapa Tanzania, mimi ndie Mhusika Mkuu katika maana ya kuisimamia kimauzo, ki-promosheni na kwenye kila kitu. Kwahiyo hata kwa Distributors wote, au mtu yeyote ambae anataka chochote na hii filamu, Mwongeaji mkubwa ni mimi. Kwahiyo (mimi) ni kama sehemu ya hiyo filamu, katika namna kubwa, kwa maana kwa hapa Tanzania ndo nimepewa jukumu hilo"

Haya ndugu yangu, kama unavyoona hiyo clip, hicho hiyo ilikuwa ndio Press Conference ya Zamaradi!!! Sasa wewe hilo unaloshupalia kwamba kasema filamu ni yake umelitoa kwenye press conference ipi? Hivi we jamaa mbona unapenda sana kuongea vitu in negative way?!

Halafu ndugu yangu unaonekana mweupe kwenye hii tasnia!! Filamu inaweza kuwa na Release Dates zaidi ya 10 kutegemeana na wapi inakuwa released! Kwahiyo, kama ilikuwa released mwaka 2017, ulitakiwa kufahamu ni wapi ilikuwa released na hiyo release date ya Zamaradi ulitakiwa kufahamu ni release kwa nchi gani!!!

Hayo mambo ya cover kuwepo akina Wema Sepetu ni commercial strategies tu! Kwavile filamu imehusisha waigizaji kutoka Australia, Tanzania na West Africa basi wala usishangae cover za West Africa zikang'arishwa na Waigizaji wa huko hata kama wamecheza sekunde moja!!!!

Yaani ulivyoongea kwa lugha kali na ya kuudhi kwa wale walioamini alichoongea Zamaradi, ajabu inaonekana hayo maneno ya hovyo yanakuhusu wewe mwenyewe!!!!


Kama hajakuelewa kutokana na haya maelezo, ujue ana lake jambo.
 
Back
Top Bottom