Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa CLOUDS Tuambie Maadili ya Mtanzania yanalindwaje?Angeshitakiwa kwa kosa gani?
Na ni nchi gani hizo ambako huyo Zamaradi angeshitakiwa na kupigwa faini?
Personal gainings through cheap popularityVipindi vingine havina maadili kabisa katika jamii. Nini hasa malengo ya kipindi hicho?
Mzee wa CLOUDS Tuambie Maadili ya Mtanzania yanalindwaje?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu nimecheka kwa loudspeaker watu mna vituko jamaniMtu na mdogo wake wanaangalia take one ya clouds TV.
Kwenye Lugha ya huko nafikiri mmoja ni Harlot na mwingine ProstituteKahaba anajiuza anatoa kwa malipo, malaya yeye ni tabia yake tu kugawagawa... sasa ukaja kukuta ni KAHABA na wakati huohuo ni MALAYA ni shida sana
King's dog. Dog's king.Mzazi mwenza wa the boss na yeye anajiona the boss lady yupo huru kufanya atakalo
Pole mkuu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu nimecheka kwa loudspeaker watu mna vituko jamani
Nae ndo kaona sehem za kutoka hizo.Juzi au jana aliweka insta, anasema yeye wa bei mbaya anaetaka kumtoa mtoko wake mbezi au posta.