Zamaradi acha uongo na utapeli, hujaproduce hii filamu wala kutumia milioni 200!

Zamaradi acha uongo na utapeli, hujaproduce hii filamu wala kutumia milioni 200!

Shilingi milioni 200 hata $100,000 haijafika.

Kwa viwango vya kimataifa hiyo ni low end ya low budget movie.

Yani ile movie mna shoot ndani ya nyumba tu mnapiga story mwanzo mpaka mwisho, hamna kitu kinalipuka, hamna magari yanakimbizana, hamna risasi zinapigwa, hamna moto, hamna aliens.

Movie kama mchezo wa kuigiza.
 
Hili jamaa ni jitu la ajabu! Yaani kaanza kukomaa na hii issue tangu jana wakati anayosema yote ni uongo!!
Sema nn bro shambulia hoja usimshambulie mtoa hoja
Kwamba hili jamaa shamb sijui halijui kitu siyoooo... Wote kuna vitu mnavyo mnatofautiana padogo tu.
 
Huu uzi, ni mfupi lakini ni ushindi mkubwa sana kwa ma Erudite wachache tuliobaki nchi hii. Otherwise tukiwachekeachekea hawa watu wanaoitwa mastaaa na wanasiasa kuna siku watakuja na mauongo mabaya zaidi.

Hata Nyerere alisema mtu akikuambia jambo la kipumbavu na wewe ukalikubali basi wewe ni mpumbavu zaidi na atakuwa anakudharau.

Mtu kaitisha press conference katangaza kwamba ka produce movie kwa 200 millions. Waandishi wetu nao bila kuchuja fake news hata kucheck kwenye google haswa ukichukulia tunaambiwa ni movie international nao wakakimbilia kusambaza fake news.

Jana tuliokataa kufanywa wajinga tukakaza kwamba ni movie ya 2017 na ilishazinduliwa, leo naona watetezi wake wanasema yeye ni producer kwa upande wa TZ? KIVIPI?SCENE MBILI ZA KINA AUNTIE EZEKIEL ZIMEGHARIMU MILIONI 200? KAMA ILISHATOKA 2017 NYIE MANACHOTOA NI NINI TENA? REMAKE AU REMIX?

NASHUKURU UJUMBE UMEFIKA angalia hapa dada anavyomsahihisha yule jamaa tata wa mjini kwamba ipo kwenye Youtube Channel ya producer John Kay. Kwahiyo dada cha kufanya set the record straight, waambie mashabiki zako kwamba WEWE SIYO PRODUCER WA HII KAZI NA HUJATUMIA MILIONI 200 na wala hujatumia hata sh milioni 2 kwa hizo scenes mbili mlizofanyia remix.

Najua hapa kuna sponsors wanasetiwa waweke hela ya uzinduzi bongo wa mara ya pili wa Remix hii kali kabisa.

View attachment 1013953

Mbona Kama una hasira ndugu? Tukiacha hili una ugomvi mwingine na huyu binti wa watu?
 
Huu uzi, ni mfupi lakini ni ushindi mkubwa sana kwa ma Erudite wachache tuliobaki nchi hii. Otherwise tukiwachekeachekea hawa watu wanaoitwa mastaaa na wanasiasa kuna siku watakuja na mauongo mabaya zaidi.

Hata Nyerere alisema mtu akikuambia jambo la kipumbavu na wewe ukalikubali basi wewe ni mpumbavu zaidi na atakuwa anakudharau.

Mtu kaitisha press conference katangaza kwamba ka produce movie kwa 200 millions. Waandishi wetu nao bila kuchuja fake news hata kucheck kwenye google haswa ukichukulia tunaambiwa ni movie international nao wakakimbilia kusambaza fake news.

Jana tuliokataa kufanywa wajinga tukakaza kwamba ni movie ya 2017 na ilishazinduliwa, leo naona watetezi wake wanasema yeye ni producer kwa upande wa TZ? KIVIPI?SCENE MBILI ZA KINA AUNTIE EZEKIEL ZIMEGHARIMU MILIONI 200? KAMA ILISHATOKA 2017 NYIE MANACHOTOA NI NINI TENA? REMAKE AU REMIX?

NASHUKURU UJUMBE UMEFIKA angalia hapa dada anavyomsahihisha yule jamaa tata wa mjini kwamba ipo kwenye Youtube Channel ya producer John Kay. Kwahiyo dada cha kufanya set the record straight, waambie mashabiki zako kwamba WEWE SIYO PRODUCER WA HII KAZI NA HUJATUMIA MILIONI 200 na wala hujatumia hata sh milioni 2 kwa hizo scenes mbili mlizofanyia remix.

Najua hapa kuna sponsors wanasetiwa waweke hela ya uzinduzi bongo wa mara ya pili wa Remix hii kali kabisa.

View attachment 1013953
Kweli Bw. Ruge katuachia mambo, wengi walikuwa wanatamba kupitia mgongo wake huku wakijidai wanajitegemea, kumbe ndorobo kabisa...
 
Haya nimekuja kuwasaidia kupata reference vizuri ili muweze kutoa conclusion na mim nielewe maana sielewi kabisaaaa
Screenshot_20191123-135544.jpeg
Screenshot_20191123-135530.jpeg
Screenshot_20191123-135535.jpeg
 
Angalia mwingine huyu! Hebu msaidie huyo mwenzako ni wapi Zamaradi aliposema hiyo filamu ni yake na kwamba ametumia Sh. 200M?!
Nime enda kwa Zama amenijibu njoo uone alafu utusaidie ufafanuzi tafadhali [emoji120]
 
Sema nn bro shambulia hoja usimshambulie mtoa hoja
Kwamba hili jamaa shamb sijui halijui kitu siyoooo... Wote kuna vitu mnavyo mnatofautiana padogo tu.
Umefuatilia huu mjadala au umeongea tu!!! Mwanzoni tu mwa mjadala mimi niliweka video ya clip ya Zamaradi akiongea mwenyewe kwa kinywa chake! Baada ya jamaa kumbana na kumwambia na yeye atoe video clip (na sio habari za Instagram) inayomuonesha Zamaradi akiongea hayo anayosema yeye, akaishia kujibu hivi:-
na kwenye teaser ukaweka kwamba mapinduzi ya kibongo ,inaingia netflix siyo?
Baada ya kuendelea kumbana, akaja na hili:-
WATU WEEEEEEEE,MKISHIKWAGA MNDAIGI NI WIVU,UNGEKUWA MUUNGWANA UKACHUTAMA YASINGEFIKA HUKO NETFLIX,HILI NI SOMO SIKU NYINGINE MSIDANGANYE KINDEZINDEZI
So, kwako wewe ndo hoja hizo?! Yaani nampa changamoto, badala ya kujibu changamoto, ananiita mimi ndo Zamaradi!!!

Ajabu zaidi, na mwenyewe unakuja na staili ile ile:-
We mbona umelibeba hili kwa ngv zote MNUFAIKA NINI?
Kama sio hoja ya hovyo tuite nini?! Unaonaje basi na wewe ungejibu hoja badala ya kuniongelea mimi personally?! Btw, ni mgeni wa mijadala, au ni kushindwa kufahamu maana ya mijadala?! Au hufahamu kwamba kwenye public forum pakiwekwa mada lazima watu wachangie?!

Acha ushamba!!
 
ikitoka hiyo movie ya kimataifa mni tag jameni?kuna makampuni hapo yalitaka yapigwe uzinduzi ila siku hizi hali ngumu siyo kiboyaboya hivyo
 
Umefuatilia huu mjadala au umeongea tu!!! Mwanzoni tu mwa mjadala mimi niliweka video ya clip ya Zamaradi akiongea mwenyewe kwa kinywa chake! Baada ya jamaa kumbana na kumwambia na yeye atoe video clip (na sio habari za Instagram) inayomuonesha Zamaradi akiongea hayo anayosema yeye, akaishia kujibu hivi:-
Baada ya kuendelea kumbana, akaja na hili:-
So, kwako wewe ndo hoja hizo?! Yaani nampa changamoto, badala ya kujibu changamoto, ananiita mimi ndo Zamaradi!!!

Ajabu zaidi, na mwenyewe unakuja na staili ile ile:-
Kama sio hoja ya hovyo tuite nini?! Unaonaje basi na wewe ungejibu hoja badala ya kuniongelea mimi personally?! Btw, ni mgeni wa mijadala, au ni kushindwa kufahamu maana ya mijadala?! Au hufahamu kwamba kwenye public forum pakiwekwa mada lazima watu wachangie?!

Acha ushamba!!
Hahahaha haya mjanja wa mijadala nisamehe.
 
[Unaona sasa! Mimi nimekuwekea Video wakati wa Press Conference ya Zamaradi, sasa wewe mara oh, Instagram, mara Magufuli; sasa yanatoka wapi hayo?! Badala ya ku-shout, nimekuambia weka hapa hiyo video ambayo Zamaradi amesema Filamu ni yake!! Huwezi kumtolea povu Zamaradi kwa ujinga wa watu kama hawa:-
View attachment 1013989
MWISHO WA UBAYA NI AIBU TU
 
Back
Top Bottom