Zamaradi acha uongo na utapeli, hujaproduce hii filamu wala kutumia milioni 200!

Zamaradi acha uongo na utapeli, hujaproduce hii filamu wala kutumia milioni 200!

soma hiyo link ya crew yote na cast, HIYO NDO ORIGINAL VERSION SASA 2017,REMIX YENU JANA MKATUDANGANYA.....AISEY SUBIRI HAPA KWANZA NAANDIKA E MAIL NETFLIX, NITAPOST JIBU LAO
Ndo maana nimekuambia hujui lolote zaidi ya kujawa na chuki! Nimekuambia filamu inaweza kuwa na release date hata 50!! Soma Release Date ya Star Wars (Last Jedi) Hapa:- Star Wars: Episode VIII - Les derniers Jedi (2017) - Release Info - IMDb! Kama huna bundle, screenshot yake hii hapa:-
 

Attachments

Ndo maana nimekuambia hujui lolote zaidi ya kujawa na chuki! Nimekuambia filamu inaweza kuwa na release date hata 50!! Soma Release Date ya Star Wars (Last Jedi) Hapa:- Star Wars: Episode VIII - Les derniers Jedi (2017) - Release Info - IMDb! Kama huna bundle, screenshot yake hii hapa:-
kumbe imdb unaijua?soma original version iligharimu ngapi?1 million dollars siyo?ni wapi ulisema hii ni second release? Halafu hizo ni FRANCHISE, hata rush hour 4 wanaanza production soon, hata coming to america 2 inakuja.

Yeye amefanya nini zaidi ya kuongeza vipande kwenye kazi ileile na kuja na mauongo ya karne zilizopita?
 
yep litaonekana tu,langu jambo ni kama Robin hood alivyokuwa anaibia matajiri kupelekea masikini,au kifimbo cheza anavyopingana na wachafuzi wa lugha, mimi nakataa kudanganywa tena mchana kweupe.
Nunua au ikibidi omba pesa ununue Internet Bundle ili umsikilize Zamaradi kasema nini hata kuhusu issue ya Netflix!!
 
kumbe imdb unaijua?soma original version iligharimu ngapi?1 million dollars siyo?ni wapi ulisema hii ni second release? Halafu hizo ni FRANCHISE, hata rush hour 4 wanaanza production soon, hata coming to america 2 inakuja.

Yeye amefanya nini zaidi ya kuongeza vipande kwenye kazi ileile na kuja na mauongo ya karne zilizopita?
Yaani we jamaa ni mshamba sijapata kuona!! Kwahiyo kama ni Franchise ndo inakuwa na multiple release dates and if not, no multiple release dates!! By the way, hata kama ni Franchise ni nimeshasema ni Last Jedi?! We jamaa ni hufahamu lolote kuhusu haya mambo
 
Sio kwa povu hili! We jamaa mbona hii issue umeikomalia sana?! Ni WAPI Zamaradi amesema hii filamu ametengeneza yeye kwa Sh. 200M? Binafsi, nimemsikiliza Zamaradi hapa:-


Na ukimsikiliza kuanzia Dakika 1:10, Zamaradi amesema wazi kwamba HII NI FILAMU YA NJE ambayo IMESHIRIKISHA waigizaji kutoka Tanzania!! Sasa ikiwa mtu ameshasema ni Filamu ya Nje, how come tena aseme ni ya kwake?! Na amewataja hadi Directors na ma-producer wa filamu husika, huku yeye akijitaja kama MHUSIKA MKUU kwa Tanzania!

Kuanzia Dakika ya 07:53, kuna Mwandishi amemuuliza anamaanisha nini anaposema yeye ndie MUHUSIKA MKUU! Na akahoji ikiwa alimaanisha ni kazi yake mwenyewe,aliinua, au nini alimaanisha nini hasa!!! Ukisikiliza jibu la Zamaradi kwenye hilo swali, ameanza kwa kusema: "Kama nilivyosema, Producer kabisa wa hii filamu yupo Australia, ambae anafahamika kwa jina la John Kay. Huyu ndie Producer na ndie amecheza pia...." Kisha akaendelea: "Lakini kwa hapa Tanzania, mimi ndie Mhusika Mkuu katika maana ya kuisimamia kimauzo, ki-promosheni na kwenye kila kitu. Kwahiyo hata kwa Distributors wote, au mtu yeyote ambae anataka chochote na hii filamu, Mwongeaji mkubwa ni mimi. Kwahiyo (mimi) ni kama sehemu ya hiyo filamu, katika namna kubwa, kwa maana kwa hapa Tanzania ndo nimepewa jukumu hilo"

Haya ndugu yangu, kama unavyoona hiyo clip, hicho hiyo ilikuwa ndio Press Conference ya Zamaradi!!! Sasa wewe hilo unaloshupalia kwamba kasema filamu ni yake umelitoa kwenye press conference ipi? Hivi we jamaa mbona unapenda sana kuongea vitu in negative way?!

Halafu ndugu yangu unaonekana mweupe kwenye hii tasnia!! Filamu inaweza kuwa na Release Dates zaidi ya 10 kutegemeana na wapi inakuwa released! Kwahiyo, kama ilikuwa released mwaka 2017, ulitakiwa kufahamu ni wapi ilikuwa released na hiyo release date ya Zamaradi ulitakiwa kufahamu ni release kwa nchi gani!!!

Hayo mambo ya cover kuwepo akina Wema Sepetu ni commercial strategies tu! Kwavile filamu imehusisha waigizaji kutoka Australia, Tanzania na West Africa basi wala usishangae cover za West Africa zikang'arishwa na Waigizaji wa huko hata kama wamecheza sekunde moja!!!!

Yaani ulivyoongea kwa lugha kali na ya kuudhi kwa wale walioamini alichoongea Zamaradi, ajabu inaonekana hayo maneno ya hovyo yanakuhusu wewe mwenyewe!!!!
Agiza Kinywaji na Chakula cha mchana, Malipo juu yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuambia weka hiyo video ambayo Zamaradi alisema filamu ni yake na kwamba alitengeneza kwa TZS 200M! Hizo habari sijui za Netflix najua unazuga tu baada ya kukuambua!!!
Naona unavyohaha. Katika kujitetea umekiri kwamba hiyo ni remix na ulivyo muongo sugu unatoa mifano ya star wars, franchise zina zaidi ya miaka 50 tangu enzi za Harrison ford a.k.a hansolo.

Yaani mimi nichukue movie ya first blood ya stallone niweke vipande vitatu vya bongo niite hadi press conference? Halafu unatetea kabisa?

BY THE WAY NISHATUMA E MAIL YA MALALAMIKO NETFLIX LOGO YAO KUTUMIWA KWA MINAJILI YA UTAPELI
 
myplusbee

IMG_7688.JPG
IMG_7689.JPG


Wewe si uliniquote kwny uzi ule mwingine ukisema zamaradi ni producer halaf huku unabadili maneno na kusema yeye ni msimamizi wa tanzania tu.
 
Hili jamaa ni jitu la ajabu! Yaani kaanza kukomaa na hii issue tangu jana wakati anayosema yote ni uongo!!
hili jitu halipendwi kudanganywa na JF patakuwa pagumu sana kwa kuleta uongo wa kijinga,mwisho wake ni kule insta?hivi unaelewa maana ya franchise?hiyo remix yenu ni franchise kwani?
 
hili jitu halipendwi kudanganywa na JF patakuwa pagumu sana kwa kuleta uongo wa kijinga,mwisho wake ni kule insta?hivi unaelewa maana ya franchise?hiyo remix yenu ni franchise kwani?
Hivi hoja yako ya Franchise ina-base nini hasa?! Hivi unajua unachoongea wewe?!
 
Sio kwa povu hili! We jamaa mbona hii issue umeikomalia sana?! Ni WAPI Zamaradi amesema hii filamu ametengeneza yeye kwa Sh. 200M? Binafsi, nimemsikiliza Zamaradi hapa:-


Na ukimsikiliza kuanzia Dakika 1:10, Zamaradi amesema wazi kwamba HII NI FILAMU YA NJE ambayo IMESHIRIKISHA waigizaji kutoka Tanzania!! Sasa ikiwa mtu ameshasema ni Filamu ya Nje, how come tena aseme ni ya kwake?! Na amewataja hadi Directors na ma-producer wa filamu husika, huku yeye akijitaja kama MHUSIKA MKUU kwa Tanzania!

Kuanzia Dakika ya 07:53, kuna Mwandishi amemuuliza anamaanisha nini anaposema yeye ndie MUHUSIKA MKUU! Na akahoji ikiwa alimaanisha ni kazi yake mwenyewe,aliinua, au nini alimaanisha nini hasa!!! Ukisikiliza jibu la Zamaradi kwenye hilo swali, ameanza kwa kusema: "Kama nilivyosema, Producer kabisa wa hii filamu yupo Australia, ambae anafahamika kwa jina la John Kay. Huyu ndie Producer na ndie amecheza pia...." Kisha akaendelea: "Lakini kwa hapa Tanzania, mimi ndie Mhusika Mkuu katika maana ya kuisimamia kimauzo, ki-promosheni na kwenye kila kitu. Kwahiyo hata kwa Distributors wote, au mtu yeyote ambae anataka chochote na hii filamu, Mwongeaji mkubwa ni mimi. Kwahiyo (mimi) ni kama sehemu ya hiyo filamu, katika namna kubwa, kwa maana kwa hapa Tanzania ndo nimepewa jukumu hilo"

Haya ndugu yangu, kama unavyoona hiyo clip, hicho hiyo ilikuwa ndio Press Conference ya Zamaradi!!! Sasa wewe hilo unaloshupalia kwamba kasema filamu ni yake umelitoa kwenye press conference ipi? Hivi we jamaa mbona unapenda sana kuongea vitu in negative way?!

Halafu ndugu yangu unaonekana mweupe kwenye hii tasnia!! Filamu inaweza kuwa na Release Dates zaidi ya 10 kutegemeana na wapi inakuwa released! Kwahiyo, kama ilikuwa released mwaka 2017, ulitakiwa kufahamu ni wapi ilikuwa released na hiyo release date ya Zamaradi ulitakiwa kufahamu ni release kwa nchi gani!!!

Hayo mambo ya cover kuwepo akina Wema Sepetu ni commercial strategies tu! Kwavile filamu imehusisha waigizaji kutoka Australia, Tanzania na West Africa basi wala usishangae cover za West Africa zikang'arishwa na Waigizaji wa huko hata kama wamecheza sekunde moja!!!!

Yaani ulivyoongea kwa lugha kali na ya kuudhi kwa wale walioamini alichoongea Zamaradi, ajabu inaonekana hayo maneno ya hovyo yanakuhusu wewe mwenyewe!!!!
Umenena mkuu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1014020View attachment 1014021

ww si uliniquote kwny uzi ule mwingine ukisema zamaradi ni producer halaf huku unabadili maneno na kusema yeye ni msimamizi wa tanzania tu.
Mwangalieni mwingine huyu! Hoja zenu ni kwamba Zamaradi amesema filamu ni yake na kwamba ametumia TZS 200M na hata kwenye post yako hiki ndicho nilichoandika:
All in all, nimemsikiliza Zamaradi! Kimsingi she's just a PRODUCER kwenye filamu husika, na ni producer kwa upande wa Tanzania! Ile filamu imehusisha crew members kutoka Tanzania, Nigeria na nadhani Australia! Nadhani na locations na zenyewe zipo kwenye nchi tatu. Kutokana na huo mgawanyo, basi Zamaradi ni producer tu kwa upande wa Tanzania na kwahiyo hausiki chochote na hizo 200M alizotaja!
Sasa kina tofauti gani na nilichosema hapa?! Au limekuchanganya hilo neno producer? Au na hapa napo natakiwa kukupa shule kama nilivyokupa shule kuhusu production company na studio?!
 
hili jitu halipendwi kudanganywa na JF patakuwa pagumu sana kwa kuleta uongo wa kijinga,mwisho wake ni kule insta?hivi unaelewa maana ya franchise?hiyo remix yenu ni franchise kwani?
Jibu maswali niliyokuuliza manake inaelekea hata hiyo hoja ya Franchise uliyoing'ang'ania, wala huna namna ya kui-defend kwa sababu hujui unachoongea!!!
 
Mwangalieni mwingine huyu! Hoja zenu ni kwamba Zamaradi amesema filamu ni yake na kwamba ametumia TZS 200M na hata kwenye post yako hiki ndicho nilichoandika:Sasa kina tofauti gani na nilichosema hapa?! Au limekuchanganya hilo neno producer? Au na hapa napo natakiwa kukupa shule kama nilivyokupa shule kuhusu production company na studio?!
sio distributor tena? ni producer kwa upande wa Tanzania? ila upande wa australia wao walimaliza 2017 wakaizindua kabisa?
 
Hii siyo english class?ulisema kwenye uzi mwingine Zamaradi ni producer kwa upande wa Tanzania,kwenye uzi mwingine unasema wewe ni distributor?which is which?yaani producer wa australia alifanya kazi yake hadi wakazindua 2017 wa tanzania anakuja kuzindua 2019?acheni masihara nyie myplusbee
 
Mwangalieni mwingine huyu! Hoja zenu ni kwamba Zamaradi amesema filamu ni yake na kwamba ametumia TZS 200M na hata kwenye post yako hiki ndicho nilichoandika:Sasa kina tofauti gani na nilichosema hapa?! Au limekuchanganya hilo neno producer? Au na hapa napo natakiwa kukupa shule kama nilivyokupa shule kuhusu production company na studio?!

Hebu leta maana ya neno producer na tuone kama linamaanisha msimamizi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom