Zamaradi amewaza nini kumhoji Gigy Money?

Gigy anasema eti ilikua yeye na Harmonize ndiyo wanakuja kuwa best couple of town akashangaa Wolper ame-take over.
Anasema eti walitaka ku do, bahati mbaya alikuwa period
 
Angeshitakiwa kwa kosa gani?

Na ni nchi gani hizo ambako huyo Zamaradi angeshitakiwa na kupigwa faini?
Hata Mimi nawashangaa Watu kusema angeshtakiwa kwa lipi..Halafu Stations zoote mkakodoa macho hapohapo which means mnapenda izo mambo..Na kila siku hamuishi.kumuongelea huyo Gigy Sasa si Afadhari mumjue Background yake then muanze kumjudge...Eti Ashtakiwe..nanyi mshtakiwe kwa kuachana TV Station zoote Na kuganda hapo.Mambo mnayapenda mnakuwa kutuzuga hapa.
 
Haha nilizima na Tv sijui hata walimalizeje
 
Huyo sio yeye,

Kinachomsumbua ni rejection na roho chafu za ukahaba.

Sio akili yake, hayo yote anayotenda sio akili yake., ni ile nguvu chafu inayotenda kazi ndani yake.

Na hio hua ni ya kuridhi (inakua ni laana ya familia) ndio unakuta inafuatilia kizazi hata kizazi.

Ni mpaka wawe tayari, ndio they can be Delivered na kuishi maisha ya Amani.
 
Nafikiri elimu ndio tatizo kwa baadhi ya watangazaji, mtangazaji anayetaka kukuwa katika career yake hawezi kufanya mahojiano na watu wenye mambo yasiyofaa.
 
Ikifika issue za mahojiano na celebrities ninamkubali Salama Jabir.
Uliwahi kuangalia mkasi na bado unaendelea kuangalia mkasi!? Ni interview mbili tu alifanya vizuri nazo ni ya Mo Dewji na Zitto Kabwe zingine zote zilikua udaku tu. Binafsi niliacha kuangalia sikuona la maana zaidi ya umbea na udaku, but nadhani ndicho watanganyika wengi wapendacho kusikia.
 
NINGEMUONA KICHAA ZAIDI ANGESEMA AMETOKA NA MZEE MUTAHABA . MAANA PALE HUPEW AIRTIME MPAKA UTOE NASIKIA KAPEWA KIPINDI CHOICE FM STATION YA BWANA MUZEE TENA CHA USIKU AWE MPINZANI WA DIVA NA LEMUTUZ
 
Haha nilizima na Tv sijui hata walimalizeje

ungechelewa kidogo tu ningeandika mm maana nilitaka niimalize then niandae uzi.
ILA KUNAPARTY AMESIKITISHA ANADAI ALILALA NA PEDESHEE AMSAIDIE MAMA AKE PESA ZA MKOPO
 
Hivyo vitimbi na vituko vya clouds hua navikutaga humu,mnalazimishwa kuangalia hiyo tv uchwara?
Binafsi sina tatizo na Cloudz, ila Zamaradi sikuhizi anajishushia hadhi sana, aina ya watu anaowahoji lazima ushangae lengo lake hasa ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…