Zamaradi amewaza nini kumhoji Gigy Money?

Zamaradi amewaza nini kumhoji Gigy Money?

1470848693396.jpg
 
Jiulize kwanza wewe unatafuta nini clouds na haswa ktk hicho kipindi??
 
Na role models wa Wema na Wolper ni akina nani?

Wema nishawahi kumsikia kabisa akisema kuwa role model wake ni Kim Kardashian.

Claim to fame ya Kim Kardashian unaijua?

Na kipindi cha The Kardashians kinaonyeshwa Tanzania?
huyo wema kujifanya Kim K sishangai mana Kim kashakuaga na sex tape na Ray J!
Wema nae ukiacha umiss skendo za ngono ndo zimembeba sana!
 
Na mama yake mtu wa kwanza kulaumiwa anapaswa kua mama yake, na mama yake na mama yake alie mzaa mama wa mama yake ambae ni bibi yake ... And the list goes on
Ukute bibi mzaa mama wa gigy was good person Ila ndo wale wamama au watoto wanaoamua kupinda tu wenyewe mana wapo wanaolelewa na both parents kama kina wolper au wema na kina uwoya bado wakapinda pia!
Na huyu mama mtu wa gigy km nliskia vzr alikua mcheza show enzi hizo!Just imagine...!!!
 
View attachment 379243
Huyu mtangazaji wa Clouds TV, Sielewi hawa watu anaowahoji lengo lake ni nini, naona upumbavu anaoongea Gigy Money kwenye kipindi chake cha Take One, najiuliza kwanini anaruhusu ujinga huu. Nilidhani amejifunza na ile ishu ya yule shoga kumbe bure kabisa



View attachment 378980

=========

Gigy Money Jumanne hii aliwaacha mdomo wazi mashabiki wake baada ya kuwataja live kwenye runinga mastaa 6 wakiume aliotoka nao kimapenzi.
Gigy%2B%25281%2529.jpg

Video queen huyo ambaye amewai kutamba katika video za mastaa mbalimbali wa bongo, amedai amewai kutoka kimapenzi na AliKiba, Abdu Kiba, Rich Mavoko, Harmonize, Hemed Phd pamoja na mtangazaji wa kipindi cha runinga cha Siz Kitaa cha Clouds TV, Castro Dickson ambaye alidai alikuwa tayari kumzalia mtoto.
Mavoco-Gigy-na-Hemedy.jpg

“Nilikuwa na Castro mpaka nilikuwa tayari kumzalia,”
Gigy Money alikiambia kipindi cha Take One cha Clouds TV.
“Kwa sababu anajua upendo kwa mtoto, lakini wakaja wanawake wamjini wakakorofisha, lakini hajawai kuniambia kama tumeachana, sijui kama tumeachana,”Gigy ambaye pia ni mtangazaji wa Choice FM alidai Mama yake mzazi alimzaa nyuma ya mlango wa choo.

Pia alisema kwamba aliwahi kujitoa kimwili katika umri mdogo ili apate hela ya kuweza kumnusuru mama yake mzazi kulipa deni la mkopo wa Benki.
Atakua aliwaza WAZO.
 
Hii ni take one new chapter, watu hawapendi kusikia ukweli ndio maana mnajikuta mnaponda kila kitu, umeshajiuliza kuna gigy wangap mtaani? Na wanatakiw kusaidiw mapema il wawe sawa? Suala la malezi pia huoni ni tatizo? Vipind vyote mnatak viwe taarifa ya habar au? Kila kitu Una mda wake km anakuboa kaangalie TBC
Sina tatizo na Zama kuhusu watu wake anaowahoji, awahoji mashoga, makahaba, majambazi, mafisadi, wala rushwa, hilo ni juu yake,

Kero yangu ni kua mbona maudhui ya kipindi chake na watu anaowahoji haviendani??

Kipindi chahusu filamu na wana filamu, sasa tunaoletewa sio hao, hapo ndio sijaelewa kwanini.

Ushauri wangu, kama ameamua kudili na mambo tofauti na filamu angebadili jina la kipindi au atengeneze kipindi kingine kitakachoendana na watu anaowahoji.

Mfano kipindi cha Mkasi, sitashangaa Salama akimuhoji Gigy au zaidi ya Gigy,
Ila nitapigwa na butwaa kama nikimkuta Gigy anahojiwa kwenye kipindi cha dakika 45,

Natumai umenipata.
 
Back
Top Bottom