Zamaradi acha uongo na utapeli, hujaproduce hii filamu wala kutumia milioni 200!

soma hiyo link ya crew yote na cast, HIYO NDO ORIGINAL VERSION SASA 2017,REMIX YENU JANA MKATUDANGANYA.....AISEY SUBIRI HAPA KWANZA NAANDIKA E MAIL NETFLIX, NITAPOST JIBU LAO
Ndo maana nimekuambia hujui lolote zaidi ya kujawa na chuki! Nimekuambia filamu inaweza kuwa na release date hata 50!! Soma Release Date ya Star Wars (Last Jedi) Hapa:- Star Wars: Episode VIII - Les derniers Jedi (2017) - Release Info - IMDb! Kama huna bundle, screenshot yake hii hapa:-
 

Attachments

kumbe imdb unaijua?soma original version iligharimu ngapi?1 million dollars siyo?ni wapi ulisema hii ni second release? Halafu hizo ni FRANCHISE, hata rush hour 4 wanaanza production soon, hata coming to america 2 inakuja.

Yeye amefanya nini zaidi ya kuongeza vipande kwenye kazi ileile na kuja na mauongo ya karne zilizopita?
 
yep litaonekana tu,langu jambo ni kama Robin hood alivyokuwa anaibia matajiri kupelekea masikini,au kifimbo cheza anavyopingana na wachafuzi wa lugha, mimi nakataa kudanganywa tena mchana kweupe.
Nunua au ikibidi omba pesa ununue Internet Bundle ili umsikilize Zamaradi kasema nini hata kuhusu issue ya Netflix!!
 
Yaani we jamaa ni mshamba sijapata kuona!! Kwahiyo kama ni Franchise ndo inakuwa na multiple release dates and if not, no multiple release dates!! By the way, hata kama ni Franchise ni nimeshasema ni Last Jedi?! We jamaa ni hufahamu lolote kuhusu haya mambo
 
Agiza Kinywaji na Chakula cha mchana, Malipo juu yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuambia weka hiyo video ambayo Zamaradi alisema filamu ni yake na kwamba alitengeneza kwa TZS 200M! Hizo habari sijui za Netflix najua unazuga tu baada ya kukuambua!!!
Naona unavyohaha. Katika kujitetea umekiri kwamba hiyo ni remix na ulivyo muongo sugu unatoa mifano ya star wars, franchise zina zaidi ya miaka 50 tangu enzi za Harrison ford a.k.a hansolo.

Yaani mimi nichukue movie ya first blood ya stallone niweke vipande vitatu vya bongo niite hadi press conference? Halafu unatetea kabisa?

BY THE WAY NISHATUMA E MAIL YA MALALAMIKO NETFLIX LOGO YAO KUTUMIWA KWA MINAJILI YA UTAPELI
 
myplusbee



Wewe si uliniquote kwny uzi ule mwingine ukisema zamaradi ni producer halaf huku unabadili maneno na kusema yeye ni msimamizi wa tanzania tu.
 
Hili jamaa ni jitu la ajabu! Yaani kaanza kukomaa na hii issue tangu jana wakati anayosema yote ni uongo!!
hili jitu halipendwi kudanganywa na JF patakuwa pagumu sana kwa kuleta uongo wa kijinga,mwisho wake ni kule insta?hivi unaelewa maana ya franchise?hiyo remix yenu ni franchise kwani?
 
hili jitu halipendwi kudanganywa na JF patakuwa pagumu sana kwa kuleta uongo wa kijinga,mwisho wake ni kule insta?hivi unaelewa maana ya franchise?hiyo remix yenu ni franchise kwani?
Hivi hoja yako ya Franchise ina-base nini hasa?! Hivi unajua unachoongea wewe?!
 
Umenena mkuu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1014020View attachment 1014021

ww si uliniquote kwny uzi ule mwingine ukisema zamaradi ni producer halaf huku unabadili maneno na kusema yeye ni msimamizi wa tanzania tu.
Mwangalieni mwingine huyu! Hoja zenu ni kwamba Zamaradi amesema filamu ni yake na kwamba ametumia TZS 200M na hata kwenye post yako hiki ndicho nilichoandika: Sasa kina tofauti gani na nilichosema hapa?! Au limekuchanganya hilo neno producer? Au na hapa napo natakiwa kukupa shule kama nilivyokupa shule kuhusu production company na studio?!
 
hili jitu halipendwi kudanganywa na JF patakuwa pagumu sana kwa kuleta uongo wa kijinga,mwisho wake ni kule insta?hivi unaelewa maana ya franchise?hiyo remix yenu ni franchise kwani?
Jibu maswali niliyokuuliza manake inaelekea hata hiyo hoja ya Franchise uliyoing'ang'ania, wala huna namna ya kui-defend kwa sababu hujui unachoongea!!!
 
sio distributor tena? ni producer kwa upande wa Tanzania? ila upande wa australia wao walimaliza 2017 wakaizindua kabisa?
 
Hii siyo english class?ulisema kwenye uzi mwingine Zamaradi ni producer kwa upande wa Tanzania,kwenye uzi mwingine unasema wewe ni distributor?which is which?yaani producer wa australia alifanya kazi yake hadi wakazindua 2017 wa tanzania anakuja kuzindua 2019?acheni masihara nyie myplusbee
 

Hebu leta maana ya neno producer na tuone kama linamaanisha msimamizi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…