Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Dada yangu kipenzi umeandika kwa hisia kali malezi waqt mwingi yanachangia s
asa kama mzazi ndio role model wake anamuelezea jinsi alivyo unategemea bint atakuwaje? mpaka apatikane mtu makhsusi wa kumshika mkono.
Pia umechambua vizuri kuhusu hawa celebrities wetu ni kama wanafuata mikumbo kujitambua ni zero ila kwa umri na ulimbukeni wao wanaona ndio mfumo mzuri wa maisha.
haaa!!we unamjua yule alivyokua anavizia madanga Kempinsiki ya kizungu!?Kweli hamjuo Klynn kwa kweli bora usingemiweka humo, yeye kuolewa na mzee haimaanoshi kakulia kama hao wengine...amekulia kitofauti sanaaaa hata kusoma, hata huyo gigi hamfikii 0.0005%
Kwa maana pana ni kuwa elimu ya kujitambua hawana ingawa suala la single parent lina nafasi lakini pana wengine wanatoka kwa wazazi wawili still wanakuwa na tabia za kibehemu behemu.Mkumbo wa umagharibi umetawala ndio wanaona usasa huo kuwa na mabwana 20 matumizi makubwa basi mnapangwa hapo yupo wa kulipia nywele mwingine wa kucha mwingine nyumba usimsahau wa kujaza gari mafuta yule wa luku basi foleni zaidi ya penye ATM.wengi shule hawana na wakishaona wanatongozwa na vibosile sana baas wanahisi kwamba wao ni wazuri sana kuliko wenzao na kuanza kujiingiza kwenye uhuni au uuzaji wa madawa ya kulevya!
Mfano kina bnti video queen amepiga picha yuko chooni then akapost IG,HV bnt anaejua maadili atafanya hvyo?
Mara nyingi sana tena sana sisi wazazi wa kike wengi wetu ulezi unatushinda(I mean single parent)
wachache sana wamelewa na mama zao na wakawa vzr kimaadili!
Refer Lulu nk japo wapo wengine pia wamelelewa na baba au both parents Ila wamepinda pia but ni wachache mno!kulinganisha na hao wanaolelewa na mama!
Haswa aina za mama km kina gigy msingi kiuno!
Mdau me napenda sana mtori hayo masupusupu tuwaachie wenyewe ambao yeye anawafaham vizuri tuuuAlikuwa anajaribu kuwaelezea aliowahi kuwauzia supu, vipi nawewe unataka?
Mimi alinikera pale anasema hakumbuki idadi ya wanaume aliolala nao mana kuna wengi walikuwa wanafika dau la hata milioni mbili.
Kilichonikera hapo bila kujali ni kweli au sio kweli watu walimtangazia dau la hilo pesa ni mafundisho ambayo mabinti wanayapata kutokana na kauli hiyo, wanafikiri kumbe kujiuza kunalipa mana kuna wakati mtu atafika dau la milioni mbili.
Nawashauri watangazaji wahoji wasanii ambao wanajitambua na mfano wa kuigwa, au wale ambao vichwa ni vibovu wapewe semina kabla ya mahojio au kipindi kifanyiwe editting pumba ziondolewe
Vibinti Vingi role modes zao ni wema,wolper,nk uliza wana kazi gani hapa mjini!!Kwa maana pana ni kuwa elimu ya kujitambua hawana ingawa suala la single parent lina nafasi lakini pana wengine wanatoka kwa wazazi wawili still wanakuwa na tabia za kibehemu behemu.Mkumbo wa umagharibi umetawala ndio wanaona usasa huo kuwa na mabwana 20 matumizi makubwa basi mnapangwa hapo yupo wa kulipia nywele mwingine wa kucha mwingine nyumba usimsahau wa kujaza gari mafuta yule wa luku basi foleni zaidi ya penye ATM.
Inaelekea haulewi maana ya vipindi PG,V,S,N,L na kadhalika kuna kipindi vya kuangalia na watoto lakini kwa uangalizi (Parental Guidance) , kuna kipindi vya kuangalia under 16 , kuna kipindi vya Sexy (S) , kuna kipindi vya NUDITY(KAMA CHA GIGY NA YULE SHOGA) , Kuna vipindi ni lugha chafu Language (L) .... Kama bado haujaelewa tofauti ya Hivyo vipindi na vionyeshwe muda gani utakuwa na tatizo
Vibinti Vingi role modes zao ni wema,wolper,nk uliza wana kazi gani hapa mjini!!
Msingi kiuno!wanaacha kusoma wanategemea power of pussy!
Na mama yake mtu wa kwanza kulaumiwa anapaswa kua mama yake, na mama yake na mama yake alie mzaa mama wa mama yake ambae ni bibi yake ... And the list goes onNamuomba Mungu sana kwa hilo!!!
Yule binti mtu wa kwanza kulaumiwa ni mama yake kwa kutomfundisha neno la Mungu akaliogopa na kuliheshimu!
Kwa mda wa miaka yake 19 kuwepo hapa duniani, Gigy Money amekiri kutembea na wanaume ambao hata idadi yake haikumbuki.
Amezaliwa katika familia ya watoto wanne huku kama mtoto akiwa na baba yake, mbaya zaidi mpaka sasa hajawahi kumtambua baba yake.....
Kataja na mastaa aliowapa papuchi
1.Ally Kiba
2 Abdul Kiba
3 Harmonize
4.Hemed Phd
Source... Take one (clouds tv)
So sio tena strengths of the women's ila ni strengths of the Papuchi?Vibinti Vingi role modes zao ni wema,wolper,nk uliza wana kazi gani hapa mjini!!
Msingi kiuno!wanaacha kusoma wanategemea power of pussy!
ay kaoa.?Anajitanfaza eti, nimeliwa na ay, sasa unataka Kumharibia ndoa au
ndo maana ake wachache sana km jokate,Irene kiwia,Imelda,mwamvita etc ndo wako hvyo Ila hawa wafanya show off za kwenye IG wengi wauza nyapu kwa kivuli cha usanii uchwaraSo sio tena strengths of the women's ila ni strengths of the Papuchi?
Wauzaji in the name of usanii? labda nayo ni sanaando maana ake wachache sana km jokate,Irene kiwia,Imelda,mwamvita etc ndo wako hvyo Ila hawa wafanya show off za kwenye IG wengi wauza nyapu kwa kivuli cha usanii uchwara