jamani ndugu zangu kumbukeni nanyi pia mnaocomment humu ni wazazi,walezi na kuna wengine mmekataa mimba nyngi sana!
Tuombeeni Mungu tu jamani yasitukute ktk vizazi vyetu!
Maneno mnayotoa ni Makali mnoo as if sie ni malaika
yule binti tayari yuko psychologically affected kumbuka,amekataliwa na baba,amezaliwa mazingira ya hovyo,mama mwenyewe aliyemlea wa hovyo,amekulia malezi ya kuanza mapenz miaka13 aiseeehh!!
Jamani haya mambo yapo sana kwenye jamii zetu tena gigy amewakilisha wasichana wengi mno nyuma yake.
Kingine hao we so called celebrities wa bongo wote ni km kina gigy tu ukiskiliza story zao za kitambo utakimbia
Kuanzia kina Klynn mnaowaona masupa lady mpk kina shilole na faiza wote wako under the same roof!Sema wao kipindi hicho hakukua na digital tu
Cha msingi shukuru sana Mungu wako umelelewa vyema na ukasikilza Yale uliyoambiwa mpk Leo uko hapo.
Gigy ana inferiority complex that's her problem!na akifika anapopataka atatulia!