mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,625
Zamaradi awajibu nyie instagram
from @zamaradimketema - Ukiwa ni mtu wa social medias ndio utagundua jamii yetu ina matatizo MAKUBWA kiasi gani, kizazi cha sasa ni cha hatari, kuna aina ya watu ambao huwezi kufikiria kama wapo, watu wanaoonekana kama wamepinda kupitiliza, wasiojali chochote tena kwenye maisha yao na wanaoweza kufanya jambo na wakakuachia maswali mengi mno, ni kama wamejitoa sadaka na kuamua bila kuogopa lolote kuuza UTU wao, na kwa bahati mbaya wako kwenye SOCIAL MEDIAS na wana uhuru mkubwa wa kuonesha chochote wanachotaka kuonesha, Huenda kuwalaumu pekee haisaidii, hebu tuangalie NINI CHANZO!!? Sababu UPOROMOKAJI WA MAADILI ni kitu kinachoongezeka kwa kasi ya ajabu, kinachosikitisha zaidi wengi ni vijana WADOGO MNO kiumri ambao kimaadili yetu huenda walitakiwa wawe chini ya uangalizi wa wazazi'
Imeshatokea nawafanyia interview watu wa aina hiyo wanaoonekana ni wa AJABU kwenye jamii, na zaidi hata kwenye kipindi kuna muda ninaowaruhusu kuonesha uajabu wao, lengo likiwa JAMII IJUE KUNA HAYA YANAENDELEA, TUSILALE!! Na kubwa kuliko yote KUNA HISTORIA ZAO NINAZOZIONESHA ambazo kwa namna moja ama nyingine zinasaidia kuonesha TATIZO LILIPOANZIA'
cha kusikitisha NILICHOGUNDUA kwa asilimia kubwa CHANZO NI KIMOJA, wengi ni watoto waliozaliwa na watu walioamua kwa makusudi kabisa KUKWEPA MAJUKUMU YAO KAMA WAZAZI, HISTORIA NYINGI ZINAFANANA, MAMA anapobeba mzigo wa majukumu hadi ya kihali peke yake kuna hatari ya mengi kutokea, hasa kama MAMA anapokuwa hana kazi yoyote,
Natamani sana KUIOMBA SERIKALI kuangalia swala na sheria mpya ama KUKAZIA ZILIZOPO kuhusiana na MALEZI YA WATOTO na hasa MAJUKUMU YA WAZAZI HASA MABABA WANAOZALISHA na KUAMUA KWA MAKUSUDI KUTOKUWEPO KWENYE MAISHA YA WATOTO WAO, kwa kuendelea kuyadharau haya tunayoyaona madogo, kuna hatari ya kushangaa zaidi mbeleni'
hatukwepi tatizo kwa kukwepa KUJUA, naamini mtoto alielewa na wazazi wanaojali hata anapoharibikiwa ni ngumu kufika kwenye level ya namna hii!
KWANINI TUACHE HILI LIENDELEE!!? wakati nafasi ya kurekebisha tunayo!!? Na serikali kupitia wizara husika inawezaje kusaidia kwenye hili!!? Nini kifanyike ili kila MZAZI ATAMBUE NA KUTEKELEZA WAJIBU WAKE!!!? Sababu kwa bahati mbaya matatizo yote YANAANZIA HAPO'
HEBU TUZUNGUMZE!!
from @zamaradimketema - Ukiwa ni mtu wa social medias ndio utagundua jamii yetu ina matatizo MAKUBWA kiasi gani, kizazi cha sasa ni cha hatari, kuna aina ya watu ambao huwezi kufikiria kama wapo, watu wanaoonekana kama wamepinda kupitiliza, wasiojali chochote tena kwenye maisha yao na wanaoweza kufanya jambo na wakakuachia maswali mengi mno, ni kama wamejitoa sadaka na kuamua bila kuogopa lolote kuuza UTU wao, na kwa bahati mbaya wako kwenye SOCIAL MEDIAS na wana uhuru mkubwa wa kuonesha chochote wanachotaka kuonesha, Huenda kuwalaumu pekee haisaidii, hebu tuangalie NINI CHANZO!!? Sababu UPOROMOKAJI WA MAADILI ni kitu kinachoongezeka kwa kasi ya ajabu, kinachosikitisha zaidi wengi ni vijana WADOGO MNO kiumri ambao kimaadili yetu huenda walitakiwa wawe chini ya uangalizi wa wazazi'
Imeshatokea nawafanyia interview watu wa aina hiyo wanaoonekana ni wa AJABU kwenye jamii, na zaidi hata kwenye kipindi kuna muda ninaowaruhusu kuonesha uajabu wao, lengo likiwa JAMII IJUE KUNA HAYA YANAENDELEA, TUSILALE!! Na kubwa kuliko yote KUNA HISTORIA ZAO NINAZOZIONESHA ambazo kwa namna moja ama nyingine zinasaidia kuonesha TATIZO LILIPOANZIA'
cha kusikitisha NILICHOGUNDUA kwa asilimia kubwa CHANZO NI KIMOJA, wengi ni watoto waliozaliwa na watu walioamua kwa makusudi kabisa KUKWEPA MAJUKUMU YAO KAMA WAZAZI, HISTORIA NYINGI ZINAFANANA, MAMA anapobeba mzigo wa majukumu hadi ya kihali peke yake kuna hatari ya mengi kutokea, hasa kama MAMA anapokuwa hana kazi yoyote,
Natamani sana KUIOMBA SERIKALI kuangalia swala na sheria mpya ama KUKAZIA ZILIZOPO kuhusiana na MALEZI YA WATOTO na hasa MAJUKUMU YA WAZAZI HASA MABABA WANAOZALISHA na KUAMUA KWA MAKUSUDI KUTOKUWEPO KWENYE MAISHA YA WATOTO WAO, kwa kuendelea kuyadharau haya tunayoyaona madogo, kuna hatari ya kushangaa zaidi mbeleni'
hatukwepi tatizo kwa kukwepa KUJUA, naamini mtoto alielewa na wazazi wanaojali hata anapoharibikiwa ni ngumu kufika kwenye level ya namna hii!
KWANINI TUACHE HILI LIENDELEE!!? wakati nafasi ya kurekebisha tunayo!!? Na serikali kupitia wizara husika inawezaje kusaidia kwenye hili!!? Nini kifanyike ili kila MZAZI ATAMBUE NA KUTEKELEZA WAJIBU WAKE!!!? Sababu kwa bahati mbaya matatizo yote YANAANZIA HAPO'
HEBU TUZUNGUMZE!!