Zamaradi acha uongo na utapeli, hujaproduce hii filamu wala kutumia milioni 200!

Zamaradi acha uongo na utapeli, hujaproduce hii filamu wala kutumia milioni 200!

jamani mkiwa na uongo shallow shallow msiwe mnakuja huku JF walikimbiaga wengi tu wapo instagrama wanajaza watu ujinga
 
Hapa chini ndicho Zamaradi ameongea:-


Sasa ni nani ameumbuka?!

Nimekuuliza maswali 3 na hakuna hata moja ulilojibu!
 
Hapa chini ndicho Zamaradi ameongea:-


Sasa ni nani ameumbuka?!

Nimekuuliza maswali 3 na hakuna hata moja ulilojibu!

embu rudishenj ile trailer yenu yenye logo ya NETFLIX ,mbona mmeifuta? hivi mkoje nyie watu lakini? mnawasingizia had netflix kwamba wamenunua kazi yenu?
 
Angalia mwingine huyu! Hebu msaidie huyo mwenzako ni wapi Zamaradi aliposema hiyo filamu ni yake na kwamba ametumia Sh. 200M?!

Wapi nimesema zamaradi kasema movie yake ? Ye c Ndo anajifanya marketing manager why atoe maelezo ya uongo kuhus hyo film ? Hao akina wema wamepachikwa Hawapo kwenye real movie ya cops enemy hata poster original ya movie Hawapo in short wamechakachua ili wawaibie wabongo nawaambien mmefeli wachawi nyie , tengezen movie zenu za budget ya mil 6 nyie hamna hadhi ya kuingia Netflix mmeambiwa huko choon kila mtu anaingia mxieew


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mimi ninachotaka kujua ni vipi Majina ya Wema na Aunty yapo hata kwenye IMDb ya tangu mwanzo kama wamekuja kuungwa baadae?
HATA MOVIE ILIYOKO TUMBONI KW A MAMA MJAZITO IIITWAYO BLUE MAURITIUS ,IDRIS SULTAN YUPO HADI LEO WANAHANGAIKA KUTAFUTA PRODUCER WA KUWAPA DOLLAR MILIONI 17 PROFILE YAKE IPO IMDB,IMDB NI KAMA WIKIPEDIA,AU NITENGENEZE PROFILE NIKUWEKE MAYDAY KAMA MAIN CHARACTER?SALAAM HIZI TOKA KWA NZAGAMBA DUME MUAMBIE DADA YAKO RAFIKIYE NZAGAMBADUME ANAPEPERUSHA FLAG AHATA KAMA ALIMSHTAKI AKAPIGWA BAN.
 
Mtamuua zamaradi..hamjui magufuri kakaba watu wanatafuta njia ya kuwapiga wabongo
Wapi nimesema zamaradi kasema movie yake ? Ye c Ndo anajifanya marketing manager why atoe maelezo ya uongo kuhus hyo film ? Hao akina wema wamepachikwa Hawapo kwenye real movie ya cops enemy hata poster original ya movie Hawapo in short wamechakachua ili wawaibie wabongo nawaambien mmefeli wachawi nyie , tengezen movie zenu za budget ya mil 6 nyie hamna hadhi ya kuingia Netflix mmeambiwa huko choon kila mtu anaingia mxieew


Sent from my iPhone using JamiiForums

READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
 
Mbona zama alisema hiyo movie Tanzania ame direct yule mdada ambae ni meneja wa wema sepetu? Huyo dada na yeye alihojiwa akasema alienda Australia akakaa miezi 4 akafundishwa na aliporudi aka direct hiyo movie. Na mbona original ya hiyo movie wema na aunty hawamo.tukubali tu wanepachikwa maybe kwa kutengeneza soko Tanzania. Ki ukweli mimi mwanzo nilisifia na kumpa hongera zama. Baada ya kusoma maelezo humu ndani. Kuna kitu kinafichwa. Swali ina maana vipande hivyo vya tz ndio vime cost milioni 200?
 
myplusbee
UNAJUA KWENYE ILE TEASER AMEWEKA LOGO YA NETFLIX KIMAKOSA?NIKIAMUA NITAWAFOWADIA NETFLIX WAMNYOOSHE VIZURI KWA KUCHEZEA LOGO YAO
MAGAZETI YAMERIPOTI NA INSTA WAMERIPOTI KWAMBA AMETOA MOVIE KWA GHARAMA YA MILIONI 200 KWA NINI ASITOE STATEMENT KUONDOA MKANGANYIKO?
Netflix na bongo movie he he he
 
Hamna aliyekataa release dates tofauti maana TITANIC ilikuwa released 1st November 1997 in Japan then 19th of December in US lakini hatukushuhudia Mariah Carey aki-replace Céline Dion au Yeyote kuwa add-on Craigslist.
 
WATU WEEEEEEEE,MKISHIKWAGA MNDAIGI NI WIVU,UNGEKUWA MUUNGWANA UKACHUTAMA YASINGEFIKA HUKO NETFLIX,HILI NI SOMO SIKU NYINGINE MSIDANGANYE KINDEZINDEZI
Kwamba umeandika email NETFLIX?
AHAHAHHHAHA we noma
 
M
WATU WEEEEEEEE,MKISHIKWAGA MNDAIGI NI WIVU,UNGEKUWA MUUNGWANA UKACHUTAMA YASINGEFIKA HUKO NETFLIX,HILI NI SOMO SIKU NYINGINE MSIDANGANYE KINDEZINDEZI
Mkuu nguvu unayoitumia hapa, ungeelekeza kwenye kujibu swali.

Wapi Zamaradi alisema ametumia gharama tajwa?
 
Huyu dada amekaa kiujanjajanja. Kuna siku alishawahi kutangaza shindano la scriptwriting, mimi na wewe hatujui liliishia wapi.
Umeonaaa
Kwenye msiba wa Anna Zambi anasema anaomba amlee Anna akae naye amepiga hesabu akaona michango mingi
Ni opportunist kwani Anna hana ndugu Mama yake mdogo amesema anamchukua kumlea Zama anataka achukue nafasi ya mama mdogo hahaa kichekesho
Zama na mtishia watu na bostola ukae na yatima huyu inawezekana kweli?! Mlee mumeo tupunguzie kelele bana
 
Umeonaaa
Kwenye msiba wa Anna Zambi anasema anaomba amlee Anna akae naye amepiga hesabu akaona michango mingi
Ni opportunist kwani Anna hana ndugu Mama yake mdogo amesema anamchukua kumlea Zama anataka achukue nafasi ya mama mdogo hahaa kichekesho
Zama na mtishia watu na bostola ukae na yatima huyu inawezekana kweli?! Mlee mumeo tupunguzie kelele bana

Ndugu walishamtoa baru akaambiwa walishajipanga Nani atakaa na mtoto na kuhusu Ada Wala hawana shida atasoma. Ila waliposisitiza ndo kishingo upande ndugu wakakubali ifunguliwe account miamala iingie huko. Kifupi walitaka kumtumia dogo wafanye Yao. Kwani mtaani kuna yatima wangapi Mbona wasiwasaidie siku zotee
 
Umeonaaa
Kwenye msiba wa Anna Zambi anasema anaomba amlee Anna akae naye amepiga hesabu akaona michango mingi
Ni opportunist kwani Anna hana ndugu Mama yake mdogo amesema anamchukua kumlea Zama anataka achukue nafasi ya mama mdogo hahaa kichekesho
Zama na mtishia watu na bostola ukae na yatima huyu inawezekana kweli?! Mlee mumeo tupunguzie kelele bana
Mkuu, nahisi leo account yako imedukuliwa.
Ukweli macho yangu hajazowea kuona hii I'd na muandiko huu....
 
utakuwa mgeni na mimi,issues zote za watu kugeuza Watanzania ni wajing huwa napambana nazo,ilishakuja fake news hapa wakajifanya gazeti la Ghana,wakaficha had contacts kumbe ni blog ya hapo mnazi mmmoja,nilikommaa nayo lakini ilikuwa too late maana hadi gazeti la mwananchi walisha publish,sembuse ya huyu bibiye?yaani tudanganywe tu tunyamaze?
Nimeangalia ratiba ya mwaka mzima huu NETFLIX haipo kwenye ratiba.
Unapenda sana muvi eeh?..umeumia kweli aisee.
 
hivi hadi sasa Zamaradi haoni aibu KUSEMA KWAMBA AMEFANYA REMIX YA MOVIE YA 2017 NA KUITA PRESS CONFERENCE BAADA YA KUONGEZA VIJIPANDE TENA INASEMEKANA INALETA MAPINDUZI BONGO?

Ukiona nachelewa kujibu siyo kwamba sina facts au nakuogopa, ni kwamba hapa na draft e mail ya kwenda netflix waliyopachika kwenye teaser sijui promo ile.
[/QUOTE
Kha!
 
Back
Top Bottom